Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Wadada wa age hiyo wanatumika sana na wengi ni hawa wa kiasasa waliozaliwa 95-2005
Halafu usafi hawazingatii wanakalia kupodoa sura na kujali chura ionekane. Mikononi wanamakucha ya Ghalama uchafu huko chini lazima wawe na magonjwa.

Ushauri wangu namba C,B, A wanafaa zaidi maana wanajitambua au tumieni kinga
Dawa nzuri ya U T I ni ipi mkuu
 
Duuuh kama kweli wako wanaume waaminifu basi na iwe ni kwa wanawake waaminifu pia.
Tukiachana na mambo ya uaminifu wa mwanamke, masuala ya namna ya kuishi ni suala binafsi hakuna wa kumlaumu mwingine humu maana hakuna aliyempa pumzi mwingine.

Wakati ww ukifurahia kuchakata, mm nafurahia glass ya whisky na kumchakata mke wangu ndo maana nasema kila mtu akomae na yanayompa furaha maana dakika ulizonazo zinafika mwisho na KIFO kinakuja. Matokeo ya maamuzi pia hayafanani.
 
Tukiachana na mambo ya uaminifu wa mwanamke, masuala ya namna ya kuishi ni suala binafsi hakuna wa kumlaumu mwingine humu maana hakuna aliyempa pumzi mwingine.

Wakati ww ukifurahia kuchakata, mm nafurahia glass ya whisky na kumchakata mke wangu ndo maana nasema kila mtu akomae na yanayompa furaha maana dakika ulizonazo zinafika mwisho na KIFO kinakuja. Matokeo ya maamuzi pia hayafanani.
Exactly
 
Wale wanatakiwa tu kuoa na kuolewa wanataka washindane na kitu ambacho kipo natural biologically mwisho wa siku wanalawiti.

Kusuuza rungu ni muhimu mkuu usipofanya hivyo matokeo ndo hayo
Hakuna kudhara kutokula mbususu.
Kanisa katoliki lingeruhusu kuoa lisingekuwepo duniani,lingeshambaratika kama haya makanisa ya bongofleva.
Shetani bado ajaacha kumdanganya Hawa
 
Back
Top Bottom