Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Kuna jambo linapotoshwa kuhusu kuambukizana UTI kwa njia ya ngono.
UTI inasababishwa na bacteria waliopo njia ya haja kubwa (anus). Wakiwa njia ya haja kubwa hawaleti shidaya UTI.
Wakiingia njia ya mkojo husababisha UTI.
Hivyo huenda mnagusisha penis kwenye 'ndogo' kwa bahati mbaya wakati wa kulenga pahala pake au mnatumia kujamiiana kwenye 'ndogo'.
Kwa hivyo tusiwe wepesi kurushia lawama wanawake sababu ya kukosea tendo.
Wala sio bahati mbaya ndg,ni makusudi mazima.kuna siku nilijifanya nimelewa nikajikosesha makusudi nikaweka mshale kwenye jicho la nyuma ..wee baada ya siku tatu nikaona kitu cheupe kama usaha kwenye tundu la kutolea mkojo daa niliogopa Sana,nilijua ni gono ila nikaambiwa ni fungus hupatikana sehemu ya haja kubwa,baharia nikajiongeza japo sikumwambia daktari kwamba niliruka ukuta.yapata mwaka umepita nawaza kwenda kupima lile gonjwa lenyewe(HIV) moyo unasita.kwakweli pombe sio kitu kizuri unaweza kuteketeza familia kwa ujinga ujinga tu!
 
kikubwa pasiwe pakavu. ujue mtizamo mbaya tu wa jamii yetu kwamba mtu akinunua Ky basi mfiraji 🤣🤣. Mimi nlikua nanunua kwa ujasiri kabisa mbele za watu..sabab manzi wangu alikua mkavu sana mkipiga shoo dk 2 anakua mkavu sa maisha yenyewe haya nipotezee muda kwenye mbususu wkt tofar zinanisubir kesho sait aah siwez..ni kupaka ky kwenye papuch nasukuma mzigo...kifuatach Dj waleteeee
Mwambie manzi wako atumie karafuu ataach kuwa mkavu🥳🥳🥳
 
Hizi sabuni nyingi zina ua bacteria wazuri ili kuwalinda wanawake na maambukizi hasa fangasi , kuwa msafi kupitiliza ni hatari mno kwa afya ya kule chini , mwanamke akiwa na afya njema kule chini kuna njia yake ya kujisafisha yenyewe , kuna kale kaharufu ka asili kanaonyesha kuwa mtu huyu huko chini kuna afya yakutosha , wale wanaume barubaru wanaoishi na beki tatu wameshaelewa .
 
Back
Top Bottom