Uchaguzi 2020 Siku hazigandi, mwaka 2020 aliotangaza Rais Magufuli kuwa ndiyo mwaka wa kufanya mikutano ya kisiasa, kwa vyama vya upinzani, ndio huo ushafika

Alifikiri 2020 ni mbali na atakua ameshaua upinzani kumbe ndo kwanza vimeimalika kuliko wakati mwingine wowote uliopita.
 
Serikali ikiweka siku 7 tuu kuwa ndio muda wa kampeni zitatosha kwa vyama vyote kuwafikia wapiga kura?
 
Kuna mikutano ya hovyo kama ya Magu?
Hebu imagine wasaidizi wake "wanaagizwa" eti wadai kuwa msafara wa Rais unesimamishwa njiani ili aongee na wananchi!

Hivi mnadhani nyinyi makada wa CCM mtaendelea,kutuongopea hadi lini?
 
Alifikiri 2020 ni mbali na atakua ameshaua upinzani kumbe ndo kwanza vimeimalika kuliko wakati mwingine wowote uliopita.
Absolutely true Mkuu warthog gun

Huyu jamaa alikuwa amepigia hesabu ya kuua upinzani nchini kabla ya mwaka huu wa 2020 kwa njia zake ovu

Badala ya kufa upinzani, ndiyo kwanza umeimarika mara dufu!
 
Mods, tayari wamenyofoa comment yangu, waambieni hao tiss haisaidii maana tukikaa kimya hata mawe yatasema, hivyo tiss ni jukumu lao kuhakikisha mauaji, utekaji na wizi wa hela za wananchi unakoma na sio kutoa order kufuta topic au comments zinazoonyesha mazaifu ya jiwe, tena tiss mnastahili kubeba lawama zote, maana mngekuwa mnatimiza wajibu wenu vizuri huyu mtu asinge kuwa hapo alipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka yaenda mbio ooh mama hatimaye 2020 imefika Jiwe hajafanya chochote cha maana kinachoonekana
 
Miaka yaenda mbio ooh mama hatimaye 2020 imefika Jiwe hajafanya chochote cha maana kinachoonekana
 
Jiwe linadanganywa kwamba wananchi wanalipenda,, lakini ukweli ni kwamba jiwe halipendwi hata ndani ya serikali yenyewe! Hivi mliona maandamano ilipovumishwa kwamba jiwe limedanja?
 
Acha kupiga porojo nimeshakuambia anzeni hata kesho.
Hahahah!!!Upumbafff ukizidi unakua kituko!!!!Yaani ulivoandika nikama unayo mamlaka hiyo ya kuruhusu au kusemea.Wewe kwa binafsi yako huna cha kumwambia mtu,huna ubavu huo.At least ungejikomboa kwa kutotumia fake ID na fake avatar.Ati "nimeshakuambia"......khaaa ptuuuu!!!!!puke!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau hapa JF ulisema hatamaliza mwaka? Achana na porojo za kitoto
 
Hizo unazijua wewe.........

Mimi nina ID moja tu hapa JF nayo ni hii ya Mystery
Uthibitisho ni huu katika comment ya pili
 
Kuomba vibali pako pale pale. Msifikiri sasa ndio mikutano yenu hovyo hovyo ya hadhara kila siku imeruhusiwa.
Jamaa alidhani 2020 ni mbali na alidhani atakuwa katunyosha kumbe kanyoka yeye mwenyewe na mafrastrations juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…