Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Hahahaha labda uresti in peace mwenyewe.

Since 2017 nimepima mara kibao.

Nashukuru hakuniachia ngwengwe.

Nilipopata Ile UTI nikajua demu hajielewi maana nilitaka mfanya mamsapu kabisa nimweke ndani.

Nilipiga chini kimya kimya nikapambane na Hali yangu hadi nikakaa sawa.

Siku hizi hata sijui Yuko wapi.

Last time alicheki 2019 kaniambia Yuko NAIROBI. nahisi anadanga huko.

Ila nilikoma. Chamoto nilikiona

Nikipata experience ambayo ilinifanya niwe makini sana kwenye hii engo ya mizamuo.

Hata nilewe vipi akili yangu Iko intact kwenye masuala ya matumizi ya zana na usafi.

Tusikubali kufa kizembe
 
kuna mdau wangu aliandikiwa pus cells 10-20hpf iyo ndomaanake nn
 
Likud ni ugonjwa gani mkuu. Unajua naumwa kitu Fulani kama magonjwa ya zinaa Ila nimepima vipimo vyote hadi cha kuotesha mkojo lakini sijaona maambukizi. Nimechoma masindano kibao lakini wapiii
 
Tatizo la vijana wa siku hizi, wanapotoshwa na mikorogo, make up, ma wigi, miwani, uvaaji wa nguo safi na nyeupe hasa za ndani, wakidhani mwonekano wa nje ndivyo na ndani alivyo, kumbe !!!!!!? CAVEAT EMPTUR
Buyer be ...ware
 
Niatar
 
Kule kwao ndio chimbo la magonjwa yote sugu nlikua na mdada wa kikongo anaishi kivu ...akikupa story za kwao unawaza wanaishi jehanam mara homa ya nyani,kipindupindu kilo mwaka mzima huko wanakufa maelfu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…