nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Ndio maana tunawashauri vijana waende kwa kina dada poa....manake kamwe huwezi kumtia bila kondomu.Nakazia kwenye wanawake 10 Basi 7 au 8 Wana magojwa hayo umakini unahitajika ndugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana tunawashauri vijana waende kwa kina dada poa....manake kamwe huwezi kumtia bila kondomu.Nakazia kwenye wanawake 10 Basi 7 au 8 Wana magojwa hayo umakini unahitajika ndugu zangu
Boraa usemee wee. Maana watu washaanza kusema uongo uongo.Jamani UTI haiambukizi kwa ngono na sio ugonjwa wa zinaa [emoji849]
Naona watu sasa hivi wanasema ohh ameambukizwa UTI sugu.
Sema umeambukizwa ugonjwa wa Zinaa ambayo ni Kasendwe , Kisosono, Pangusa , VVU na mengine kama Herpes
Hii imeendaOaneni, uasherati na uzinzi ni uchafu, kaeni nao mbali kabisa.
Astakafirw walahh😛😋😇Kwa msaada tu,
Usije jaribu hata kwa bahati mbaya kuweka au kugusa uume wako sehemu ya nyuma ya mwanamke, ndio chanzo kikubwa cha UTI, haijalishi uzuri wake.
Sasa mbna wanasema ni anal sex, kumbe hata nje ya huyo mtu anapata tyuuh. LolKu share vyooo
Sema magonjwa yote, lakini gono temea chini mkuu.Kuna Gono sugu linatembea kimya kimya...
Ila watanzania duuh !!!. Mmeshindwa hata kugoogle.Ku share vyooo
🤣🤣🤣🤣Bado ujasema ,na mtasemaIla watanzania duuh !!!. Mmeshindwa hata kugoogle.
UTIs are not contagious, so you can't catch a urinary tract infection from someone else.
Tumeeleza na kueleza lakini bado wanakaza mafuvu tu.
🤣🤣🤣🤣Usinifuatishe waulize matabibuSasa mbna wanasema ni anal sex, kumbe hata nje ya huyo mtu anapata tyuuh. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23] wee sio tabibu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usinifuatishe waulize matabibu
🤣🤣🤣🤣🤣Kupuyanga maana yake nini tuanzie apo nipate SoMo nikianza safari vyemaAlhamduliLlah, miaka zaidi ya 40 nyuma, ndoa moja tu, tunapuyanga.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado ujasema ,na mtasema
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Makundi ambukizi kwa mujibu wa taarifa toka kwa rafiki yangu mwenye Pharmacy mitaa ya Ubungo na Mawasiliano
- Mama lishe
- Wasaidizi wa mama lishe
- Wahudumu wa bar
- Wahudumu wa guest house
- Wasusi
- Wauza magenge ya mbogamboga na matunda
- Wapiga debe
- Polisi
- Mgambo
- Wasafisha kucha za akina mama stand
Sasa mwanaume atapata UTI kwa njia gani nyingine?Mhhh siku hizi kila mwanaume anayeumwa UTI kaambukizwa na mwanamke#mnatuonea[emoji134][emoji134]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Karafuu anazitumbukiza ndani?
Dodoma tunaishi nao tu hvohvoVisa vimekuwa ni vingi sana siku hizi watu kuachiwa Gono na uti Sugu kutoka kwa mabinti ambao hawakuwadhania kulingana na urembo na usafi waliokuwa nao watu hawaamini yani wamepataje.
Juzi kuna mkongo kaja ofisini kwangu baada ya kuadimika kwa wilki mbili hakuonekana mjini tulivyomuuliza shida nini akasema kuwa alikuwa anaumwa UTI sugu hadi akalazwa kahangaika kuutibu kwa laki 3, analalamika kuna binti anauza Duka la nguo la jirani ndio kamuambukiza jamaa alitupia voko na Dola za kikongo binti akaelewa na huyo binti ni pisi shombe shombe ya kwenda msafii ukimuangalia ila kamuachia mtu uti sugu wiki mbili yupo kitandani.
Jamaa anasema Congo huko kwao hakuna Uti ndio kaja kuipata hapa tukacheka sana, jamaa anatembea na condom kwenye walet kakoma haswaa.
Kwa hali ilivyo mtaani, nashauri suala la matumizi ya Condom lipewe kipaumbele.Mkiwa na uhakika wa afya zenu kabla mtaenjoy sana kinyume na hapo tahadhari zitakuwa nyingi hadi zinaharibu ladha ya tendo lenyewe
Binafsi ndom siziwezi, inabidi niachane na ngono kabisa, japo nashukuru sijawahi kupata ugonjwa wa zinaa hata mara moja, ila tunapoelekea inaweza kuleta shida.Kwa hali ilivyo mtaani, nashauri suala la matumizi ya Condom lipewe kipaumbele.
Huwezi kumtambua kwa macho.
UTI hata utumie condoms bro unaupata ule ugonjwa hauhitaji mchubuko wala nini. Laiti Ukimwi ungekua unasambaa kama UTI tungekwisha.Ni vyema tukaendelea kukumbushana kuhusu matumizi sahihi ya Condom, kuwa waaminifu kwenye mahusiano yetu ikiwemo kutokuwa na mahusiano mengi (Multiple partners).
Vijana waambiwe kuwa utamu wa pipi ni mate yako, kwahiyo unaweza kutumia mpira na ukapata ladha ile ile tarajiwa 🤗