Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

LIKUD, UTI haiambukizwi na sio ugonjwa wa zinaa. Huyo alipata ugonjwa wa zinaa au fangasi. Siku hizi magonjwa ya zinaa yanajificha sana. Mimi nilimeza fluconazole dozi ya 30, kila nikipima hakuna ugonjwa wowote. Nilichoma sana masindano ya power safe mpaka kuja kupona. Nilihangaika miezi 2. Shangingi ulinipa.
 
kWa sisi wanaume chini ya miaka 50 ukiona anaumwa ma UTI ujue ni mfiraji.
 
Nakumbuka nilala na mwanaume cheupe yaani halafu shangaeni natulivaa kinga ili bidi niishiwe nguvu maana ilipenya kuna magonjwa . Bwana kulee kulivimba nakuwasha yaani chooni sikuenda vizuri ukikojoa ndio basi tena nikapelekwa hospitali nikatibiwa nikachomwa sindano mbili za haraka nilikuwa natembea kama nimebakwa nikaambiwa ni stds yaani niliombwa nijitunzee.

Miaka 2 natoa kimakini
 
Yaan pamoja na kuvaa Ndomu Ila UTI na STDs ikapenya mpaka kwenye bunyero?
 
Mbona kama unakimbizwa mama mtu!? Hebu tulia flow taratibu tuelewane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…