Siku 182 za vita: Matukio yote ndani miezi 6 ya vita ya Ukraine na Urusi

Siku 182 za vita: Matukio yote ndani miezi 6 ya vita ya Ukraine na Urusi

Duuuh aseee comedian kawatia jambajamba warashia Putin haamini aanachokiona.

Sasa naanza kuamini data za Ukraine kwamba wanajeshi zaidi ya elfu arobaini wamefariki,msafara wa 65km kwenda kuteka Kiev ulipasuliwa kama vipande vya biskuti
Urusi hakukimbia Kyiv, ni kwamba alipoteza wote na vyote ndani ya ule msafara
 
Jifarijini kwa kweli maana mataifa makubwa yote yanasaidiana kupigana na nchi moja tena ardhi ya ugenini,
Siku wakianza kuishambulia urusi ndio ntaamini US ana power kuliko Mrusi
Yaan super power mkubwa anasubili mpaka asaidiwe kumdhoofisha Russia ndo aingie vitani kumpiga? Basi US sio super power. Aende sasa hivi tuone
 
Yaan super power mkubwa anasubili mpaka asaidiwe kumdhoofisha Russia ndo aingie vitani kumpiga? Basi US sio super power. Aende sasa hivi tuone
Hizo ndo mbinu za usuper power wenyewe kama russia anaweza kutafuta jirani wa us pale na kumsaidia kivita kumpiga halafu us akishachoka ndo ampige kiulaini ningemuta super power maana katumia akili kubwa.
Kwa hiyo hizo ni mbinu za akili kubwa. Ukisema Super power ni lazima uwe vizuri kiuchimi na kijeshi pamoja na kiteknologia sio kijeshi peke yake.
 
Nawaza na kukosa majibu ,inakuaje taifa la pili kwa ubora wa kijeshi na zana bora kabisa ,wanapambana na nchi changa kama Ukraine, wanalambishwa sukari? Wengine wanadai anapigana na nchi 30, je ni kweli? Wengine hawakuishia hapo wakadai anapigana na dunia, Mimi sina uhakika maana siko vitani ila kiuhalisia haiingii akilini kabisaaa!Marekani kule Afghanistan alikua na jeshi dogo sana hawakuzid 2000,na vifaa vichache sana ,ila kwa Russia msafara wa km 65, na military personal 150,000 unadai special operation? Kiruuuuuuuuu
Kwahiyo kwa akili yako unaona ni Ukraine peke yake ndo anapambana na Urusi peke yake, au ni nchi zote 30 za NATO?
 
Kwahiyo kwa akili yako unaona ni Ukraine peke yake ndo anapambana na Urusi peke yake, au ni nchi zote 30 za NATO?
Kwa hiyo mkuu wanajeshi ,ndege,artery,ant-aircraft, vifaru,meli,manowar,ya NATO ni kwamba vyote vinaishambulia Russia?ulitaka Ukraine aje na kisu wewe uje na bunduk? Wote mpewe bunduk au visu tuone nani mbabe
 
Nawaza na kukosa majibu ,inakuaje taifa la pili kwa ubora wa kijeshi na zana bora kabisa ,wanapambana na nchi changa kama Ukraine, wanalambishwa sukari? Wengine wanadai anapigana na nchi 30, je ni kweli? Wengine hawakuishia hapo wakadai anapigana na dunia, Mimi sina uhakika maana siko vitani ila kiuhalisia haiingii akilini kabisaaa!Marekani kule Afghanistan alikua na jeshi dogo sana hawakuzid 2000,na vifaa vichache sana ,ila kwa Russia msafara wa km 65, na military personal 150,000 unadai special operation? Kiruuuuuuuuu
Ukraine ni nchi changa tokea lini?
 
Back
Top Bottom