max as well
Senior Member
- Sep 10, 2023
- 141
- 315
Iz pis Kali hiz usiziamini sana mkuuHahahahah pole sana mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iz pis Kali hiz usiziamini sana mkuuHahahahah pole sana mkuu.
RIPNilipigwa sindanya Doxy ilidunda.
Nikapewa Cipro pills lakini wapi!!
Nikapewa AMOXCLAV ndio ikawa afadhali.
Janeth mtoto mzuri mrefu mweupe daah
UTI SUGU
2017 Hio
Hahahaha labda uresti in peace mwenyewe.
Hyo ni kiboko ya wanao rukaruka
kuna mdau wangu aliandikiwa pus cells 10-20hpf iyo ndomaanake nnSure [emoji419] watu wanapata gonococcal urethritis wanasingizia U.T.I, sema in broad terms kwa layman wameshaaminishana hivyo kwa vile maambukizi yanakua yameascend mpaka katika njia ya mkojo. So any urinary tract symptoms wanageneralize kua U.T.I.
Pia hii ya kuita U.T.I flani ni sugu hapo napo wanakosea.
Nyie mnaambukizwa GONORRHEA na CLAMYDIA mnasema ni UTI.Lakin madaktar wanasema huwez kuambukizwa U.T.I kwa kujamiiana
NAKAZIA [emoji2771] [emoji2771] [emoji2771] [emoji375] [emoji375] [emoji375]Hakuna UTI inaeambukizwa kwa njia ya vagina sex au anal sex.. wote mnaosema mmeambukizwa UTI sugu ni mliambukizwa Chlamydia au Gonorrhea baaasii amna stori mingi.
kuna mdau wangu aliandikiwa pus cells 10-20hpf iyo ndomaanake nn
kuna mdau wangu aliandikiwa pus cells 10-20hpf iyo ndomaanake nn
Aanhaa, kwaiyo nauyu aliingiza tupu yake kwene malinda au?Maana yake anayo UTI
Wanaanza ngono umri mdogo sana.Alafu..vidogo dogo vitoto vachuo shenzi kabisa vinatembea na magonjwa lundo kama ufuta
Likud ni ugonjwa gani mkuu. Unajua naumwa kitu Fulani kama magonjwa ya zinaa Ila nimepima vipimo vyote hadi cha kuotesha mkojo lakini sijaona maambukizi. Nimechoma masindano kibao lakini wapiiiLIKUD, UTI haiambukizwi na sio ugonjwa wa zinaa. Huyo alipata ugonjwa wa zinaa au fangasi. Siku hizi magonjwa ya zinaa yanajificha sana. Mimi nilimeza fluconazole dozi ya 30, kila nikipima hakuna ugonjwa wowote. Nilichoma sana masindano ya power safe mpaka kuja kupona. Nilihangaika miezi 2. Shangingi ulinipa.
Buyer be ...wareTatizo la vijana wa siku hizi, wanapotoshwa na mikorogo, make up, ma wigi, miwani, uvaaji wa nguo safi na nyeupe hasa za ndani, wakidhani mwonekano wa nje ndivyo na ndani alivyo, kumbe !!!!!!? CAVEAT EMPTUR
Chief 2eleze uliponaje me nagono inanitesaNiliambukizwa gono na binti mmoja mzuri halafu msabato,kitu nilichogundua gono kwa wanawake haionekani kirahisi na anaaweza dumu nayo hata miaka bila yeye kujua.
Ile gono ilinitesa sana
NiatarKwakweli mi kwa sasa sipigi dem yoyote bila ndom… Labda mama watoto tu.. hizi pisi zitatuua… Nilipata Gono plus upele flan hivi (scabies) asee nimetezeka sana sirudii ujinga huu. Pombe zilinicost nikauza match. Nashukuru tu sikupata ngoma ila kiukweli ingekua ndo zama zile hakuna ARV basi wengi tungekua tushaangamia maana nasikia muathirika akiwa anatumia ARV kidogo inapunguza chance ya kusambaza VVU. Sirudii kuuza match[emoji28]
Kuna dokta mmoja niliwahi msikia akilalamika kuwa mabinti sio wasafi ndio maana wanaumiza wenzao.Mchambe vizuri, acheni kusingizia watu hivi UTI ni STI?
Kule kwao ndio chimbo la magonjwa yote sugu nlikua na mdada wa kikongo anaishi kivu ...akikupa story za kwao unawaza wanaishi jehanam mara homa ya nyani,kipindupindu kilo mwaka mzima huko wanakufa maelfuVisa vimekuwa ni vingi sana siku hizi watu kuachiwa Gono na uti Sugu kutoka kwa mabinti ambao hawakuwadhania kulingana na urembo na usafi waliokuwa nao watu hawaamini yani wamepataje.
Juzi kuna mkongo kaja ofisini kwangu baada ya kuadimika kwa wilki mbili hakuonekana mjini tulivyomuuliza shida nini akasema kuwa alikuwa anaumwa UTI sugu hadi akalazwa kahangaika kuutibu kwa laki 3, analalamika kuna binti anauza Duka la nguo la jirani ndio kamuambukiza jamaa alitupia voko na Dola za kikongo binti akaelewa na huyo binti ni pisi shombe shombe ya kwenda msafii ukimuangalia ila kamuachia mtu uti sugu wiki mbili yupo kitandani.
Jamaa anasema Congo huko kwao hakuna Uti ndio kaja kuipata hapa tukacheka sana, jamaa anatembea na condom kwenye walet kakoma haswaa.