Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Nyongeza; mda unapotea kwenye kugonga na kutongoza pia unatumia akili nyingi kwenye kunasa pisi kali mpya kuliko kunasa dili jipya la hela. Unapoteza focus
Sana, watu wengi hawajafanikiwa ukichunguza vizuri, sababu ni 'sins of the flesh'
Hii ni dhambi pekee ambayo unajitendea mwenyewe kwenye mwili wako, lazima ujimalize.
 
Mzeya mbona diamond anadunda tuu au huwezi ukagonoka na kuiba nyota nzuri yaani ni kuiondoka na mikosi tuu?

Mnon kuna mademu wengine tukigingannda i ya wiki mambo ya afu guka? Hii tunaelezaje
Mzee wa pussy umesikia somo..
 
Aisee watu wamekimbia uzi hawapo leo. Sijui ndo wanaangalia mechi. Katika nyuzi bora nilizosoma mwaka huu na huu umeingia kwenye list. Ninachosikitika ndugu mwandishi je tumekusikia???

Au ndo yameingia huku na kutokea kule. Wazedzed hatutaki kuelewa aisee. Right is right even if no one does it.

Kauli yangu mbiu. Wanadamu tunachoka haraka sana na kusahau kwa wepesi mno.
 
Mzee wa pussy umesikia somo..
Mimi ni baharia mstaafu, nilikuwa baharia zaidi yake, Nakumbuka kipindi ujana umekolea moto watu wananiona napotea hata hawanistui, marafiki wananisifia eti sukari ya warembo kumbe ndo napotea hivyo, wengine wakawa wananikuwadia totoz nagonga kweli kweli najiona kidume kumbe kwisha habari yangu, ikafika kipindi nikitongoza dem hakatai hata awe mkali vipi kumbe mapepo ya uzinzi yananisaidia, nikazidi kupotea, nikafika level ya arosto nikikosa dem navurugwa usingizi hauji, nikajua saiti zote za porn, nikimuona mdada mzuri lazima nichukue namba baadae nikawa siwasevu maana phone book ilijaa, Nilikuja kustuka nimepoteza miaka 15 kwenye zinaa, hakuna nilichopata cha maana ila nilichopoteza ni kikubwa namwomba Mungu anikumbuke anifidie, jifunze kwangu achana na ubaharia hauta kulipa
 
Mimi ni baharia mstaafu, nilikuwa baharia zaidi yake, Nakumbuka kipindi ujana umekolea moto watu wananiona napotea hata hawanistui, marafiki wananisifia eti sukari ya warembo kumbe ndo napotea hivyo, wengine wakawa wananikuwadia totoz nagonga kweli kweli najiona kidume kumbe kwisha habari yangu, ikafika kipindi nikitongoza dem hakatai hata awe mkali vipi kumbe mapepo ya uzinzi yananisaidia, nikazidi kupotea, nikafika level ya arosto nikikosa dem navurugwa usingizi hauji, nikajua saiti zote za porn, nikimuona mdada mzuri lazima nichukue namba baadae nikawa siwasevu maana phone book ilijaa, Nilikuja kustuka nimepoteza miaka 15 kwenye zinaa, hakuna nilichopata cha maana ila nilichopoteza ni kikubwa namwomba Mungu anikumbuke anifidie, jifunze kwangu achana na ubaharia hauta kulipa
Vitu gan baharia mstaafu ulipoteza??je saiv umeoa?
 
Vijana mnaobahatika kusoma hapa jifunzeni, tupo zama za unafiki, watu wanajua njia ila hawakuoneshi sasa kwakuwa unajiongoza uwe na hekima ujifunze kutokana na uzoefu wa mapito yako. Watu wazima wanakuwa wanaona unaelekea shimoni ila hawakwambii wanakuacha upotee wakucheke waseme tulijua. Hakuna wa kukunasua, maisha haya hata ndugu hawana huruma na wewe. Ilifikia kipindi wakikutana demu mgumu wananipasia namba nimle maana nilikuwa sitongozi mara mbili, wanajua kwa mwendo huo sitoboi ila wakawa wananisifia tu nipotee zaidi, kuwa makini sana ukiona unatenda uovu kisha unasifiwa na kupongezwa ujue anguko lako li karibu na ni furaha kwao, usianguke badili gia angani uwashangaze kwa kuwa mtu mkamilifu mwenye maadili yake. Have some manners
 
Nikionaga ma slay queen,wavaa vikuku,wanaochomekea madela kwny chupi popote pale najua hiyo ni gono/kaswende/UTI sugu imetulia mahala pake inasubiria mpambanaji aende akagaiwe.

Tulinde afya zetu kwa hali yoyote
Uwezi tumia Kondom kijana wa sasa

#Intelligent_Agent
Pole kwa yaliyokukuta!
Unaendeleaje lkn?
 
Ebu njoo Dm tuyajenge naamini mkuyenge wako ipo hot
emoji125.png
emoji125.png

Unajuaje Kama hauna,, Tena aina ya watu uloweka avatar ndo wanaongoza kwa gonno hao

We mwenyewe unakuta unaugulia ila hujui

Kingne unakuta we ni mbovu hakuna wa kukusumbua akuletee gono

Cocumber friend
🤣🤣🤣Makasiriko ya nn
 
Back
Top Bottom