Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Visa vimekuwa ni vingi sana siku hizi watu kuachiwa Gono na uti Sugu kutoka kwa mabinti ambao hawakuwadhania kulingana na urembo na usafi waliokuwa nao watu hawaamini yani wamepataje.

Juzi kuna mkongo kaja ofisini kwangu baada ya kuadimika kwa wilki mbili hakuonekana mjini tulivyomuuliza shida nini akasema kuwa alikuwa anaumwa UTI sugu hadi akalazwa kahangaika kuutibu kwa laki 3, analalamika kuna binti anauza Duka la nguo la jirani ndio kamuambukiza jamaa alitupia voko na Dola za kikongo binti akaelewa na huyo binti ni pisi shombe shombe ya kwenda msafii ukimuangalia ila kamuachia mtu uti sugu wiki mbili yupo kitandani.

Jamaa anasema Congo huko kwao hakuna Uti ndio kaja kuipata hapa tukacheka sana, jamaa anatembea na condom kwenye walet kakoma haswaa.
Timekwisha!😫😰😢
 
Nakumbuka nilala na mwanaume cheupe yaani halafu shangaeni natulivaa kinga ili bidi niishiwe nguvu maana ilipenya kuna magonjwa . Bwana kulee kulivimba nakuwasha yaani chooni sikuenda vizuri ukikojoa ndio basi tena nikapelekwa hospitali nikatibiwa nikachomwa sindano mbili za haraka nilikuwa natembea kama nimebakwa nikaambiwa ni stds yaani niliombwa nijitunzee.

Miaka 2 natoa kimakini
Unaona sasa... kumbe kazi yako ni kutoa chiu
 
Yaan unamaanisha wewe pia ni mmoja wapo kati ya hao?
Wapi nimesema ni mmoja wapo?
Tatizo wabongo hatusomi na ku update bongo zetu juu ya taarifa muhimu hasa zinazoakisi mustakabali wetu hasa elimu ya masuala ya ngono
Vijana tunafanya ngono zembe na elimu hatuna na hatutaki kujifunza. Nimekua nafundisha dada poa kuchoma chanjo ya homa ya ini. Hii ni hatari nyingine vijana wako ktk hatari kutokana na ngono. Na hii ni majimaji ya ukeni au ya uume kama mtu anayo basi anamuambikiza mwenzake kwa urahisi. Kingine rough sex inawaweka watu ktk hatari ya maambukizi.
 
Hii kiboko na ndio wengi wanaipenda bila kumsugulia chuma vizuri kikamkolea anakuona km Mrembo mwenzie tu
kikubwa pasiwe pakavu. ujue mtizamo mbaya tu wa jamii yetu kwamba mtu akinunua Ky basi mfiraji 🤣🤣. Mimi nlikua nanunua kwa ujasiri kabisa mbele za watu..sabab manzi wangu alikua mkavu sana mkipiga shoo dk 2 anakua mkavu sa maisha yenyewe haya nipotezee muda kwenye mbususu wkt tofar zinanisubir kesho sait aah siwez..ni kupaka ky kwenye papuch nasukuma mzigo...kifuatach Dj waleteeee
 
kikubwa pasiwe pakavu. ujue mtizamo mbaya tu wa jamii yetu kwamba mtu akinunua Ky basi mfiraji 🤣🤣. Mimi nlikua nanunua kwa ujasiri kabisa mbele za watu..sabab manzi wangu alikua mkavu sana mkipiga shoo dk 2 anakua mkavu sa maisha yenyewe haya nipotezee muda kwenye mbususu wkt tofar zinanisubir kesho sait aah siwez..ni kupaka ky kwenye papuch nasukuma mzigo...kifuatach Dj waleteeee

Ndio pakiwa pakavu unatoka na ngozi mzee hizo cheche zake sio mchezo tena ukute ngozi zichanganyokane na zile steel wire kule chini damu zitavuja mtu atatembea mgulupande
 
Back
Top Bottom