JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Wadau nina siku nyingi sana nazani takribani mwaka mzima bila kuona Baraza la Mawaziri likiwa limeketi.
Wanakaa kwa siri? ama siku hizi halipo?
Embu wakae wajadili walau hari ya chakula hapa nchini na maisha magumu kwa wananchi.
Huku mtaani kama uchaguzi ukiitishwa leo CCM watatafutana wenyewe kwa wenyewe.
Hari si hari.
Ila hawataki kabisa kusikia ukweli hawa walamba asali.
Wanakaa kwa siri? ama siku hizi halipo?
Embu wakae wajadili walau hari ya chakula hapa nchini na maisha magumu kwa wananchi.
Huku mtaani kama uchaguzi ukiitishwa leo CCM watatafutana wenyewe kwa wenyewe.
Hari si hari.
Ila hawataki kabisa kusikia ukweli hawa walamba asali.