Siku 60 za Rais Samia madarakani: Tunakushukuru sana kwa uongozi wako makini, hakika umerejesha tumaini na furaha

Siku ya tatu mfumo wa kununua umeme wa TANESCO nchi nzima uko "dawn" wazazi ambao vitoto vyao njiti vipo kwenye incubators jiandaeni kubeba "maiti" vitakufa tu, hospitali nyingi hasa za umma hawana genereta za dharula...
Na izo chanjo zenu za covid sijuhi tumuombe Mh. Uhuru Kenyatta atuhifadhie mana huku hakuna uhakika kabisa wa usalama wake!
 
bado anatakiwa awe mfuatiliaji zaidi kama alivyo kuwa mtangulizi wake,

Ufuatiliaji kwa umakini mambo yote yenye masilahi kwa nchi, mfano kama tulivyo ona Hayayi Maguguli alivyo baini makinikia yaliyo kuwa yanasafirishwa yakidaiwa kuwa ni mchanga.
hapa lazima awe na wasaidizi wenye utiiiiiiii na uadilifu ktk kila idara za serikali,kuanzia juu mpaka chini vinginevyo wapo baadhi ya viongozi wajanja watakao mdanganya na kumpumbaza vizuri sana.

Rais peke yake hawezi kutimiza na kutekeleza matarajio ya wananchi bila uongozi imara kutoka kwa PM,

PM aongeze ufuatiliaji na kuchukua hatua haraka, kwani tumeona ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma ktk halmashauri nyingi.

Usimamizi na ufuatiliaji bado hatujaona.
 
Ushauri wako naamini ataufanyia kazi
 
Huh... hakikisha?

Did you really mean that?

Hakikisha?

Hakuna chochote ninachopaswa kuhakikisha hapa.

Siwajibiki kuhakikisha wala kutohakikisha lolote.

Unaweza kuendelea kulitetea JIZI la msoga.
Eventually nimejua kumbe unapambana ukiamin juu ya conspiracy theories!! Bas kwa mantiki hiyo hutendei haki jukwaa hili kama utashindwa hata ku defend hoja yako kwa facts.
 
Samia atatufikisha mbali, kwa sera zake rafiki kwa wawekezaji zitakazokuza uchumi wa nchi na kutoa ajira kwa wAtanzania, biashara kati ya Tanzania na nchi jirani pia imerudi, nchi itastawi
 

Angekua magu leo mtu tanesco angerudi kijijin kwao, hii nchi imekua utopolo kabisa, wanajua jembe kashaondoka sasa hivi wanafanya wanavyotaka na Mama yuko kimya tu na ushungi wake kama kiroba cha bangi
 
Angekua magu leo mtu tanesco angerudi kijijin kwao, hii nchi imekua utopolo kabisa, wanajua jembe kashaondoka sasa hivi wanafanya wanavyotaka na Mama yuko kimya tu na ushungi wake kama kiroba cha bangi

Hata wakati wa magu palikua na mgao mkali wa umeme.
 
Mama SSH ndio Raisi wa Jamhuri. Hatukuzoea kuwa na Lady Boss.
Naona yupo vizuri tena zaidi kuliko hao marais waliomtangulia.Mungu ampe afya njema.
 
Jambo la msingi ni utimamu wa akili yake na busara alizo tunukiwa na Muumba wake hizo ndio nyezo kuu na za msingi zitakazo muwezesha kubaini na kung'amua mambo mbalimbali.

ukijumlisha na kivumishi kielezi= kivumishi kihisishi.
 
Nipo kwenye gari natoka mjini hapa Jijini Mwanza. Kuna daladala nimeiona inapiga ruti ya Airport - Nyashishi nyuma imeandikwa "USIFURAHIE MWANZO, FURAHIA MWISHO"!
 
Babu kizee ,tulia ,watu wale furaha,ya uhuru amani na upendo.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Vizuri sana kweli tunamshukuru Mungu Mkuu kwa muujiza aliotutendea tulikuwa kama watumwa kwenye nchi yetu wenyewe sasa mambo yanakwenda shwari kabisa.
 
hamna lolote ashapoteza mvuto hata siku mia 100 hazijaisha....watu wanataka kuona vitendo na sio maneno,uzanzibari umetamalaki wengine twaona kero tu tunatamani 2025 ifike haraka maisha yaendelee.

Tumechoka na tuko wengi.
 
hamna lolote ashapoteza mvuto hata siku mia 100 hazijaisha....watu wanataka kuona vitendo na sio maneno,uzanzibari umetamalaki wengine twaona kero tu tunatamani 2025 ifike haraka maisha yaendelee.

Tumechoka na tuko wengi.
Mko wengi mataga na sukuma gang ila watanzania wazalendo tunaona mama yuko vizuri.
 
hamna lolote ashapoteza mvuto hata siku mia 100 hazijaisha....watu wanataka kuona vitendo na sio maneno,uzanzibari umetamalaki wengine twaona kero tu tunatamani 2025 ifike haraka maisha yaendelee.

Tumechoka na tuko wengi.
Nenda kapumzike hapa hadi 2025 ifike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…