Sikiliza voice Ugomvi wa Martha Mwaipaja na beatrice mwaipaja wapamba moto

Sikiliza voice Ugomvi wa Martha Mwaipaja na beatrice mwaipaja wapamba moto

Hapa kwangu najua mwenye shida martha kamrekodi mwenzie af yeye anaongea pole pole kujifanya hana hatia uku mwenzie akibwabwaja kwa hasira hakiwa hajui kinacho endelea

Alikuwa anajua anacho kifanya ndio maana kayafanya haya
View attachment 3252733
Ugomvi wote huu kisa wazazi wapumbavu wanao tamani mali za watoto wao ...lakini wao hao wazazi wanawaambia watoto wao hizi mali nilichuma mimi na mme wangu au mimi na mke wangu nyinyi tafuteni za kwenu
 
Bora wewe sie wengine tunazurura nakupiga makelele ndo raha yetu!, ninywe halafu nikae ndani sasa nitawakera vipi nini maana yakuwa vibe...🤣
Ni kujiendekeza tu binafsi nikigida naweka mziki naperuzi humu nikiona naanza kuropoka nazima kifaa cha mawasiliano napotea siku tatu nikirudi sisomi reply 😄😄😄😄
 
Hapo ndio mkeo huyo anaongea namna hiyo,hapo lazima ukitoka kazini utafute kijiwe cha kahawa upige story mpka usiku,akilala ndio urudi nyumbani...
 
Ni kujiendekeza tu binafsi nikigida naweka mziki naperuzi humu nikiona naanza kuropoka nazima kifaa cha mawasiliano napotea siku tatu nikirudi sisomi reply 😄😄😄😄
Haha! unakuwa unajiogopa tena wakati wengine ujasiri ndo unaongezeka!, hata moderator akipita anga zangu naweza hata kumtishia kumpiga ban!..🤣
 
Haha! unakuwa unajiogopa tena wakati wengine ujasiri ndo unaongezeka!, hata moderator akipita anga zangu naweza hata kumtishia kumpiga ban!..🤣
Kuna siku niligida vitu , nikaelezea vile niliachana na mama watoto wangu bila kujitambua , kesho nakuja fungua nakuta like 160 na reply kibao , cha kushangaza nilipangilia stories kiufasaha mno , nikaifuta ile comment kimya kimya 😁😁, sikuwahi tegemea kufanya hivyo mkuu, pombe sio chai bwashee.
 
Martha ni hatari mno.Kanajua kanarecord so kanaongea kaonekane kana Hekima.Wallah mimi ningekuwa Bite ningemblock Martha kila mahali na nikaishi maisha yangu .Huyo Bite ana sauti nzuri mno na ana kipaji cha kuimba.
Kuna nyimbo yake naipenda sana inaitwa tutafika salama
 
Kuna siku niligida vitu , nikaelezea vile niliachana na mama watoto wangu bila kujitambua , kesho nakuja fungua nakuta like 160 na reply kibao , cha kushangaza nilipangilia stories kiufasaha mno , nikaifuta ile comment kimya kimya 😁😁, sikuwahi tegemea kufanya hivyo mkuu, pombe sio chai bwashee.
🤣🤣 safi kabisa!
 
Back
Top Bottom