Siku 40 bila mwamba: Ulituheshimisha sisi wanyonge na masikini, pumzika kwa amani Hayati Dkt. Magufuli

Siku 40 bila mwamba: Ulituheshimisha sisi wanyonge na masikini, pumzika kwa amani Hayati Dkt. Magufuli

Mtoa uzi kaukimbia uzi wake? Wanyonge bwana wanafanana na mataahira
 
Naungana na wewe ktk kumbukumbu ya 40 mkuu.
Lakini hivi ni kweli kwamba wewe ni mnnyonge? Kwa namna hata ulivyoandika unaonesha ni mtu flani smart hivi, unyonge unatoka wapi mkuu kazi ziendelee tu Mzee baba.
Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani hayati JPM.
 
Naungana na wewe ktk kumbukumbu ya 40 mkuu.
Lakini hivi ni kweli kwamba wewe ni mnnyonge? Kwa namna hata ulivyoandika unaonesha ni mtu flani smart hivi, unyonge unatoka wapi mkuu kazi ziendelee tu Mzee baba.
Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani hayati JPM.
 
Siku 40 bila kuambiwa "kaeni na mavi yenu nyumbani msichafue vyoo vya serikali".

Nyumbu hamtakagi kuambiwa ukweli, magu alikuwa anawachana live. Unakuja na kinyesi chako unataka ukanye kwa garama unayo taka wewe??.

Mlizani kuna shangazizenu wa kusafisha kinyesi chenu kwa pesa kidogo, aisee.
Alisha waambia hakwenda ikulu kutafuta mke so no kubembelezana.

R.I.P Jembe.
 
Unyonge na umasikini sio sifa, kwahiyo tusivi promote kama vile ni sifa. Hata hili neno wanyonge halina mantiki kulitumia.
Awamu ya tano ndiyo iliyozalisha watu wanaoitwa wanyonge. Na baadhi yao mpaka sasa wanaona ni sifa kuitwa wanyonge. Hawa watu wanahitaji ukombozi wa kifikra, TZ hatuna wanyonge.
 
Nyumbu hamtakagi kuambiwa ukweli, magu alikuwa anawachana live. Unakuja na kinyesi chako unataka ukanye kwa garama unayo taka wewe??.

Mlizani kuna shangazizenu wa kusafisha kinyesi chenu kwa pesa kidogo, aisee.
Alisha waambia hakwenda ikulu kutafuta mke so no kubembelezana.

R.I.P Jembe.
Mgufuli nyumbu wa level ya Ph.D.Na wewe unamfuatisha mwanafunzi wake.

Kagomea chanjo, kagomea barakoa, daflao limemchukua.

Kuna namna ya kuwahamasisha wananchi wachukue responsibility bila kusema maneno ya kunya kama alivyokuwa anasema yule mshenzi.

Rais gani anaongea maneno ya kunya, literally.

Magufuli aliushusha hadhi sana urais wa Tanzania kwa maneno yake machafu.

Na wewe ukiwa mtu uliyezoea kutukanwa hivyo wala huwezi kujua kwamba rais hatakiwi kuongea hivi.

Unakuwa kama mtu uliyeishi karibu na choo miaka mingi, hata harufu chafu ya choo umeizoea na kuiona ya kawaida.

Magufuli Mungu wako kashakufa, kama unampenda sana mfuate.
 
SIKU 40 BILA MWAMBA: ULITUHESHIMISHA SISI WANYONGE NA MASIKINI,PUMZIKA KWA AMANI JPM.

Katika awamu ya nne ya Rais Mstaafu Kikwete kurudi nyuma hadi Azimio la Zanzibar, Matajiri na Wafanyabiashara walikuwa na Jeuri za kila aina,kwa maana walianza kufanikiwa kuifanya CCM kuwa ya Wafanyabiashara, Wakulima na Wafanyakazi kitu ambacho kilikiuka miiko ya CCM iliyokuwa ya Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi,na CCM ambayo inaongozwa na itikadi ya Kijamaa,sio ya Kibepari.

Dhana ya Wafanyabiashara kuhodhi mali za CCM na kuitawala CCM iliwapa jeuri Matajiri ambao wengi wao ni Wafanyabiashara waliokuwa wafadhiri lakini pia Mafisadi,jeuri ya Matajiri ilikuwa kubwa hasa awamu ya nne,matajiri walifikia mpaka kuamua uhai wa watu masikini waishi vipi wakae wapi wale nini kwa maana gap la tajiri na masikini lilikuwa kubwa na baadhi ya matajiri walikuwa na utajiri kiasi cha kuweza kuikopesha Serikali.

Alipoingia Hayati Rais Daktari John Pombe Magufuli alituheshimisha wanyonge ambao tulikuwa tukionewa na matajiri hata sauti zetu zisisikike popote, Wanyonge ambao hatukuwa na mtu wa kutupa kimemo ili twende kwa Mkurugenzi fulani atuajiri,Rais wa Awamu ya tano, Daktari John Pombe Magufuli alituheshimisha sisi Masikini (Mimi nikiwemo) kuwa hata sisi pia ndani ya hii Ardhi ya Mama Tanzania tuna thamani yetu,tuliokuwa matombo Morogoro tuliweza kupata ajira tukiwa kijijini matombo na wasiopata walikuwa na matumaini ya kupata, Hayati Rais Magufuli alitupa ujasiri (akatujaza) jeuri sisi masikini mpaka Matajiri nao wakaanza kutunyari (kutuogopa) Wanyonge na masikini nasi tukaanza kuona kuwa Tanzania ni nyumbani kwetu sio nyumbani kwa matajiri peke yao.

Watu wanauliza mnyonge ni nani? wengine wakianzisha kampeni wasiitwe wanyonge,lakini niwaambie mnyonge ni mtu yule anaepata mlo mmoja au miwili kwa siku, akipata milo mitatu kwa shida,inabidi achakarike na asisumbuliwe, mfano Mmachinga anafukuzwa na askari sehemu yake anayofanya biashara. JPM aliwapa kibali cha unafuu, wataacha kumpenda?kwa mnyonge, akipata kile anachotafuta bila kusumbuliwa, ni Raha yake na anamuamini aliyemuwezesha,Hayati Rais John Pombe Magufuli aliweza hilo.

#Ahsante Rais Magufuli
#Pumzika kwa Amani Mwamba.
Hayo yote aliyafanya kwa manufaa yake pia.
 
Kwa comments hizo umejua hisia za walio wengi. Usije Tena na upuuzi huo.
 
Taifa la Tanzania bado lipo na watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida.

Atukuzwe Bwana Mungu !
 
Lakini Mungu anatisha sana jamani,
tumuogopeni sana na kushika mafundisho yake.

Tuishi kwa kutendeana kwa haki.

Mungu ni mwenye haki. Anapendezwa na matendo ya haki na siyo udhalimu.
 
mleta mada ameacha kudemka kwa kuweka mawasiiliano na kisomo chake mwishoni mwa uzi. Bila shaka kasoma za nyakati .
 
Yani hata mtu alindwe na majeshi na vifaru , hata awe na pesa na almas au dhahabu, hata awe na Mamlaka kubwa kuliko lakini Mungu sijui siri zake anazijua yeye mwenyewe hakika na hatima ya kila mwanadamu.

Tuwafundishe wana na watoto wetu kumcha Mungu (Kumuogopa Mungu) kwa kuishi kwa kutenda haki hata kama kwa gharama kubwa namna gani.
 
Mtaani ni kama tz ilipata uhuru march 2021 ni fulu burudani
 
SIKU 40 BILA MWAMBA: ULITUHESHIMISHA SISI WANYONGE NA MASIKINI,PUMZIKA KWA AMANI JPM.

Katika awamu ya nne ya Rais Mstaafu Kikwete kurudi nyuma hadi Azimio la Zanzibar, Matajiri na Wafanyabiashara walikuwa na Jeuri za kila aina,kwa maana walianza kufanikiwa kuifanya CCM kuwa ya Wafanyabiashara, Wakulima na Wafanyakazi kitu ambacho kilikiuka miiko ya CCM iliyokuwa ya Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi,na CCM ambayo inaongozwa na itikadi ya Kijamaa,sio ya Kibepari.

Dhana ya Wafanyabiashara kuhodhi mali za CCM na kuitawala CCM iliwapa jeuri Matajiri ambao wengi wao ni Wafanyabiashara waliokuwa wafadhiri lakini pia Mafisadi,jeuri ya Matajiri ilikuwa kubwa hasa awamu ya nne,matajiri walifikia mpaka kuamua uhai wa watu masikini waishi vipi wakae wapi wale nini kwa maana gap la tajiri na masikini lilikuwa kubwa na baadhi ya matajiri walikuwa na utajiri kiasi cha kuweza kuikopesha Serikali.

Alipoingia Hayati Rais Daktari John Pombe Magufuli alituheshimisha wanyonge ambao tulikuwa tukionewa na matajiri hata sauti zetu zisisikike popote, Wanyonge ambao hatukuwa na mtu wa kutupa kimemo ili twende kwa Mkurugenzi fulani atuajiri,Rais wa Awamu ya tano, Daktari John Pombe Magufuli alituheshimisha sisi Masikini (Mimi nikiwemo) kuwa hata sisi pia ndani ya hii Ardhi ya Mama Tanzania tuna thamani yetu,tuliokuwa matombo Morogoro tuliweza kupata ajira tukiwa kijijini matombo na wasiopata walikuwa na matumaini ya kupata, Hayati Rais Magufuli alitupa ujasiri (akatujaza) jeuri sisi masikini mpaka Matajiri nao wakaanza kutunyari (kutuogopa) Wanyonge na masikini nasi tukaanza kuona kuwa Tanzania ni nyumbani kwetu sio nyumbani kwa matajiri peke yao.

Watu wanauliza mnyonge ni nani? wengine wakianzisha kampeni wasiitwe wanyonge,lakini niwaambie mnyonge ni mtu yule anaepata mlo mmoja au miwili kwa siku, akipata milo mitatu kwa shida,inabidi achakarike na asisumbuliwe, mfano Mmachinga anafukuzwa na askari sehemu yake anayofanya biashara. JPM aliwapa kibali cha unafuu, wataacha kumpenda?kwa mnyonge, akipata kile anachotafuta bila kusumbuliwa, ni Raha yake na anamuamini aliyemuwezesha,Hayati Rais John Pombe Magufuli aliweza hilo.

#Ahsante Rais Magufuli
#Pumzika kwa Amani M

SIKU 40 BILA MWAMBA: ULITUHESHIMISHA SISI WANYONGE NA MASIKINI,PUMZIKA KWA AMANI JPM.

Katika awamu ya nne ya Rais Mstaafu Kikwete kurudi nyuma hadi Azimio la Zanzibar, Matajiri na Wafanyabiashara walikuwa na Jeuri za kila aina,kwa maana walianza kufanikiwa kuifanya CCM kuwa ya Wafanyabiashara, Wakulima na Wafanyakazi kitu ambacho kilikiuka miiko ya CCM iliyokuwa ya Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi,na CCM ambayo inaongozwa na itikadi ya Kijamaa,sio ya Kibepari.

Dhana ya Wafanyabiashara kuhodhi mali za CCM na kuitawala CCM iliwapa jeuri Matajiri ambao wengi wao ni Wafanyabiashara waliokuwa wafadhiri lakini pia Mafisadi,jeuri ya Matajiri ilikuwa kubwa hasa awamu ya nne,matajiri walifikia mpaka kuamua uhai wa watu masikini waishi vipi wakae wapi wale nini kwa maana gap la tajiri na masikini lilikuwa kubwa na baadhi ya matajiri walikuwa na utajiri kiasi cha kuweza kuikopesha Serikali.

Alipoingia Hayati Rais Daktari John Pombe Magufuli alituheshimisha wanyonge ambao tulikuwa tukionewa na matajiri hata sauti zetu zisisikike popote, Wanyonge ambao hatukuwa na mtu wa kutupa kimemo ili twende kwa Mkurugenzi fulani atuajiri,Rais wa Awamu ya tano, Daktari John Pombe Magufuli alituheshimisha sisi Masikini (Mimi nikiwemo) kuwa hata sisi pia ndani ya hii Ardhi ya Mama Tanzania tuna thamani yetu,tuliokuwa matombo Morogoro tuliweza kupata ajira tukiwa kijijini matombo na wasiopata walikuwa na matumaini ya kupata, Hayati Rais Magufuli alitupa ujasiri (akatujaza) jeuri sisi masikini mpaka Matajiri nao wakaanza kutunyari (kutuogopa) Wanyonge na masikini nasi tukaanza kuona kuwa Tanzania ni nyumbani kwetu sio nyumbani kwa matajiri peke yao.

Watu wanauliza mnyonge ni nani? wengine wakianzisha kampeni wasiitwe wanyonge,lakini niwaambie mnyonge ni mtu yule anaepata mlo mmoja au miwili kwa siku, akipata milo mitatu kwa shida,inabidi achakarike na asisumbuliwe, mfano Mmachinga anafukuzwa na askari sehemu yake anayofanya biashara. JPM aliwapa kibali cha unafuu, wataacha kumpenda?kwa mnyonge, akipata kile anachotafuta bila kusumbuliwa, ni Raha yake na anamuamini aliyemuwezesha,Hayati Rais John Pombe Magufuli aliweza hilo.

#Ahsante Rais Magufuli
#Pumzika kwa Amani Mwamba.
Na bado mtazihesabu siku sana na hatarudi ng'oooo! Hapo mkubali matokeo badilikeni tu.
 
Wanyonge jogoo halipandi mtungi..acha ufala tunakula huku wake zao Nani mnyonge ???na watoto wao pia...
 
Back
Top Bottom