Sema mwanawane. Tumepewa ushauri hapo murwa kabisa. Uzinzi sio dili tuoe jamani. Tatizo napo kuoa ndio uwe una maisha basi tabu tupu. Huna hela hustaili kupata mke ndio dunia ya sasa. Ukienda chaputa nakonshida vile vile. Ulimwengu wa shida tupu huuMzee wa mbususu
Kwanza kataa hilo pepo la uzinzi na umalaya, utawale mwili wako, mimi nilipata tabu mwanzoni ila baadae nikakaa sawa. Tafuta hobie mpya mfano michezo au dini. Mimi nilikimbilia kwenye dini, nikaamua niwe serious na malengo yangu na ibada ndo nikachomoka kwenye huo uteja. Kinachokuponza ni huo uhuru ulio nao, unautumia vibaya kwa kulala na yeyote maana hakuna wakukuuliza wala kukupangia. Oa kama huna mke na umaanishe kutulia. Kabla ya kuoa kaa kama mwaka hivi bila ngono huku ukiriview maisha yako ujiulize kwanini mpaka sasa upo duniani na Mungu anaendelea kukupa oxygen ya bure, pia jua hayo maisha yako huru utayatolea hesabu siku ukifika kwa aliekupa hii pumzi unayoitumia kungonoka hovyoKweli kabisa malipo hapa hapa duniani. Dah sasa mzee sober house ya ngono ipo wapi hapa tz vijana tukapate tiba
Adui mkuu ni uhuru, ukiwa na uhuru wa kufanya chochote utakuja jikuta umekuwa si lolote. Kataa uhuru, jiweke chini ya malezi. Jua jema na baya. Jiweke chini ya mtu anaeweza kukulea na kukukemea ukianza kupotea. Ni ngumu ila fanya hivyoKibaya tunapuuza masuala ya dini hasa yakigusa eneo pendwa tofauti na matamanio yetu.
Pia baadhi ya viongozi wa dini hawafahamu vizuri Mana wako pale aidha kwa kuteuliwa na watu au yeye kupenda so Kuna vingi kuhusu Hy hawafahamu tunakuja kukuta tumebaki na elimu yetu hii ambayo nayo inayumba TU.
Kabisa swala la kupata mke n hela na maisha yawe yametulia ila kwa vijana wengi maisha yetu kuyaendesha tu ni magumu unakuta mtu anadondokea kununua malaya/chaputa.Sema mwanawane. Tumepewa ushauri hapo murwa kabisa. Uzinzi sio dili tuoe jamani. Tatizo napo kuoa ndio uwe una maisha basi tabu tupu. Huna hela hustaili kupata mke ndio dunia ya sasa. Ukienda chaputa nakonshida vile vile. Ulimwengu wa shida tupu huu
Tatizo tunaoaje wakati maisha yetu yenyewe hayaeleweki. Ukifuata mrembo ndio kam hivyo wanakupiga chini tuuKwanza kataa hilo pepo la uzinzi na umalaya, utawale mwili wako, mimi nilipata tabu mwanzoni ila baadae nikakaa sawa. Tafuta hobie mpya mfano michezo au dini. Mimi nilikimbilia kwenye dini, nikaamua niwe serious na malengo yangu na ibada ndo nikachomoka kwenye huo uteja. Kinachokuponza ni huo uhuru ulio nao, unautumia vibaya kwa kulala na yeyote maana hakuna wakukuuliza wala kukupangia. Oa kama huna mke na umaanishe kutulia. Kabla ya kuoa kaa kama mwaka hivi bila ngono huku ukiriview maisha yako ujiulize kwanini mpaka sasa upo duniani na Mungu anaendelea kukupa oxygen ya bure, pia jua hayo maisha yako huru utayatolea hesabu siku ukifika kwa aliekupa hii pumzi unayoitumia kungonoka hovyo
Unamanisha uwe na baba wa kiroho?Adui mkuu ni uhuru, ukiwa na uhuru wa kufanya chochote utakuja jikuta umekuwa si lolote. Kataa uhuru, jiweke chini ya malezi. Jua jema na baya. Jiweke chini ya mtu anaeweza kukulea na kukukemea ukianza kupotea. Ni ngumu ila fanya hivyo
Hakuna starehe expensive kama hiyo, uzinzi ni gharama kweli kweli
Uzinzi ni gharama kubwa jay, jiulize mtu mzinzi halafu mlevi, alewe yeye, amleweshe na huyo mwanamke, kisha akalipie chumba, baada ya hapo ampatie pesa. Ni mlolongo mrefu.Kabis aisee kitu kisicho kuwa na faida
noma sanagono/kaswende/UTI
Kikubwa jipige breki, kaa na mtu mmoja ukiweza, kuwa na kiasi kwenye kungonoka. Katika wingi wa mademu kuna wingi wa mikosi.Tatizo tunaoaje wakati maisha yetu yenyewe hayaeleweki. Ukifuata mrembo ndio kam hivyo wanakupiga chini tuu
Nyongeza; mda unapotea kwenye kugonga na kutongoza pia unatumia akili nyingi kwenye kunasa pisi kali mpya kuliko kunasa dili jipya la hela. Unapoteza focusUzinzi ni gharama kubwa jay, jiulize mtu mzinzi halafu mlevi, alewe yeye, amleweshe na huyo mwanamke, kisha akalipie chumba, baada ya hapo ampatie pesa. Ni mlolongo mrefu.
Hata asiye mlevi, ukiwa siyo mlevi inamaana wewe huokoti wa bar, matokeo yake utakuwa nao wa permanent. Ukiwa na vibinti viwili tu, vitataka uhudumie, vocha, vitasema havijala, vitataka kwenda kusuka, na vingine vitataka ununue gesi na ulipie kodi ya chumba..
In the long run, utajikuta muda na pesa ambazo ungewekeza kwa ajili ya future yako na familia yako umezitumia kwa ajili ya kumridhisha 'Zakaria'.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikionaga ma slay queen,wavaa vikuku,wanaochomekea madela kwny chupi popote pale najua hio ni gono/kaswende/UTI sugu imetulia mahala pake inasubiria mpambanaji aende akagaiwe.
Kabisa brother ni kufanya kwa kias/au kuwa na mtu mmojaKikubwa jipige breki, kaa na mtu mmoja ukiweza, kuwa na kiasi kwenye kungonoka. Katika wingi wa mademu kuna wingi wa mikosi.
ii ni kwel kbsaNyongeza; mda unapotea kwenye kugonga na kutongoza pia unatumia akili nyingi kwenye kunasa pisi kali mpya kuliko kunasa dili jipya la hela. Unapoteza focus
Ukimwona mtu anapendwa na totoz na anazigonga kweli kweli muonee huruma, anajimaliza na atakufa masikini hana kitu, hata kama ana maisha plus vitaisha afulie ushangae, uzinzi ni zaidi ya kukojoaKabisa mkuu.unashaurije ww.
Sijawahi kuumwa gono na sijui Linakuwaje usidhani kilamtu anaumwa Gono kma unavoumwa wew
Thats the displine, too much is harmful.... Mtihani ni kujua kwamba kiasi hiki ndo 'too much' au normalKabisa brother ni kufanya kwa kias/au kuwa na mtu mmoja
Ni bora uwe na mtu mmoja ambae mmendana.Thats the displine, too much is harmful.... Mtihani ni kujua kwamba kiasi hiki ndo 'too much' au normal
Ebu njoo Dm tuyajenge naamini mkuyenge wako ipo hot[emoji125][emoji125]Miaka km mitano hiv nyuma tangu hapo hta niwe na homa vip sijawahi pima nikakutwa na UTI
Mara ya mwisho juz tu nilikuwa naumwasana tumbo nikhis huenda yenyew lkn hamna