Siku hizi vijana wana-date na wamama watu wazima

Kuna sehemu nimesoma imeonesha amemaliza chuo na ana kazi yake kabisa, hata mimi ambae jobless sina maisha ambayo jamaa alivyo aiseeee.

Hata kama mtu unajua, sasa ndo kuweza kuyamimina kiasi kweli?
Sijui labda wamekulia mazingira gani ila nilichojifunza sometimes husi mdharau mtu na sijilaumu ndiyo watu niliokuwa nao mimi nimesaidiwa na mtu darasa saba dereva nina jamaa yangu anakakaa Kigogo Luhanga,kasaidiwa na mzee mlinzi choka mbaya leo hii ana support system ya SAP.

Ila si shangai wengine wakishua, ila si wengine ndio watu tuliokuwa nao.
 
Wasiojielewa na washamba wa K! Mie natomba for free cause its a pleasure for both of us, maisha yangu siwezi honga kwa ajili ya K! Na sinunuagi K za mafungu😎!

You take it or leave it!
😃 Basi itakuwa unapata za quality ya chini sana.
 
Nyie hamjui tu kudate na mwanamke mwenye pesa kuna raha yake.... Ila uwe na short term plan
 
Basi utakua una tatizo la kutokujitambua,acha kutangaza watu kwa maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa,halafu kibaya zaidi unaleta malalamiko yasiyokua na any evidence na wala hujaweka solution yake,

Mtu anayejitambua anapoweka malalamiko pia huweka na solution yake au mawazo yake ya hatua gani zichukuliwe?

Jaribu kujiweka bussy ili uachane na issue za kimbea.
 
Sijakushikia fimbo kuamini swala la kuamini linabaki kuwa lako, kuna matukio niliyaona, mengine nilisimuliwa na kuthibitisha.

Swala la kuwa busy au la hilo nalijua mimi na boss wangu anaye niassign kazi so hata nikikuambia nipo busy au laa huto amini, cha msingi endelea kuto kuamini.
 
issue za kimbea bhana sio za kidada.

teh teh
 
😃 Basi itakuwa unapata za quality ya chini sana.
Quality ya chini what do you mean bruh? Naziopoaga natural beauty tu mzee baba awe wa kishua au wa mkulima cha msingi nimuelewe tu namweka sawa and she keepin it real! Siko obsessed na ma slay queen if you understand it though!

Kuna type flan ya madem ambao huwa sio mambo mengi wale ndo naishigi nao! Ukiigundua hio segment hutapoteza tena hela kum impress mademu huwa tunatumia medani za kisiasa tu kuwaopoa!
 
Ukitaka kufeli maisha ni kujaribu kumpangia mwanadamu namna ya kuishi...waache wadambuane ulitaka wafe na utamu wao..cha kuwashauri tu watumie kinga na sex salama..nikuambie tu ongezeko la makanisa na misikiti linaenda sambaba na ongezeko la watenda dhambi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…