Sikio la kufa: Rais wa Ukraine, Zelensky, akataa ofa ya Marekani ya kumtorosha Kyiv asikamatwe na Putin

Huo ubavu atautoa wapi na umaskini wake ule?
 
Kwa Uharibu uliofanywa hadi sasa unakimbia ili iweje ?

Halaf you should learn war propaganda .

The reality on the ground ni kwamba zaidi ya wanajeshi 4000 wa Russia wameshakufa
Wanasema ni fake news, wapiganaji wa hapa jf
 
umevuruga post yako kusema kuwa rais wa Ukraine ni kibaraka wa USA na kuonyesha kumshabikia Putin.
 
Punguza Mahaba kijana.

Hivi Jinsi USSR alivyofurushwa Afghanstan na Wapiganaji wa Mjahideen na Kurudi Mikono mitupu unajifanya kusahau?

USSR alivamia Ardhi ya Afghanistan mwaka 1976 lakini alipokea Kichapo na Kurudisha Jeshi Nyumba mwaka 1986.
 
Mkuu waambie waingie vitani siyo kujificha nyuma kwa kutuma tu silaha.

Mbona kule Iraq na Libya US na NATO hawakutuma tu silaha, walipeleka wanajeshi?

Au kwa vile Iraq na Libya zilikuwa memba wa NATO?😀🤣😂
We unadhani hawapeleki wanajeshi? Yaani unaamini wanapeleka silaha na vifaa hivyo na kisha kuondoka?Kama unasubiri watangaze, basi utakuwa na akili kama ya Puttin isiyotambua mbinu kama hizi.

Hata hivyo, naamini Puttin ameshajua kinachoendelea, ila anajishauri cha kufanya licha ya mikwara yake ya hapo awali kwa nchi yoyote itayojiingiza katika huu mzozo.
 
Punguza Mahaba kijana.

Hivi Jinsi USSR alivyofurushwa Afghanstan na Wapiganaji wa Mjahideen na Kurudi Mikono mitupu unajifanya kusahau?

USSR alivamia Ardhi ya Afghanistan mwaka 1976 lakini alipokea Kichapo na Kurudisha Jeshi Nyumba mwaka 1986.
Mkuu pole sana.

Waonekana una shida ya kuelewa maandishi.

Kwanza aliyesema vile (Putin hajawahishindwa vita zake) sio mimi ni chanzo cha habari cha wamagharibi.

Pili wamesema Putin (kama rais wa Russia) hajawahi shindwa vita zake zote, hajawahishindwa mechi zake kwa maneno ya vijana wa kisasa.

Wewe kwa kukurupuka kwako waleta stori za 1976/1986, hivi kipindi hicho Putin alikuwa rais wa Russia? Au wakariri tu kwa kuwa Putin ni rais sasa basi pia ndiye huyo huyo alikuwa rais miaka ya 1976/1986

 
Kwi...kwi...kwi...

Mkuu ficha ujinga wako.

Hivi wadhani NATO na US hupeleka majeshi nchi nyinginezo kimya kimya kama vile shit countries zinavyofanyaga?

Kwani Iraq US na NATO walienda kimya kimya? Vipi kule Syria US alipeleka majeshi kimyakimya?

Chukua zawadi zako hizi hapa:


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…