Urusi hakukimbia Kyiv, ni kwamba alipoteza wote na vyote ndani ya ule msafaraDuuuh aseee comedian kawatia jambajamba warashia Putin haamini aanachokiona.
Sasa naanza kuamini data za Ukraine kwamba wanajeshi zaidi ya elfu arobaini wamefariki,msafara wa 65km kwenda kuteka Kiev ulipasuliwa kama vipande vya biskuti
Waliuliwa wote, huwezi kimbia kwa mguu km64, tena kwenye sehemu huijuiNi hatari mkuu km 65 siyo pafup ,Russia ilichezea mkono aisee, mpaka wakakimbia nasikia vifaru vingine vilitelekezwa vikiwa vizima kabisa ,maana walichezea kipondo cha kufa mtu
Tatizo dini yakoJifarijini kwa kweli maana mataifa makubwa yote yanasaidiana kupigana na nchi moja tena ardhi ya ugenini,
Siku wakianza kuishambulia urusi ndio ntaamini US ana power kuliko Mrusi
Sawa kbsa mpaka maji Waite mmaaaaSisi tumejiandaa kwa miaka 30 kwauchache ikizidi 50 labda tunaweza poteana
RUSSIA kamatia hapo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan super power mkubwa anasubili mpaka asaidiwe kumdhoofisha Russia ndo aingie vitani kumpiga? Basi US sio super power. Aende sasa hivi tuoneJifarijini kwa kweli maana mataifa makubwa yote yanasaidiana kupigana na nchi moja tena ardhi ya ugenini,
Siku wakianza kuishambulia urusi ndio ntaamini US ana power kuliko Mrusi
Maneno mengi kama mwanamke wa kizaramoNa siku akishambulia URUSI basi ndo utakuwa mwisho wa USA
Hizo ndo mbinu za usuper power wenyewe kama russia anaweza kutafuta jirani wa us pale na kumsaidia kivita kumpiga halafu us akishachoka ndo ampige kiulaini ningemuta super power maana katumia akili kubwa.Yaan super power mkubwa anasubili mpaka asaidiwe kumdhoofisha Russia ndo aingie vitani kumpiga? Basi US sio super power. Aende sasa hivi tuone
Kwahiyo kwa akili yako unaona ni Ukraine peke yake ndo anapambana na Urusi peke yake, au ni nchi zote 30 za NATO?Nawaza na kukosa majibu ,inakuaje taifa la pili kwa ubora wa kijeshi na zana bora kabisa ,wanapambana na nchi changa kama Ukraine, wanalambishwa sukari? Wengine wanadai anapigana na nchi 30, je ni kweli? Wengine hawakuishia hapo wakadai anapigana na dunia, Mimi sina uhakika maana siko vitani ila kiuhalisia haiingii akilini kabisaaa!Marekani kule Afghanistan alikua na jeshi dogo sana hawakuzid 2000,na vifaa vichache sana ,ila kwa Russia msafara wa km 65, na military personal 150,000 unadai special operation? Kiruuuuuuuuu
Kwa hiyo mkuu wanajeshi ,ndege,artery,ant-aircraft, vifaru,meli,manowar,ya NATO ni kwamba vyote vinaishambulia Russia?ulitaka Ukraine aje na kisu wewe uje na bunduk? Wote mpewe bunduk au visu tuone nani mbabeKwahiyo kwa akili yako unaona ni Ukraine peke yake ndo anapambana na Urusi peke yake, au ni nchi zote 30 za NATO?
+ na vikwazo juu[emoji23][emoji23]Yaan super power mkubwa anasubili mpaka asaidiwe kumdhoofisha Russia ndo aingie vitani kumpiga? Basi US sio super power. Aende sasa hivi tuone
Mwambieni aiondolee vikwazo urusi afu wapambane ndio tujue kweli yeye ana power kuliko wote dunianiTatizo dini yako
Mwambieni aiondolee vikwazo urusi afu wapambane ndio tujue kweli yeye ana power kuliko wote duniani
Maneno mengi kama mwanamke wa kizaramo
[emoji3][emoji3][emoji3] story za vijiweniSawa ila ukweli ndo uwo.ajaribu tu kurusha hata jiwe URUSI uwone kama MAREKANI awajamsoma kwenye History kuwa kulikuwa na Nchi inaitwa MAREKANI
Hana haja navyo maana anapambana na Ukraine sio dunia,kama kuweka vikwanzo kazi rahisi mwambie Andunje nae aweke vikwazo.
Kama za hiroshima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3] story za vijiweni
Ukraine ni nchi changa tokea lini?Nawaza na kukosa majibu ,inakuaje taifa la pili kwa ubora wa kijeshi na zana bora kabisa ,wanapambana na nchi changa kama Ukraine, wanalambishwa sukari? Wengine wanadai anapigana na nchi 30, je ni kweli? Wengine hawakuishia hapo wakadai anapigana na dunia, Mimi sina uhakika maana siko vitani ila kiuhalisia haiingii akilini kabisaaa!Marekani kule Afghanistan alikua na jeshi dogo sana hawakuzid 2000,na vifaa vichache sana ,ila kwa Russia msafara wa km 65, na military personal 150,000 unadai special operation? Kiruuuuuuuuu
Taifa kina miaka 31 ,hata tz ni kaka zakeUkraine ni nchi changa tokea lini?
Pro Russia huwa mnatumia fuvu kufikiria kwa hiyo Russia anapigana na dunia?Hana haja navyo maana anapambana na Ukraine sio dunia,
Urusi anapigana na Ukraine yeye anawashwa nini?