Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aku mie sikutaki kwanza unatumia id fekiNataka nikuletee wewe haja zangu
Uti ukilala na aliyenayo unaupatalakini UTI sio ugonjwa wa kuambukiza kwa njia ya kujamiana, labda kama alipata magonjwa ya zinaa na wengi hata ukiwaambia wanamagonjwa ya zinaa wakitoka wataenda kusema walikuwa ya UTI, ila UTI huwezi kuipata kwa njia ya tendo la ndoa , sema limekuwa chaka la wahuni wengi kuficha magonjwa yao ya zinaa
Okay, kwahiyo bora kutovaa ama?Unakuwa kwenye risk ya kupata maambukizi kwa 65% kabla hata ya kuivaa hiyo condom - chukua hiyo
Kiufupi haumbukizwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, ni bacteria wako mwenyewe kutoka kwenye colon kwenda kwenye urethra.Hueleweki. Mara useme sio ugonjwa wa zinaa in the same breath unasema wala tigo wanapata UTI, hiyo sio zinaa? Huko sio kujamiiana?
Labda wanamaanisha recurrent/chronic UTI ambayo ni maambukizo katika njia ya mkojo ambayo hayajibu matibabu au yanajirudia mara kwa mara. Yanaweza kuendelea kuathiri njia yako ya mkojo licha ya kupata matibabu sahihi, au yanaweza kurudi baada ya matibabu.Hakuna U. T. I sugu Duniani, tafuta madaktari wakuelekeze nini maana ya U. T. I
Vitunguu swaumu, mtindi, mgagani...Ke inajiweka kiuzuri zaidi kwa ute ute halisi, jotoridi halisi, mnato na kuzuia kisamaki.Pamoja na mtindi#NAKAZIA
Vitunguu swaumu huondoa gesi tumboni na kurahisisha mmeng'enyo wa chakula kuwa rahisi.Vitunguu saumu vina gesi mbaya sana ukivimeza vinaharibu mfumo wammeng'enyo wa chakula japo ni dawa kweli.
Ngono is overrated, ukiwa na hofu ya Mungu, nidhamu kuiongoza akili na bidii ya mazoezi mara kwa mara unaweza kujikuta hata muda wa kuwazia ngono hakuna kabisa.Chemsheni mizizi ya minazi mnywe washenzi nyie ama mkikosa mnazi chemsheni majani ya miwa inatibu .U.T.I sugu.acheni kushindana na maku,kumamaku zenu.Mi kitu Huwa nafanya nikija kupiga show nameza Azuma na maji ya kutosha Huwa nkimaliza mkojo unakuwa umejaa na Azuma insaidia kusafisha zile mataka taka zake.Some time Huwa nasimamisha show napiga funda za maji mbili za kibabe theni ndo namuweka doggy style.acheni ufala nyie mafala.
Mkiwa na uhakika wa afya zenu kabla mtaenjoy sana kinyume na hapo tahadhari zitakuwa nyingi hadi zinaharibu ladha ya tendo lenyeweOkay, kwahiyo bora kutovaa ama?
Mungu fundi sana kukataza ufiraji/ufirwaji/kufirana.Pole sana mbona articles zipo for free soma uelewe vipi mwanaume anapata UTI kupitia ngono ya nyuma.
Ngono ya mbele haileti UTI bali magonjwa ya zinaa..ngono ya nyuma inabeba vyote UTI na STDs
Hivi ni utaahira au ni laana hadi Mtu achomeke uume kwenye puru na ile harufu chafu inavyonuka?Watu wanapiga mpalange then wanarudi mbele muda uo uo binafsi kila nikipee lazima nijadisifect dushe then maji kojo litoke kwa sana binti nae akanawe vyema ndo tuendelee
Hongera sana kwa majibu mazuri tokana na utafiti wako.Wanawake wa kiislamu hawana hayo mambo ya UTI sugu hawa huwa ni wasafi ukiachana na hawa wanawake wa kilokole chupi anavaa wiki nzima, vipodozi wanapaka hadi ukeni halafu hawaogi nguo zenyewe ni za kubana plus joto la Dar UTI Sugu lazima