Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

Siku hizi UTI sugu na Gono vimejificha kwa mabinti wale warembo sana, kuweni makini

lakini UTI sio ugonjwa wa kuambukiza kwa njia ya kujamiana, labda kama alipata magonjwa ya zinaa na wengi hata ukiwaambia wanamagonjwa ya zinaa wakitoka wataenda kusema walikuwa ya UTI, ila UTI huwezi kuipata kwa njia ya tendo la ndoa , sema limekuwa chaka la wahuni wengi kuficha magonjwa yao ya zinaa
 
lakini UTI sio ugonjwa wa kuambukiza kwa njia ya kujamiana, labda kama alipata magonjwa ya zinaa na wengi hata ukiwaambia wanamagonjwa ya zinaa wakitoka wataenda kusema walikuwa ya UTI, ila UTI huwezi kuipata kwa njia ya tendo la ndoa , sema limekuwa chaka la wahuni wengi kuficha magonjwa yao ya zinaa
Uti ukilala na aliyenayo unaupata
 
Hueleweki. Mara useme sio ugonjwa wa zinaa in the same breath unasema wala tigo wanapata UTI, hiyo sio zinaa? Huko sio kujamiiana?
Kiufupi haumbukizwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, ni bacteria wako mwenyewe kutoka kwenye colon kwenda kwenye urethra.

Ndio maana waopata sana ni wanawake maana uke uko karibu sehemu ya haja kubwa.

Hivyo ni elimu tu watu hawana, wajifunze kuchamba vizuri.
 
Wanawake wa kiislamu hawana hayo mambo ya UTI sugu hawa huwa ni wasafi ukiachana na hawa wanawake wa kilokole chupi anavaa wiki nzima, vipodozi wanapaka hadi ukeni halafu hawaogi nguo zenyewe ni za kubana plus joto la Dar UTI Sugu lazima
 
Hakuna U. T. I sugu Duniani, tafuta madaktari wakuelekeze nini maana ya U. T. I
Labda wanamaanisha recurrent/chronic UTI ambayo ni maambukizo katika njia ya mkojo ambayo hayajibu matibabu au yanajirudia mara kwa mara. Yanaweza kuendelea kuathiri njia yako ya mkojo licha ya kupata matibabu sahihi, au yanaweza kurudi baada ya matibabu.
 
Chemsheni mizizi ya minazi mnywe washenzi nyie ama mkikosa mnazi chemsheni majani ya miwa inatibu .U.T.I sugu.acheni kushindana na maku,kumamaku zenu.Mi kitu Huwa nafanya nikija kupiga show nameza Azuma na maji ya kutosha Huwa nkimaliza mkojo unakuwa umejaa na Azuma insaidia kusafisha zile mataka taka zake.Some time Huwa nasimamisha show napiga funda za maji mbili za kibabe theni ndo namuweka doggy style.acheni ufala nyie mafala.
Ngono is overrated, ukiwa na hofu ya Mungu, nidhamu kuiongoza akili na bidii ya mazoezi mara kwa mara unaweza kujikuta hata muda wa kuwazia ngono hakuna kabisa.
 
Pole sana mbona articles zipo for free soma uelewe vipi mwanaume anapata UTI kupitia ngono ya nyuma.

Ngono ya mbele haileti UTI bali magonjwa ya zinaa..ngono ya nyuma inabeba vyote UTI na STDs
Mungu fundi sana kukataza ufiraji/ufirwaji/kufirana.

Kuna wadudu wengi sana kwenye puru, pia hata kupata UKIMWI ni rahisi sana sababu ya kukosekana ute ute tofauti na kwenye uke.
 
Watu wanapiga mpalange then wanarudi mbele muda uo uo binafsi kila nikipee lazima nijadisifect dushe then maji kojo litoke kwa sana binti nae akanawe vyema ndo tuendelee
Hivi ni utaahira au ni laana hadi Mtu achomeke uume kwenye puru na ile harufu chafu inavyonuka?
 
Wanawake wa kiislamu hawana hayo mambo ya UTI sugu hawa huwa ni wasafi ukiachana na hawa wanawake wa kilokole chupi anavaa wiki nzima, vipodozi wanapaka hadi ukeni halafu hawaogi nguo zenyewe ni za kubana plus joto la Dar UTI Sugu lazima
Hongera sana kwa majibu mazuri tokana na utafiti wako.

Swali;

Usafi ni mtu binafsi au ni dini ya Mtu?
 
Back
Top Bottom