Siku hizi vijana wengi wa kiislam wanakula nguruwe bila hata hofu

anaitwa Musa ila akiwa chimbo la mdudu anajitambulisha kama mosses
Nina jamaa yangu Yusuf mtoto wa Mazenze Mzaramo halisi yeye anakwambia niite Yusuf hataki unafiki na msikitini anaingia kama kawaida anakwambia Mungu ndiye anajua imani yake.

Shida jamii kubwa sisi wenye hizi imani huwa kuna wakati huwaona wenzetu kiimani kama wamekengeuka sanaa kwa sababu wametenda dhambi au wameenda tofauti na katazo fulani ktk dini tukijisahau na sisi at some points zipo dhambi mbaya na chafu zaidi tunazitenda juu ya nafsi zetu
 
"sympathy" ndiyo nini?
 
Kwa hiyo anafanya dhambi kwa ajili yako, au ni "rafiki" yako wa kushirikiana dhambi?
 
Zanzibar kuna chimbo nimewahi kula mbuzi katoliki na aliyenipeleka ni mshkaji wangu ambae kipindi hicho alikua Zanzibar University. Huyu jamaa ni ustaadhi na tulikula nae.
 
Kawmu luutwi mbona huzungumzii
 
Kaa hiyo anafanya dhambi kwa ajili yako, au ni "rafiki" yako wa kushirikiana dhambi?
Soma uelewe usisome ili ujibu rudi kasome nilichoandika.

Nimekwambia yeye kitu anachokifanya kama wewe utakiona ni dhambi sana huku wewe unafanya unachohisi siyo dhambi kubwa kama yake bado hujajisaidia mwisho wa siku wote mmetenda dhambi kwa Mungu so usijaribu kumtoa mtu kwenye imani kisa unahisi ana dhambi sana.
 
Zanzibar kuna chimbo nimewahi kula mbuzi katoliki na aliyenipeleka ni mshkaji wangu ambae kipindi hicho alikua Zanzibar University. Huyu jamaa ni ustaadhi na tulikula nae.
Zanzibar kitimoto inaliwa vizuri sana na baadhiwaislamu. Ila inauzwa kama bangi.

Miaka hii swala la Imani limekuwa mtihani mkubwa sana,Imani imeshuka miongoni mwa watu.

Watu hawafuati maagizo ya vitabu vya dini.
 
Kwa hiyo anafanya dhambi kwa ajili yako, au ni "rafiki" yako wa kushirikiana dhambi?
 
Zanzibar kitimoto inaliwa vizuri sana na baadhiwaislamu. Ila inauzwa kama bangi.

Miaka hii swala la Imani limekuwa mtihani mkubwa sana,Imani imeshuka miongoni mwa watu.

Watu hawafuati maagizo ya vitabu vya dini.
Na wewe unawafata watu badala ya kufata Qur'an?

Kondoo nini wewe?
 
Waislamu wasiosoma wanaburuzwa hasa ila waislamu wanaokesha usiku na mchana kusoma dini yao huwezi wakuta kwenye hayo mafuta wala mashekhe wapigaji wa sampling hiyo, wachilia mbali kitu kama nguruwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…