nightwalker
Member
- Jan 29, 2020
- 51
- 75
Kutana na taifa linalo ongozwa kimbea mbea tu nimwendo wakumsuta tu nakumchamba mtu alofanya ubadhirifu mpaka akonde ckunyngne asiludie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama au JK
Mbona unahangaika sana kumtetea huyo BIBI KIZEE dhaifu?
Mara sijui ng'ara sijui nini!
Hawezi kung'ara kwa kuvaa ushungi na kupaka lipstic!
Lazima afanye vitu tangible vya maendeleo vinavyoonekana na kushikika!
Afya, elimu, miundo mbinu nk.... kushughulikia mafisadi na wauza ngada.
Sasa hivi huyo BIBI KIZEE yuko bize anawatetea mafisadi! Ati walionewa!
Si ajabu na yeye anauza ngada, maana sio kwa spidi hiyo aliyoingia nayo ya kuwatetea WAHALIFU na MAJIZI.
Unakuja na habari hafifu za "ng'ara mama ng'ara mama"....... for what exactly? Bando?
Man, are you stooopid or something?
Huh... hakikisha?
Did you really mean that?
Hakikisha?
Hakuna chochote ninachopaswa kuhakikisha hapa.
Siwajibiki kuhakikisha wala kutohakikisha lolote.
Unaweza kuendelea kulitetea JIZI la msoga.
Huyo BIBI KIZEE hawezi kuwa mfuatiliaji.
Kwanza amejichokea kwa urojo na udhaifu, hata ukimueleza habari za makinikia sijui kama anaelewa ni kitu gani?
Anajua hata maana ya makinikia kweli?
Achana na chuma JPM wewe... a man who understands each word he says!
Huyu BIBI USHUNGI na malipstick yake anatupotezea WAKTI tu!
Masikini hata hujanielewa 🤣🤣 hebu fuatilia comments zangu then utaelewa nimesimamia wapMbona unajihami? Kwan ni vibaya Mama akifanya kazi na jk ? , kumbuka jk ni raisi mstaafu so mama ni lazima awe nae karibu kwa ajili ya ushauri
Kwanza amani imerudi na matumaini mapya yanajengeka,Sio tena Mitano aongoze tu mpaka 2030Mheshimiwa Rais.
Awali ya yote nakutakia Amani ya Mwenyezi Mungu BWANA wa Majeshi na Nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nipende kuchukua fursa hii kukupongeza kwa uchapakazi makini, kwa uongozi thabiti na serikali inayosikia na kuzingatia maoni, matakwa na maslahi ya wananchi. Kwa hakika uongozi wako umekuwa ni faraja kubwa na matumaini makubwa sana kwetu hasa ukizingatia aina ya utawala uliopita, utawala ambao haukujali vilio vya wananchi, utawala uliojaa uonevu, propaganda na matumizi mabaya kabisa ya madaraka.
Mheshimiwa Rais nafahamu kuwa haya unayoyatekeleza ni wajibu wako, lakini sisi Watanzania ni waungwana, kwa hiyo si vibaya kuonyesha uungwana wetu kwa kushukuru. Hata kwenye vitabu vitakatifu tumefundishwa kuwa kushukuru ni jambo zuri na hata Mwenyezi Mungu amesema kuwa Mwenye kumshukuru basi humuongezea. Kwa hiyo mheshimiwa rais tunashukuru kwa aina ya uongozi wako, uongozi uliojaa utu, huruma, uzalendo, haki na vision kubwa ya maendeleo
Tangu umechukua uongozi baada ya kifo cha rais aliyekutangulia Ndugu Magufuli yapata siku 60, lakini katika hizo siku umefanya mambo makubwa, yenye manufaa sana kwa nchi yetu na hapa chini nitaorodhesha machache
1. Ndani ya Siku 60 za uongozi wako, umeshawaondolea wananchi riba (retention fee) ya 6% kwenye mikopo yao ya elimu ya juu.
Mheshimiwa hili ulilolifanya ni jambo zuri mno, hii riba ndiyo iliyokuwa ikiwafanya watu walipe deni miaka na miaka lakini lisiishe maana deni lilikuwa inaendelea kujiaccumulate hata baada ya kulipunguza. Hakika tunakushukuru sana mheshimiwa rais kwa uamuzi huu wa busara
2. Umetangaza Ajira 40000 kwa mwaka huu, na umeshatoa kibali cha ajira takriban 10000 kwanza.
Mheshimiwa rais ubarikiwe sana, hili ni jambo kubwa, vijana wetu walikuwa wanatangatanga mitaani, ajira hakuna, mzigo wa kulea hawa watoto uliendelea kuwa mzigo kwa familia ambazo zimeshatumia kila senti na ndululu kuwasomesha lakini mwishowe wanakosa ajira. Hili suala kwa hakika lilikuwa linayafanya maisha yazidi kuwa magumu lakini umetusaidia sana, na nakuomba uendelee kutoa ajira kadri hali ya uchumi itakavyoboreka
3. Mheshimiwa rais, ndani ya siku 60, umetusaidia kuongeza umri wa mtoto kunufaika na NHIF kutoka miaka 18 hadi 21.
Hili jambo limekuwa msaada mkubwa kwetu wananchi, hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa vijana wa miaka 18 kimsingi wanakuwa bado hawajaanza kusimama vizuri kwa miguu yao, kwa hiyo zigo la matibabu yao lilikuwa linarudi tena kwa mzazi au mlezi, kitendo chako cha kuongeza umri wa kunufaika na Bima ya Afya hadi miaka 21 chini ya cover ya mzazi/mlezi kimeleta unafuu mkubwa kwa hawa vijana na familia zao kiujumla
4. Mheshimiwa ndani ya siku 60 umesaidia kurudisha bei za vifurushi vya internet kuwa angalau kama zamani, na umefungulia mitandao iwe huru.
Nikupongeze sana mheshimiwa rais kwa Intervention yako, Serikali iliyopita ya Magufuli ilituhadaa wananchi kuwa inakwenda kukaa na makampuni ya simu ili yashushe bei za vifurushi, kilichotokea hapo ni uwongo mtupu, bei zilipanda na sisi wananchi tukaumia sana, maana zilikuwa ni bei ambazo majority ya wananchi wasingeweza kuzimudu. Wewe umetusaidia kuzirudisha angalau kwa bei ya awali. Nafahamu kuwa licha ya kuwa yapo makampuni korofi yanajivutavuta, lakini hata yenyewe yameshusha kidogo, na yapo yaliyotii kabisa agizo lako, kwetu sisi wananchi tunasema hili si haba, na tunaomba hayo makampuni korofi yafuatiliwe bila kuathiri uwekezaji wao ili iwepo win-win.
Pia mheshimiwa rais, ndani ya siku zako 60, Umeachia mitandao iwe huru zaidi, Leo hii hatuhitaji rena VPN kuipata twitter, na wale waliokuwa na online TV umewaachia huru. Kwa hakika hii ni hatua muhimu sana ya kulinda demokrasia yetu na uhuru wa habari.
5.Mheshimiwa rais, ndani ya siku zako 60 Umeachia huru wafungwa wa waliobambikiziwa kesi.
Miongoni mwao wamo wale waliowekwa ndani kwa sababu za Kisiasa, mheshimiwa jana peke yake umeachia huru wafungwa takriban 147 ambao makosa yao yalikuwa ni ya kubumba, hawa walibambikiziwa kesi mbayambaya za uhujumu uchumi ili waozee jela kwa sababu za ajabuajabu kabisa ikiwemo ugomvi wa kisiasa tu.
6. Ndani ya siku 60, umeonyesha uongozi makini wenye kuzingatia sayansi kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa korona.
Kiukweli kabisa, Nchi yetu ilifanikiwa kupata mafanikio katika wimbi la kwanza kwa sababu tulipigana katika angle tatu, tulipambana kwa kufuata recommendations kadha wa kadha za kisayansi, pia tukawa tunatumia na njia zetu za asili bila kusahau spiritual front. Lakini kwenye wimbi la pili tukawa wabishi, sayansi tukaikataa, tukapromote njia zetu za asili peke yake na huku upande wa Spiritual tukawa wanafiki zaidi, Tukataka kulitumia Jina la Mungu kuficha kutowajibika kwetu, matokeo yake wimbi la pili likawa disaster sana.
Nakupongeza mheshimiwa raisi kwa kurudisha common sense kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa huu, ba ushauri wangu ni kuwa lazima tuendelee kupambana na huu ugonjwa kisayansi, bila kusahau njia zetu za asili na bila kumsahau Mungu, na tuwe genuine kabisa, tusimtumie Mungu kisiasa ili kuficha kutowajibika kwetu. Nakupongeza kwa kupromote barakoa badala ya kuzibeza.
7. Ndani ya siku 60 umeshawezesha Mahindi yetu kuendelea kupata soko Kenya na Umeweza kuingia mkataba wa kujenga bomba la gesi ili tuwauzie Wakenya.
Mheshimiwa, wote tunajua kuwa Wakenya walikerwa na kauli ya rais Magufuli juu ya kuwakebehi kwa lockdown waliyoweka kwao, na Magufuli akajitapa kuwauzia chakula kwa bei ghali, kwa hiyo Wakenya wakafanya retaliation. Ila kutokana na uwezo wako mkubwa kwenye diplomasia umewezesha kutatua hilo tatizo na sasa mahindi yetu yanapata soko huko Kenya, wakulima wetu wananufaika.
Pia ndani ya siku 60 umetia saini mkataba wa kujenga bomba la gesi ili tuwauzie Wakenya gesi. Kwa hakika hili ni hambo kubwa kiuchumi, litakapokamilika litasaidia kukuza uchumi wetu.
8. Mheshimiwa, ndani ya siku 60 umeonyesha nia kuzungumza na wapinzani na kujenga mazibgira ya siasa za kuaminiana katika spirit ya kupingana bila kupigana.
Mheshimiwa rais, chini ya utawala wa Rais Magufuli, siasa za nchi hii zikitawaliwa na ubabe, uporaji wa haki ya wananchi kuchagua viongozi wao kwa haki(rejea chaguzi za serikali za mitaa), polisi kuvamia ofisi za wapinzani, kuvuruga mikutano yao hata ile ya ndani, kubambikiza kesi wapinzani na hata wengine kupigwa risasi mchana kweupe bila uchunguzi wowote. Mheshimiwa, sisi tunakupongeza kwa kutaka au kukubali mazungumzo na wapinzani, maana at the end of the day, hii nchi ni yetu sote na ni lazima kila chama kiwe na haki ya kuoperate nchini bila kufanyiana fujo na vurugu.
9. Ndani ya siku 60, umetuonyesha kuwa uko tayari kung'oa Washenzi na waonevu katika nyadhifa za utumishi.
Kitendo cha kumchunguza yule bwana wa bandari na yule kijana mkuu wa wilaya, ni message kali kwa viongozi wengine kuwa hauko tayari kuvumilia ushenzi. Nimependezwa na approach yako ya kuwachunguza na hatimaye kuchukua hatua, maana haitoshi tu kumtumbua mtu, bali atumbuliwe huku ukiwepo ushahidi wa kutosha kumfikisha katika mkono wa sheria, lakini pia inalinda haki yake kama labda anasingiziwa.
10. Mheshimiwa rais, ndani ya siku 60, umeagiza wale walikuwa na elimu ya darasa la saba waliofukuzwa kazi bila kulipwa stahiki zao walipwe
Mheshimiwa hili ni jambo zuri, ni jambo la haki, maana wale ni wanadamu, wana haki zao za msingi, kitendo cha wewe kuzitambua, ni jambo la faraja sana.
OMBI MAALUM KWAKO MHESHIMIWA RAIS
1. Mheshimiwa Rais, Mwenyezi Mungu amekuweka katika hiyo nafasi, basi tunaomba sisi wananchi utujengee MIFUMO mizuri ili kesho na keshokutwa upo au haupo tuweze kusema kuwa umetuacha tukiwa na HAKI zaidi katika nchi, tukiwa HURU zaidi katika nchi, Tukiweza KUWAWAJIBISHA Viongozi wetu zaidi katika nchi, TUKINUFAIKA na rasilimali zetu zaidi katika nchi.
Na hilo halitiwezekana chini ya katiba hii ya sasa, Hii ni katiba ya KIDIKTETA yaani hata wewe hapo mheshimiwa rais ukiamua kuwa Dikteta katiba hii inakupa ushirikiano mkubwa. Sasa tunaomba utupe MUAFAKA mzuri zaidi wa Kitaifa, na Muafaka huo ni Katiba mpya iliyo nzuri na bora. Mhwshimiwa hili ndo litatufanya tukukumbuke zaidi kuliko hata kama utaweka mabomba ya asali katika kila nyumba!.
2. Pili naomba wale waliovunjiwa nyumba zao Kimara-Mbezi, serikali yako iwaangalie, maana Serikali iliyopita ilionyesha ubaguzi kwenye kutekeleza zoezi la ubomoaji, wale wa Mwanza ilisema wasibomolewe eti kwa sababu walimpa kura Magufuli kwenye uchaguzi wa mwaka 2015, ila wale wa Kimara-Mbezi serikali ikawabomolea bila kujali kuwa walikuwa na Stop order ya Mahakama kuzuia ubomoaji huo. Mheshimiwa Rais naomba uwape kifuta machozi wananchi wa Kimara Mbezi maana kuna ukatili mkubwa na double standard kubwa sana ilifanyika pale.
3. Tunaomba zile sheria za kidhalimu, zenye lengo la kuupalilia udikteta nchini zifanyiwe marekebisho au ziondolewe kabisa. Mheshimiwa rais tunaomba uondoe sheria inayowapa kinga Spika, Naibu wake na Waziri mkuu Kinga ya kutoshitakiwa, hawa wanataka wasishitakiwe kwa nini?, pia sheria za mitandao, vyombo vya habari na kanuni zake zibadirishwe. Hizo sheria siyo conducive kujenga Taifa la watu wenye FIKRA huru kutoa maoni yao kikamilifu, na hazilindi wala kupanua Demkrasia yetu.
4. Pia Mheshimiwa Rais, nchini katika majela yetu kumejaa Masheikh wengi ambao wamo ndani kwa kesi za kubambikiza ikiwemo Masheikh wa UAMSHO na wengine wengi nchini, hawa bado hawajaachiwa, nakuomba Masheikh hawa wasio na hatia nao waachiwe kama wafungwa wengine waliobambikiziwa makosa mbalimbali ikiwemo ya kisiasa wanavyoachiwa.
Mwisho kabisa nimalize kwa kusema. Mheshimwa, Upo kwenye right track sana, yaani uongozi wako ni mzuri na makini mno endelea kuchapa kazi
Kazi iendelee!
acha kupoteza muda na huyo, unaweza kuta sabayaq huyooPac the Don is just a realest nigga with full of intelligence. Ckupi command but ukija humu uka claims jamb hakikisha unaweza ukalinda claims zako kwa evidence. Think about it!
naona ulikuwa mbion kupat teuzi ndoto zimekufa[emoji28][emoji28][emoji28]Huh... hakikisha?
Did you really mean that?
Hakikisha?
Hakuna chochote ninachopaswa kuhakikisha hapa.
Siwajibiki kuhakikisha wala kutohakikisha lolote.
Unaweza kuendelea kulitetea JIZI la msoga.
Mama wewe ni kipenzi cha wa Tz.
Wewe ni Ester (ktk biblia), umekuja kutuokoa ktk mikono ya .....
Wewe ni chaguo la Mungu.
Mama unapatikaje nikupe mitetea 4 ya nguvu unywe supu
Hata wewe utakufa tena inawezekana leo usiku hiyo ni sehemu yetu woteNenda kapumzike hapa hadi 2025 ifike
wengi wa kutosha kwa taarifa yako kuna hadi wahehe gang yani makabila yote Tanzania mwisho wenu na JUMONG ni 2025 .Mko wengi mataga na sukuma gang ila watanzania wazalendo tunaona mama yuko vizuri.
Umemtendea haki kwa uandishi huu. Usijali wale MATAGA ambao bado wana hangover ya Mwendazake watakachosema.Mheshimiwa Rais.
Awali ya yote nakutakia Amani ya Mwenyezi Mungu BWANA wa Majeshi na Nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nipende kuchukua fursa hii kukupongeza kwa uchapakazi makini, kwa uongozi thabiti na serikali inayosikia na kuzingatia maoni, matakwa na maslahi ya wananchi. Kwa hakika uongozi wako umekuwa ni faraja kubwa na matumaini makubwa sana kwetu hasa ukizingatia aina ya utawala uliopita, utawala ambao haukujali vilio vya wananchi, utawala uliojaa uonevu, propaganda na matumizi mabaya kabisa ya madaraka.
Mheshimiwa Rais nafahamu kuwa haya unayoyatekeleza ni wajibu wako, lakini sisi Watanzania ni waungwana, kwa hiyo si vibaya kuonyesha uungwana wetu kwa kushukuru. Hata kwenye vitabu vitakatifu tumefundishwa kuwa kushukuru ni jambo zuri na hata Mwenyezi Mungu amesema kuwa Mwenye kumshukuru basi humuongezea. Kwa hiyo mheshimiwa rais tunashukuru kwa aina ya uongozi wako, uongozi uliojaa utu, huruma, uzalendo, haki na vision kubwa ya maendeleo
Tangu umechukua uongozi baada ya kifo cha rais aliyekutangulia Ndugu Magufuli yapata siku 60, lakini katika hizo siku umefanya mambo makubwa, yenye manufaa sana kwa nchi yetu na hapa chini nitaorodhesha machache
1. Ndani ya Siku 60 za uongozi wako, umeshawaondolea wananchi riba (retention fee) ya 6% kwenye mikopo yao ya elimu ya juu.
Mheshimiwa hili ulilolifanya ni jambo zuri mno, hii riba ndiyo iliyokuwa ikiwafanya watu walipe deni miaka na miaka lakini lisiishe maana deni lilikuwa inaendelea kujiaccumulate hata baada ya kulipunguza. Hakika tunakushukuru sana mheshimiwa rais kwa uamuzi huu wa busara
2. Umetangaza Ajira 40000 kwa mwaka huu, na umeshatoa kibali cha ajira takriban 10000 kwanza.
Mheshimiwa rais ubarikiwe sana, hili ni jambo kubwa, vijana wetu walikuwa wanatangatanga mitaani, ajira hakuna, mzigo wa kulea hawa watoto uliendelea kuwa mzigo kwa familia ambazo zimeshatumia kila senti na ndululu kuwasomesha lakini mwishowe wanakosa ajira. Hili suala kwa hakika lilikuwa linayafanya maisha yazidi kuwa magumu lakini umetusaidia sana, na nakuomba uendelee kutoa ajira kadri hali ya uchumi itakavyoboreka
3. Mheshimiwa rais, ndani ya siku 60, umetusaidia kuongeza umri wa mtoto kunufaika na NHIF kutoka miaka 18 hadi 21.
Hili jambo limekuwa msaada mkubwa kwetu wananchi, hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa vijana wa miaka 18 kimsingi wanakuwa bado hawajaanza kusimama vizuri kwa miguu yao, kwa hiyo zigo la matibabu yao lilikuwa linarudi tena kwa mzazi au mlezi, kitendo chako cha kuongeza umri wa kunufaika na Bima ya Afya hadi miaka 21 chini ya cover ya mzazi/mlezi kimeleta unafuu mkubwa kwa hawa vijana na familia zao kiujumla
4. Mheshimiwa ndani ya siku 60 umesaidia kurudisha bei za vifurushi vya internet kuwa angalau kama zamani, na umefungulia mitandao iwe huru.
Nikupongeze sana mheshimiwa rais kwa Intervention yako, Serikali iliyopita ya Magufuli ilituhadaa wananchi kuwa inakwenda kukaa na makampuni ya simu ili yashushe bei za vifurushi, kilichotokea hapo ni uwongo mtupu, bei zilipanda na sisi wananchi tukaumia sana, maana zilikuwa ni bei ambazo majority ya wananchi wasingeweza kuzimudu. Wewe umetusaidia kuzirudisha angalau kwa bei ya awali. Nafahamu kuwa licha ya kuwa yapo makampuni korofi yanajivutavuta, lakini hata yenyewe yameshusha kidogo, na yapo yaliyotii kabisa agizo lako, kwetu sisi wananchi tunasema hili si haba, na tunaomba hayo makampuni korofi yafuatiliwe bila kuathiri uwekezaji wao ili iwepo win-win.
Pia mheshimiwa rais, ndani ya siku zako 60, Umeachia mitandao iwe huru zaidi, Leo hii hatuhitaji rena VPN kuipata twitter, na wale waliokuwa na online TV umewaachia huru. Kwa hakika hii ni hatua muhimu sana ya kulinda demokrasia yetu na uhuru wa habari.
5.Mheshimiwa rais, ndani ya siku zako 60 Umeachia huru wafungwa wa waliobambikiziwa kesi.
Miongoni mwao wamo wale waliowekwa ndani kwa sababu za Kisiasa, mheshimiwa jana peke yake umeachia huru wafungwa takriban 147 ambao makosa yao yalikuwa ni ya kubumba, hawa walibambikiziwa kesi mbayambaya za uhujumu uchumi ili waozee jela kwa sababu za ajabuajabu kabisa ikiwemo ugomvi wa kisiasa tu.
6. Ndani ya siku 60, umeonyesha uongozi makini wenye kuzingatia sayansi kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa korona.
Kiukweli kabisa, Nchi yetu ilifanikiwa kupata mafanikio katika wimbi la kwanza kwa sababu tulipigana katika angle tatu, tulipambana kwa kufuata recommendations kadha wa kadha za kisayansi, pia tukawa tunatumia na njia zetu za asili bila kusahau spiritual front. Lakini kwenye wimbi la pili tukawa wabishi, sayansi tukaikataa, tukapromote njia zetu za asili peke yake na huku upande wa Spiritual tukawa wanafiki zaidi, Tukataka kulitumia Jina la Mungu kuficha kutowajibika kwetu, matokeo yake wimbi la pili likawa disaster sana.
Nakupongeza mheshimiwa raisi kwa kurudisha common sense kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa huu, ba ushauri wangu ni kuwa lazima tuendelee kupambana na huu ugonjwa kisayansi, bila kusahau njia zetu za asili na bila kumsahau Mungu, na tuwe genuine kabisa, tusimtumie Mungu kisiasa ili kuficha kutowajibika kwetu. Nakupongeza kwa kupromote barakoa badala ya kuzibeza.
7. Ndani ya siku 60 umeshawezesha Mahindi yetu kuendelea kupata soko Kenya na Umeweza kuingia mkataba wa kujenga bomba la gesi ili tuwauzie Wakenya.
Mheshimiwa, wote tunajua kuwa Wakenya walikerwa na kauli ya rais Magufuli juu ya kuwakebehi kwa lockdown waliyoweka kwao, na Magufuli akajitapa kuwauzia chakula kwa bei ghali, kwa hiyo Wakenya wakafanya retaliation. Ila kutokana na uwezo wako mkubwa kwenye diplomasia umewezesha kutatua hilo tatizo na sasa mahindi yetu yanapata soko huko Kenya, wakulima wetu wananufaika.
Pia ndani ya siku 60 umetia saini mkataba wa kujenga bomba la gesi ili tuwauzie Wakenya gesi. Kwa hakika hili ni hambo kubwa kiuchumi, litakapokamilika litasaidia kukuza uchumi wetu.
8. Mheshimiwa, ndani ya siku 60 umeonyesha nia kuzungumza na wapinzani na kujenga mazibgira ya siasa za kuaminiana katika spirit ya kupingana bila kupigana.
Mheshimiwa rais, chini ya utawala wa Rais Magufuli, siasa za nchi hii zikitawaliwa na ubabe, uporaji wa haki ya wananchi kuchagua viongozi wao kwa haki(rejea chaguzi za serikali za mitaa), polisi kuvamia ofisi za wapinzani, kuvuruga mikutano yao hata ile ya ndani, kubambikiza kesi wapinzani na hata wengine kupigwa risasi mchana kweupe bila uchunguzi wowote. Mheshimiwa, sisi tunakupongeza kwa kutaka au kukubali mazungumzo na wapinzani, maana at the end of the day, hii nchi ni yetu sote na ni lazima kila chama kiwe na haki ya kuoperate nchini bila kufanyiana fujo na vurugu.
9. Ndani ya siku 60, umetuonyesha kuwa uko tayari kung'oa Washenzi na waonevu katika nyadhifa za utumishi.
Kitendo cha kumchunguza yule bwana wa bandari na yule kijana mkuu wa wilaya, ni message kali kwa viongozi wengine kuwa hauko tayari kuvumilia ushenzi. Nimependezwa na approach yako ya kuwachunguza na hatimaye kuchukua hatua, maana haitoshi tu kumtumbua mtu, bali atumbuliwe huku ukiwepo ushahidi wa kutosha kumfikisha katika mkono wa sheria, lakini pia inalinda haki yake kama labda anasingiziwa.
10. Mheshimiwa rais, ndani ya siku 60, umeagiza wale walikuwa na elimu ya darasa la saba waliofukuzwa kazi bila kulipwa stahiki zao walipwe
Mheshimiwa hili ni jambo zuri, ni jambo la haki, maana wale ni wanadamu, wana haki zao za msingi, kitendo cha wewe kuzitambua, ni jambo la faraja sana.
OMBI MAALUM KWAKO MHESHIMIWA RAIS
1. Mheshimiwa Rais, Mwenyezi Mungu amekuweka katika hiyo nafasi, basi tunaomba sisi wananchi utujengee MIFUMO mizuri ili kesho na keshokutwa upo au haupo tuweze kusema kuwa umetuacha tukiwa na HAKI zaidi katika nchi, tukiwa HURU zaidi katika nchi, Tukiweza KUWAWAJIBISHA Viongozi wetu zaidi katika nchi, TUKINUFAIKA na rasilimali zetu zaidi katika nchi.
Na hilo halitiwezekana chini ya katiba hii ya sasa, Hii ni katiba ya KIDIKTETA yaani hata wewe hapo mheshimiwa rais ukiamua kuwa Dikteta katiba hii inakupa ushirikiano mkubwa. Sasa tunaomba utupe MUAFAKA mzuri zaidi wa Kitaifa, na Muafaka huo ni Katiba mpya iliyo nzuri na bora. Mhwshimiwa hili ndo litatufanya tukukumbuke zaidi kuliko hata kama utaweka mabomba ya asali katika kila nyumba!.
2. Pili naomba wale waliovunjiwa nyumba zao Kimara-Mbezi, serikali yako iwaangalie, maana Serikali iliyopita ilionyesha ubaguzi kwenye kutekeleza zoezi la ubomoaji, wale wa Mwanza ilisema wasibomolewe eti kwa sababu walimpa kura Magufuli kwenye uchaguzi wa mwaka 2015, ila wale wa Kimara-Mbezi serikali ikawabomolea bila kujali kuwa walikuwa na Stop order ya Mahakama kuzuia ubomoaji huo. Mheshimiwa Rais naomba uwape kifuta machozi wananchi wa Kimara Mbezi maana kuna ukatili mkubwa na double standard kubwa sana ilifanyika pale.
3. Tunaomba zile sheria za kidhalimu, zenye lengo la kuupalilia udikteta nchini zifanyiwe marekebisho au ziondolewe kabisa. Mheshimiwa rais tunaomba uondoe sheria inayowapa kinga Spika, Naibu wake na Waziri mkuu Kinga ya kutoshitakiwa, hawa wanataka wasishitakiwe kwa nini?, pia sheria za mitandao, vyombo vya habari na kanuni zake zibadirishwe. Hizo sheria siyo conducive kujenga Taifa la watu wenye FIKRA huru kutoa maoni yao kikamilifu, na hazilindi wala kupanua Demkrasia yetu.
4. Pia Mheshimiwa Rais, nchini katika majela yetu kumejaa Masheikh wengi ambao wamo ndani kwa kesi za kubambikiza ikiwemo Masheikh wa UAMSHO na wengine wengi nchini, hawa bado hawajaachiwa, nakuomba Masheikh hawa wasio na hatia nao waachiwe kama wafungwa wengine waliobambikiziwa makosa mbalimbali ikiwemo ya kisiasa wanavyoachiwa.
Mwisho kabisa nimalize kwa kusema. Mheshimwa, Upo kwenye right track sana, yaani uongozi wako ni mzuri na makini mno endelea kuchapa kazi
Kazi iendelee!
Kwa jina la Jamhuri Mama yuko vizuri. Miaka 5 mingine 2025!Ng'ara mama ng'ara
Kazi unaifanya na tunaiona!
Kivumishi Kielezi unapotumia matusi moja kwa moja unaonyesha huna uwezo wa kupangua hoja za mtoa mada. Watu wameonewa na Mwendazake lakini wewe unawaita majizi na wahalifu. Mahakama ndiyo pekee yenye uwezo wa kusema huyu ni mhalifu. Kama haijasema anabaki kuwa ni mtuhumiwa tu.Mbona unahangaika sana kumtetea huyo BIBI KIZEE dhaifu?
Mara sijui ng'ara sijui nini!
Hawezi kung'ara kwa kuvaa ushungi na kupaka lipstic!
Lazima afanye vitu tangible vya maendeleo vinavyoonekana na kushikika!
Afya, elimu, miundo mbinu nk.... kushughulikia mafisadi na wauza ngada.
Sasa hivi huyo BIBI KIZEE yuko bize anawatetea mafisadi! Ati walionewa!
Si ajabu na yeye anauza ngada, maana sio kwa spidi hiyo aliyoingia nayo ya kuwatetea WAHALIFU na MAJIZI.
Unakuja na habari hafifu za "ng'ara mama ng'ara mama"....... for what exactly? Bando?
Man, are you stooopid or something?
Ni mkemia FAKE kwa kuwa hakuamini Sayansi katika kushughulikia COVID19Hahahaaaa.... wewe kweli kichwa kimejaa kamasi.
Unaweza ukamfananisha CHUMA JPM MKEMIA na huyo BIBI KIZEE DHAIFU!??
Wacha mchezo wewe!!
Hapa tunaigiza tu — miaka minne iishe arudi unguja akale urojo huko barazani!
Tatizo mlishaziea utumwa. Beberu wamewaaminisha kuwa mwafrika hawezi kuongozwa (chini ya kiongozi) bali anatakiwa atawaliwe (chini ya mtawala). Na umaskini wetu ulianzia hapa. Mama anawathibitishia kuwa mabeberu wako wrong ila ndio hivyo mshazoea kuchungwa kama ng'ombe.Good at wearing ushungi!
Uko sahihi.
ndio wote tutakufa, tatizo lenu nyie mnataka Jiwe ndio aendlee kuongoza nchi wakati tayari yupo futi sita chiniHata wewe utakufa tena inawezekana leo usiku hiyo ni sehemu yetu wote