Siku Bima ya Afya kwa wote ikianza ndiyo utagundua wananchi wengi walikuwa wanatibiwa kwa Mwamposa na kwa waganga!

Siku Bima ya Afya kwa wote ikianza ndiyo utagundua wananchi wengi walikuwa wanatibiwa kwa Mwamposa na kwa waganga!

Sina hakika kama wananchi wengi huwa hawaugui, ila ninachofahamu ni kwamba wananchi maskini walio wengi hutibiwa kwa akina Mwamposa, kwa waganga wa kienyeji au hunywa tu mwarobaini.

Hivyo Bima ya Afya kwa wote itaimarisha afya za Watanzania kwa sababu wote watatibiwa hospital kwa huduma za kisasa kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki.
Unavyodhani ni kosa la nani hadi watu wengi(Watanzania wagonjwa)wajisalimishe kwa Mwamposa na waganga-mwitu?
 
Sina hakika kama wananchi wengi huwa hawaugui, ila ninachofahamu ni kwamba wananchi maskini walio wengi hutibiwa kwa akina Mwamposa, kwa waganga wa kienyeji au hunywa tu mwarobaini.

Hivyo Bima ya Afya kwa wote itaimarisha afya za Watanzania kwa sababu wote watatibiwa hospital kwa huduma za kisasa kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki.
kwani itakua ni bure na ni lazima?
 
Sina hakika kama wananchi wengi huwa hawaugui, ila ninachofahamu ni kwamba wananchi maskini walio wengi hutibiwa kwa akina Mwamposa, kwa waganga wa kienyeji au hunywa tu mwarobaini.

Hivyo Bima ya Afya kwa wote itaimarisha afya za Watanzania kwa sababu wote watatibiwa hospital kwa huduma za kisasa kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki.
Hahahaha. 'Wagombea wote wa na nafasi wa uenyekiti wa CCM Wilaya ni professionals'. Nchi ngumu hii, ndoto nyingi lakini hazitimiagi.. NHIF ishatangazwa mufilis bwashe.
 
Sina hakika kama wananchi wengi huwa hawaugui, ila ninachofahamu ni kwamba wananchi maskini walio wengi hutibiwa kwa akina Mwamposa, kwa waganga wa kienyeji au hunywa tu mwarobaini.

Hivyo Bima ya Afya kwa wote itaimarisha afya za Watanzania kwa sababu wote watatibiwa hospital kwa huduma za kisasa kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki.
Utawalipia wewe hiyo bima?
 
Bima ya afya kwa wote ni Ujamaa.

Ni “socialism” kisahihi. Kama ile ya nchi za Scandinavia. Au mlengo wa kiitikadi wa Democrats USA na Labour Party ya UK.

Ujamaa ulikuwa ukomunisti in disguise. Ndio sababu ya Nyerere kupiga chenga tafsiri yake kwa kiingereza akidai haipo. Katika ujamaa ni “afya bure” kwa wote inayolipiwa [emoji817] na dola. Hakuna cha bima wala kuchangia gharama.
 
Back
Top Bottom