Suleman Jr
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 341
- 525
Soma na elewa acha kukurupukaPro Russia huwa mnatumia fuvu kufikiria kwa hiyo Russia anapigana na dunia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma na elewa acha kukurupukaPro Russia huwa mnatumia fuvu kufikiria kwa hiyo Russia anapigana na dunia?
Duuuh kumbe alikimbia,bhas Mimi proRussia nilidhani aliondoka baada ya mazungumzoUrusi hakukimbia Kyiv, ni kwamba alipoteza wote na vyote ndani ya ule msafara
Urusi hana uwezo wa kupigana na US, Na US analijua hiloNa siku akishambulia URUSI basi ndo utakuwa mwisho wa USA
Kujitenga na dunia ndio madhara yake haya alidhania hataonekana na limsafara lake kumbe UK alikuwa anamchora na satellite tu,putin si mzungu pure yule.Urusi hakukimbia Kyiv, ni kwamba alipoteza wote na vyote ndani ya ule msafara
Utumwa mpaka kwenye imani ajabu sana hawa watu wa vipedo wanastaajabisha sana!Tatizo dini yako
Wewe ulivyokuwa unawashwa kule Iraq we mwarabu?Hana haja navyo maana anapambana na Ukraine sio dunia,
Urusi anapigana na Ukraine yeye anawashwa nini?
Umeelewa nilichoandika au waparamia tu
Hata mwanzo mlisema hawezi ishambulia Ukraine na kafanya hivyo..Urusi hana uwezo wa kupigana na US, Na US analijua hilo
Ni mjinga pekee ndo anaweza kuhisi urusi anaweza pigana na US, Putin mwenyewe anajua ndo maana anatishia Nuclear ilihali wote wanayo
Huyo urusi kuwekewa tu vikwazo inaonesha yeye sio supa power akili ya kawaida tu hiyo wala sio rocket science.Mwambieni aiondolee vikwazo urusi afu wapambane ndio tujue kweli yeye ana power kuliko wote duniani
Mbona anashambuliwa hadi kwake? Kwani Belgorod ipo wapi? Madepot yanaungua kila siku. Juzi watu wameingia wamelipua mtu na haijatokea chochote mbona mnajisahau sana?Sawa ila ukweli ndo uwo.ajaribu tu kurusha hata jiwe URUSI uwone kama MAREKANI awajamsoma kwenye History kuwa kulikuwa na Nchi inaitwa MAREKANI
Mkuu jipige kichwa sema mi Ni kilaza. Russia pia Ina 31 tokA ipate Uhuru kutoka Soviet.. kwa hiyo Russia nalo Ni taifa changa?Taifa kina miaka 31 ,hata tz ni kaka zake
Us anapigana na mtu ambae kashikwa mkono mmoja, lkn hana ubavu wa kupambana pasipo kusaidiwa, narudia tena hanaaaaHuyo urusi kuwekewa tu vikwazo inaonesha yeye sio supa power akili ya kawaida tu hiyo wala sio rocket science.
US anapigana na nani? Us yuko vitani tangu lini? Wewe utakuwa sio mzima kichwani.Us anapigana na mtu ambae kashikwa mkono mmoja, lkn hana ubavu wa kupambana pasipo kusaidiwa, narudia tena hanaaaa
Kizuri kbs hii vita lazima ifike mwishoUS anapigana na nani? Us yuko vitani tangu lini? Wewe utakuwa sio mzima kichwani.
Mbona anashambuliwa hadi kwake? Kwani Belgorod ipo wapi? Madepot yanaungua kila siku. Juzi watu wameingia wamelipua mtu na haijatokea chochote mbona mnajisahau sana?
Anapigana kimaficho wewe hujui kitu,US anapigana na nani? Us yuko vitani tangu lini? Wewe utakuwa sio mzima kichwani.