Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Hahahaha labda uresti in peace mwenyewe.

Since 2017 nimepima mara kibao.

Nashukuru hakuniachia ngwengwe.

Nilipopata Ile UTI nikajua demu hajielewi maana nilitaka mfanya mamsapu kabisa nimweke ndani.

Nilipiga chini kimya kimya nikapambane na Hali yangu hadi nikakaa sawa.

Siku hizi hata sijui Yuko wapi.

Last time alicheki 2019 kaniambia Yuko NAIROBI. nahisi anadanga huko.

Ila nilikoma. Chamoto nilikiona

Nikipata experience ambayo ilinifanya niwe makini sana kwenye hii engo ya mizamuo.

Hata nilewe vipi akili yangu Iko intact kwenye masuala ya matumizi ya zana na usafi.

Tusikubali kufa kizembe
 
Sure [emoji419] watu wanapata gonococcal urethritis wanasingizia U.T.I, sema in broad terms kwa layman wameshaaminishana hivyo kwa vile maambukizi yanakua yameascend mpaka katika njia ya mkojo. So any urinary tract symptoms wanageneralize kua U.T.I.

Pia hii ya kuita U.T.I flani ni sugu hapo napo wanakosea.
kuna mdau wangu aliandikiwa pus cells 10-20hpf iyo ndomaanake nn
 
LIKUD, UTI haiambukizwi na sio ugonjwa wa zinaa. Huyo alipata ugonjwa wa zinaa au fangasi. Siku hizi magonjwa ya zinaa yanajificha sana. Mimi nilimeza fluconazole dozi ya 30, kila nikipima hakuna ugonjwa wowote. Nilichoma sana masindano ya power safe mpaka kuja kupona. Nilihangaika miezi 2. Shangingi ulinipa.
Likud ni ugonjwa gani mkuu. Unajua naumwa kitu Fulani kama magonjwa ya zinaa Ila nimepima vipimo vyote hadi cha kuotesha mkojo lakini sijaona maambukizi. Nimechoma masindano kibao lakini wapiii
 
Tatizo la vijana wa siku hizi, wanapotoshwa na mikorogo, make up, ma wigi, miwani, uvaaji wa nguo safi na nyeupe hasa za ndani, wakidhani mwonekano wa nje ndivyo na ndani alivyo, kumbe !!!!!!? CAVEAT EMPTUR
Buyer be ...ware
 
Kwakweli mi kwa sasa sipigi dem yoyote bila ndom… Labda mama watoto tu.. hizi pisi zitatuua… Nilipata Gono plus upele flan hivi (scabies) asee nimetezeka sana sirudii ujinga huu. Pombe zilinicost nikauza match. Nashukuru tu sikupata ngoma ila kiukweli ingekua ndo zama zile hakuna ARV basi wengi tungekua tushaangamia maana nasikia muathirika akiwa anatumia ARV kidogo inapunguza chance ya kusambaza VVU. Sirudii kuuza match[emoji28]
Niatar
 
Visa vimekuwa ni vingi sana siku hizi watu kuachiwa Gono na uti Sugu kutoka kwa mabinti ambao hawakuwadhania kulingana na urembo na usafi waliokuwa nao watu hawaamini yani wamepataje.

Juzi kuna mkongo kaja ofisini kwangu baada ya kuadimika kwa wilki mbili hakuonekana mjini tulivyomuuliza shida nini akasema kuwa alikuwa anaumwa UTI sugu hadi akalazwa kahangaika kuutibu kwa laki 3, analalamika kuna binti anauza Duka la nguo la jirani ndio kamuambukiza jamaa alitupia voko na Dola za kikongo binti akaelewa na huyo binti ni pisi shombe shombe ya kwenda msafii ukimuangalia ila kamuachia mtu uti sugu wiki mbili yupo kitandani.

Jamaa anasema Congo huko kwao hakuna Uti ndio kaja kuipata hapa tukacheka sana, jamaa anatembea na condom kwenye walet kakoma haswaa.
Kule kwao ndio chimbo la magonjwa yote sugu nlikua na mdada wa kikongo anaishi kivu ...akikupa story za kwao unawaza wanaishi jehanam mara homa ya nyani,kipindupindu kilo mwaka mzima huko wanakufa maelfu
 
Back
Top Bottom