Sikio la kufa: Rais wa Ukraine, Zelensky, akataa ofa ya Marekani ya kumtorosha Kyiv asikamatwe na Putin

Kwa Uharibu uliofanywa hadi sasa unakimbia ili iweje ?

Halaf you should learn war propaganda .

The reality on the ground ni kwamba zaidi ya wanajeshi 4000 wa Russia wameshakufa
Russia troops wamekufa mno na Twitter wamewafungua Russia wana post propaganda
 
BREAKING NEWS.

Bulgaria,Canada na Uingereza zimefunga Anga lao kwa ndege zote za Urusi.

Ufaransa inatuma Siraha za kivita Ukraine.

White House imeomba kibali kwa Bunge la Congress kutoa msaada wa $ 6.4B kwa ajili ya msaada wa kijeshi kwa Ukraine.

Chakushangaza,Uturuki imesema haitazuia Meli za Jeshi la Urusi kupita Actic Bay inayodhibitiwa na Uturuki kuelekea Black Sea.

Marafiki wakweli huonekana wakati wa Shida. Uturuki na Ujerumani sioni haja yao kuwa NATO make walishawekwa kwenye Mfuko wa Russia.

Hapa,Naona Russia akichelewa kuiteka Kiev Kabla ya J3 atapata Shida kubwa Sana. Anatakiwa kuuteka mji Mkuu Kabla ya mda huo make Nchi Nyingi zilizokuwa Kimya Sasa Zimeanza kuonesha ukinzani kwa Urusi.

Ikumbukwe kuwa,Ukraine inahitaji Siraha TU za Kujilinda dhidi ya Vifaru na Ndege za Urusi. Make Haina Uwezo wa Kuishambulia Urusi.

Baadi ya Wanajeshi wa Urusi wametekwa kwenye Picha hapo Chini.
 
Hii Vita ni hatari Sana. Kwenye hayo Mazungumzo Kuna kubadilishana Wafungwa wa Kivita.
 
Raisi wa Ukraine ni mwanaume,mwingine angekuwa keshakimbia
Hakuna kitu hapo, ameshaona USA na EU ni wanafki tu, kipindi kile alipowapigia simu viongozi wakuu 27 wa EU na USA kwanini hawakupokea simu hadi waje wasubiri awe kashazingirwa na RUSSIA imebaki kukamatwa tu ndipo atoroshwe nao ilihali tayari maafa ya Askari na Raia wasio na hatia wa UKRAINE washakufa?
 
Mwanaume au mpambavu unaipeleka Nchi yako kwenye Vita usiyoiweza halafu unasema Mwanaume,Marais wote waliomtanguliwa unadhani hawakujua madhara ya Ukraine kujiweka kwa Mataifa ya Magharibi.
We Empty head kaipeleka au kapelekewa
 
๐—ต๐˜‚๐˜†๐˜‚ ๐—ต๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ. ๐—›๐—ฎ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ผ๐—บ๐—ต๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ๐—ฎ.. ๐—ก๐—”๐—ง๐—ข ๐—ž๐—ผ๐—ป๐˜†๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—น๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ถ๐—ธ๐—ฎ..
 
Hii ni kipindi kile baada ya kushinda uchaguzi 2019 akatembelea majimbo ya Donbas.
Unajitahidi sana kukokota watu
 
Huo ndio uanaume sasa, nyie wengine mnasindikiza
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ