Siku hizi hawajui kusema hapana

Siku hizi hawajui kusema hapana

Kuna watu mnapenda ugumu, umemtongoza mtu au umeonesha nia ya kutaka tunda iwe mapema au kwa kuchelewa akikubali kuna shida gani? Sasa ulimtongoza yanini?

Kuna haja gani ya kuchelewesha mauzo ya azuma.
Na watoto wa siku hizi ukisema uloweke tu..ujue dozi ya Azuma au power safe inakuhusu ndani ya wiki moja..kuna shida sehemu
 
Mkuu,
Wewe unatoaga nyuzi nzurii nzurii za siasa kumbe na huku upo 🙂☺️
ningeverifie id mambo haya muhimu sana ya kijamii nisingekua nayapata kabisa aise...

actually hii pia ni siasa,
lakini yenyewe sasa ni siasa ya mapenzi, hua na kuja kuchota uzoefu na kuongeza uelewa na ufahamu kidogo kuhusu nisiyoyajua kwenye mahusiano ya kimapenzi, uchumba na ndoa 🐒

kuna mambo na elimu nzito na muhimu sana humu aise, kwahiyo nipo pia mara chache chache gentleman...
 
ningeverifie id mambo haya muhimu sana ya kijamii nisingekua nayapata kabisa aise...

actually hii pia ni siasa,
lakini yenyewe sasa ni siasa ya mapenzi, hua na kuja kuchota uzoefu na kuongeza uelewa na ufahamu kidogo kuhusu nisiyoyajua kwenye mahusiano ya kimapenzi, uchumba na ndoa 🐒

kuna mambo na elimu nzito na muhimu sana humu aise, kwahiyo nipo pia mara chache chache gentleman...
Ni vizuri Sanaa mkuu
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Sijui wamekuaje hawa wadada wa siku hizi, neno hapana halimo kabisa kwenye kamusi zao! Mtu unakutana nae tu ukimsemesha vizuri anakupa utamu. Zamani unafukuzia demu mpaka unamchukia unampotezea mwenyewe ila sikuhizi ukimwangalia tu mdada ukizubaa anaweza hata akakutongoza mwenyewe!

Tatizo liko wapi? Wapo wengi sana? Ugumu wa maisha? Ny*ge zinawasumbua? Pepo la ngono limewavaa (maana hata huko kwa manabii wanawake ndio wanaojazana). Kwakweli ni shida!

Kwasasa narindima live kutokea hapa mwamapuli.
Uko wapi......
 
Back
Top Bottom