Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna haja gani ya kuchelewesha mauzo ya azuma.
Bandidu... Unawajua mabandidu weweMbona me sichekagi na watu ovyoo 😧😧😧😩
Kiufupi am BANDIDU
Mpaka uwe na pesa ndo hawasemi hapanaMoja kwa moja kwenye mada.
Sijui wamekuaje hawa wadada wa siku hizi, neno hapana halimo kabisa kwenye kamusi zao! Mtu unakutana nae tu ukimsemesha vizuri anakupa utamu. Zamani unafukuzia demu mpaka unamchukia unampotezea mwenyewe ila sikuhizi ukimwangalia tu mdada ukizubaa anaweza hata akakutongoza mwenyewe!
Tatizo liko wapi? Wapo wengi sana? Ugumu wa maisha? Ny*ge zinawasumbua? Pepo la ngono limewavaa (maana hata huko kwa manabii wanawake ndio wanaojazana). Kwakweli ni shida!
Kwasasa narindima live kutokea hapa Mwamapuli.
Sababu gani mkuuUkisoma maandiko utajua sababu
mbona wapo wanakataa eg ephen kwa yule mzee jirani yaoMoja kwa moja kwenye mada.
Sijui wamekuaje hawa wadada wa siku hizi, neno hapana halimo kabisa kwenye kamusi zao! Mtu unakutana nae tu ukimsemesha vizuri anakupa utamu. Zamani unafukuzia demu mpaka unamchukia unampotezea mwenyewe ila sikuhizi ukimwangalia tu mdada ukizubaa anaweza hata akakutongoza mwenyewe!
Tatizo liko wapi? Wapo wengi sana? Ugumu wa maisha? Ny*ge zinawasumbua? Pepo la ngono limewavaa (maana hata huko kwa manabii wanawake ndio wanaojazana). Kwakweli ni shida!
Kwasasa narindima live kutokea hapa Mwamapuli.
Yametabiriwa watapenda ngonoSababu gani mkuu
Ila mkuu kupeana namba leo na kula leo ina ukakasi sana!!Kuna watu mnapenda ugumu, umemtongoza mtu au umeonesha nia ya kutaka tunda iwe mapema au kwa kuchelewa akikubali kuna shida gani? Sasa ulimtongoza yanini?
Kuna haja gani ya kuchelewesha mauzo ya azuma.
NadhanAu anatongoza ili akataliwe
[emoji16][emoji16]Kuna watu mnapenda ugumu, umemtongoza mtu au umeonesha nia ya kutaka tunda iwe mapema au kwa kuchelewa akikubali kuna shida gani? Sasa ulimtongoza yanini?
Kuna haja gani ya kuchelewesha mauzo ya azuma.
Niambie hapana sweetheart...
Pole yakeNadhan