Magufuli atakumbukwa kwa mabaya mengi kuliko mazuri na kama ilivyo ada maovu hufunika mema na yeye alitenda maovu mengi kuliko mema.
Hadi anafariki hakuwahi kutuambia waliko akina Benny Saanane na Azory Gwanda ni doa kubwa ambalo litabaki kuisibu historia ya utawala wake wa kiimla siku zote.
Hadi anafariki hakuwahi kutuambia waliko akina Benny Saanane na Azory Gwanda ni doa kubwa ambalo litabaki kuisibu historia ya utawala wake wa kiimla siku zote.