Siku 16 nafanya mapenzi mfululizo na ni Siku ya 8 sijafika kileleni kabisa

Yaani mtu ana michepuko zaidi ya moja na ni mume wa ntu na bado ananunua makahaba, nadhani anastahili kupata alichokipata. Huu ni ulimbukeni ulio tukuka
 
Mkuu, kipindi cha nyuma uliwahi tumia viagra, alkasusi mujarabu au mkongo wa majimaji? Tuanzie hapo! Huenda nikakusaidia njia za kutatua tatizo?
Ndio mkuu,
Ila Ni Zamani Sana,
Kipind ndo zimeingia,
Ni Zaid ya miaka 10 ilopita
Nako Nilitumia Mara 3 TU nikaachana nalo maana Hakuna niluchofaidi Zaid ya ganzi na maumivu
 
Mkuu hapo hakuna ugonjwa wala nini hebu pumzisha mwili huo, kwa spidi yako ulizotoka kusimulia nilijua tu utafikia huku mwenyewe ilishanitokeaga ila nikipumzika tu pamoja na kula mbegu za maboga ndipo nikarudi ulingoni
Nayo Hii ntaijaribu mkuu,
Zilikua mbegu za mboga gan ulitumia?
 
Yaani mtu ana michepuko zaidi ya moja na ni mume wa ntu na bado ananunua makahaba, nadhani anastahili kupata alichokipata. Huu ni ulimbukeni ulio tukuka
Sio vizur kulaumiana mkuu
 
Afanye sitbath walau mara 3 kwa wiki, anywe mtindi , aloweke bamia awe anakunywa maji yake kama ataweza, apples b4 kumdinyua n.k
Ooh thanks
Vipi ushawahi kutumia yoni pearls ?
 
Kwa maelezo hayo basi nimekusoma huna tatizo lolote ila ni kuwa hao unafanya nao tendo, umewazoea sana na pia style zenu ni zilezile hapana jipya kwako ndiyo maana hufiki kileleni.

Ufanye nini sasa? Tafuta msichana mwingine ambaye ana kariba tofauti kuanzia umbo, rangi na mpe style zingine hakika utamwaga na utafurahia tendo, ila hao uliowazoea wakaushie kama wiki na siku kadhaa ukija kurudi utakuwa usharudi kwenye hali ya kufika kileleni kawaida.

Fanya hayo ukifanikiwa, nikumbuke, ikigoma njoo tena nikueleze kingine.

NB.huyo msichana mpya jitahidi ujue afya yake.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Hilo la kuchelewesha kuhold nmekua nikifanya Mara kwa Mara Kisha nikiamua NAKOJOA vizur tu,
ila Sasa imefikia hatua nahitaji kukojoa mwenyewe kwa hiari yangu bado inashindikana.
Nahisi tatizo lilianzia hapa...either una damage kwa nerve..

But also most causes are psychological, but organic reasons are also possible and are ruled out first during diagnosis...

Wahi kwa wataalamu mzee pia upunguze kupeleka 'moto' kwa kipindi unachotakiwa ufuate maelekezo kwa mtaalamu.
 
Maboga sio mboga, yaan yale maboga mbegu zake wauza karanga wanazipata au sehem wanapouza mbegu kama za asili Zinafanana na mbegu za Matango ila.zenyewe kubwa kiasi .Boga lipo mfano huu🎃🎃🎃tafuta mbegu zake uwe unatafuna hizi zinasaidia sana
Nayo Hii ntaijaribu mkuu,
Zilikua mbegu za mboga gan ulitumia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…