Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
uyu mjinga anatafuta attetion sanaAnkoo unataka kuharibia watu siku.
Ndio jambo pekee walokengeuka kutokana na miiko ya imani yao? Mi naona sio jambo la kufungulia thread, kuna maovu mengi yanayofanywa na vijana wote bila kuhusisha imani zao. Kuna namna utasaidia ukikemea maovu kwenye jamii bila kuhusisha itikadi na imani za watu.Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
Binadam tumepewa mwongozo wa maisha na Muuumba wetu, mwongozo usio na shaka ndani yake ni Qur'an.Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
Wee yule mdudu mtamu aiseeSitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
SASA HAPO CHA AJABU NI NINI AU UNACHUKI TU NA DINI YETU ...KWA HABARI YAKO SIYO TUNAKULA TU NGURUWE BALI TUNA FUTURU FUTARI YA NGURUWE KABISA LABDA TATIZO LAKO NI KUTOKUTUJA WAISIHARAMU NI KINA NANI?Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
Wali nimesema nawafuata watu?Na wewe unawafata watu badala ya kufata Qur'an?
Kondoo nini wewe?
Mimi mwenyewe swala tano,lakini mdudu wa taifa namtafuna vizuri.Hao ni "waislam" kwa majina lakini siyo wa Kiislam kwa vitendo.
Binadam tumepewa mwongozo wa maisha na Muuumba wetu, mwongozo usio na shaka ndani yake ni Qur'an.Mimi mwenyewe swala tano,lakini mdudu wa taifa namtafuna vizuri.
Wewe endelea kujitesa mwanyazi mungu allah hana ugomvi na mbuzi katoliki.Kuna kijikundi kidogo sana ambacho badala kujishughulisha na masuala ya msingi kama kujiandaa kunywa pombe tamu tamu na bikira 72 wanapataabu na mdudu wa taifa.
Binadam tumepewa mwongozo wa maisha na Muuumba wetu, mwongozo usio na shaka ndani yake ni Qur'an.Kitimoto tamu sana
Ndio lkn kitimoto natafuna.Binadam tumepewa mwongozo wa maisha na Muuumba wetu, mwongozo usio na shaka ndani yake ni Qur'an.
Wewe unaufata mwongozo wa Qur'an?
Hapa hoja siyo waislamu wasiosoma au wanaosoma.Waislamu wasiosoma wanaburuzwa hasa ila waislamu wanaokesha usiku na mchana kusoma dini yao huwezi wakuta kwenye hayo mafuta wala mashekhe wapigaji wa sampling hiyo, wachilia mbali kitu kama nguruwe.