Hapo nikweli kabisa yaani Kila siku lazima niletewe Tengetengee Tengetengee tengereNi kwamba hilo tangazo limekuja right on time Na Sio kwamba teknolojia imekusoma.
Kitu ambacho teknolojia inaweza kukusoma ni ile kuangalia labla video za aina moja kwa muda mrefu hvy muda mwingi itakuwa inakuonyesha aina hizo za video.
Naona wachangiaji wengine wamechangia ndivyo sivyo.