Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Kabsa ina effect kiroho sanaUkimwona mtu anapendwa na totoz na anazigonga kweli kweli muonee huruma, anajimaliza na atakufa masikini hana kitu, hata kama ana maisha plus vitaisha afulie ushangae, uzinzi ni zaidi ya kukojoa
Sana, watu wengi hawajafanikiwa ukichunguza vizuri, sababu ni 'sins of the flesh'Nyongeza; mda unapotea kwenye kugonga na kutongoza pia unatumia akili nyingi kwenye kunasa pisi kali mpya kuliko kunasa dili jipya la hela. Unapoteza focus
Mungu atusamehe tuSana, watu wengi hawajafanikiwa ukichunguza vizuri, sababu ni 'sins of the flesh'
Hii ni dhambi pekee ambayo unajitendea mwenyewe kwenye mwili wako, lazima ujimalize.
Mzee wa pussy umesikia somo..Mzeya mbona diamond anadunda tuu au huwezi ukagonoka na kuiba nyota nzuri yaani ni kuiondoka na mikosi tuu?
Mnon kuna mademu wengine tukigingannda i ya wiki mambo ya afu guka? Hii tunaelezaje
Nimesikia bwana sasa tatizo kupata mke wakati hela huna....unakwepwa kama ukoma. Sio kwamba vijana wanataka uzinzi ila nyenzo ya kukwepo uzinzi imekuwa ngumu kupatikanaMzee wa pussy umesikia somo..
Nije kwa usalama
Hapana, hili sio jambo la kumuachia Mungu, ni kukaza tu kuhakikisha kwamba ngono haikupotezei muda na pesa nyingi.Mungu atusamehe tu
Mimi ni baharia mstaafu, nilikuwa baharia zaidi yake, Nakumbuka kipindi ujana umekolea moto watu wananiona napotea hata hawanistui, marafiki wananisifia eti sukari ya warembo kumbe ndo napotea hivyo, wengine wakawa wananikuwadia totoz nagonga kweli kweli najiona kidume kumbe kwisha habari yangu, ikafika kipindi nikitongoza dem hakatai hata awe mkali vipi kumbe mapepo ya uzinzi yananisaidia, nikazidi kupotea, nikafika level ya arosto nikikosa dem navurugwa usingizi hauji, nikajua saiti zote za porn, nikimuona mdada mzuri lazima nichukue namba baadae nikawa siwasevu maana phone book ilijaa, Nilikuja kustuka nimepoteza miaka 15 kwenye zinaa, hakuna nilichopata cha maana ila nilichopoteza ni kikubwa namwomba Mungu anikumbuke anifidie, jifunze kwangu achana na ubaharia hauta kulipaMzee wa pussy umesikia somo..
Wee mbusus iliyoonshwa na maji yaliyotiwa iriki inavutia sanaTunashauriwa kunawa na maji pekee bila sabuni. Wanawake wa mujini wanaweka na viungo huko utadhani wanapika pilau
Wee mke wangu mtaraniwa huyo nimempangia hadi ghetto kule kitundaEbu njoo Dm tuyajenge naamini mkuyenge wako ipo hot[emoji125][emoji125]
Vitu gan baharia mstaafu ulipoteza??je saiv umeoa?Mimi ni baharia mstaafu, nilikuwa baharia zaidi yake, Nakumbuka kipindi ujana umekolea moto watu wananiona napotea hata hawanistui, marafiki wananisifia eti sukari ya warembo kumbe ndo napotea hivyo, wengine wakawa wananikuwadia totoz nagonga kweli kweli najiona kidume kumbe kwisha habari yangu, ikafika kipindi nikitongoza dem hakatai hata awe mkali vipi kumbe mapepo ya uzinzi yananisaidia, nikazidi kupotea, nikafika level ya arosto nikikosa dem navurugwa usingizi hauji, nikajua saiti zote za porn, nikimuona mdada mzuri lazima nichukue namba baadae nikawa siwasevu maana phone book ilijaa, Nilikuja kustuka nimepoteza miaka 15 kwenye zinaa, hakuna nilichopata cha maana ila nilichopoteza ni kikubwa namwomba Mungu anikumbuke anifidie, jifunze kwangu achana na ubaharia hauta kulipa
Pole kwa yaliyokukuta!Nikionaga ma slay queen,wavaa vikuku,wanaochomekea madela kwny chupi popote pale najua hiyo ni gono/kaswende/UTI sugu imetulia mahala pake inasubiria mpambanaji aende akagaiwe.
Tulinde afya zetu kwa hali yoyote
Uwezi tumia Kondom kijana wa sasa
#Intelligent_Agent
Vipo vingi ila kikubwa ni 15yrs, miaka yote hiyo nafanya upuuzi tu na sishtuki naona ndo maishaVitu gan baharia mstaafu ulipoteza??je saiv umeoa?
WouzeeerVikuku ndo ugonjwa wangu. Nikiona demu kavaa vikuku de libolo linapandisha mashetaniView attachment 2348771
Ila huyu kiumbe 😂Wee mbusus iliyoonshwa na maji yaliyotiwa iriki inavutia sana
Ebu njoo Dm tuyajenge naamini mkuyenge wako ipo hot
🤣🤣🤣Makasiriko ya nnUnajuaje Kama hauna,, Tena aina ya watu uloweka avatar ndo wanaongoza kwa gonno hao
We mwenyewe unakuta unaugulia ila hujui
Kingne unakuta we ni mbovu hakuna wa kukusumbua akuletee gono
Cocumber friend