Siku hizi hawajui kusema hapana

Siku hizi hawajui kusema hapana

Moja kwa moja kwenye mada.

Sijui wamekuaje hawa wadada wa siku hizi, neno hapana halimo kabisa kwenye kamusi zao! Mtu unakutana nae tu ukimsemesha vizuri anakupa utamu. Zamani unafukuzia demu mpaka unamchukia unampotezea mwenyewe ila sikuhizi ukimwangalia tu mdada ukizubaa anaweza hata akakutongoza mwenyewe!

Tatizo liko wapi? Wapo wengi sana? Ugumu wa maisha? Ny*ge zinawasumbua? Pepo la ngono limewavaa (maana hata huko kwa manabii wanawake ndio wanaojazana). Kwakweli ni shida!

Kwasasa narindima live kutokea hapa Mwamapuli.
Mpaka uwe na pesa ndo hawasemi hapana
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Sijui wamekuaje hawa wadada wa siku hizi, neno hapana halimo kabisa kwenye kamusi zao! Mtu unakutana nae tu ukimsemesha vizuri anakupa utamu. Zamani unafukuzia demu mpaka unamchukia unampotezea mwenyewe ila sikuhizi ukimwangalia tu mdada ukizubaa anaweza hata akakutongoza mwenyewe!

Tatizo liko wapi? Wapo wengi sana? Ugumu wa maisha? Ny*ge zinawasumbua? Pepo la ngono limewavaa (maana hata huko kwa manabii wanawake ndio wanaojazana). Kwakweli ni shida!

Kwasasa narindima live kutokea hapa Mwamapuli.
mbona wapo wanakataa eg ephen kwa yule mzee jirani yao
 
Ngoja, kwahiyo mwanamke kusema ndio ni tatizo? Wakianza kuwakataa wanaume si mtakuja hapa tena kusema wanabania?

Me nadhani ungelaumu tabia ya wanawake wa sasa kuwa na double life ya mahusiano. Huku anajinasibu ni mpenzi wako ila mkiagana akienda kwao kesho jioni amelala kwa mwanaume mwingine.

Hiyo ndio dosari yao kubwa.
 
Tatizo ni uhuru usio na mipaka na ubepari, ukiongezea na sera ya Beijing wana uhuru wa kuuza ngono bila hata kusemwa, ukikosoa tu biashara ya ukahaba utaandamwa sana. Yaani hadi tendo la ndoa limebinafsishwa ni biashara huria sasa.
 
Back
Top Bottom