Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Njoo kimara ujioneeMimi naishi dar ni nadra sana hicho unachokisema sijawahi kukutana nacho
Kwa hiyo unataka tusiile? Si ndio??? Unadhani na sisi hatujui vitu vitamu?Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
Hawa wanakua kama watoto wa kambo wasiojiheshimu. Kuna muda baasi tu, wanalianzisha halafu thread inaongelea nyama unaona watu unaodhani wana busara wanashangilia. Mambo mengine yapelekwe jukwaa la vichekesho kwa kweliUnajua kuna mambo mtu anaandika wala hujui huwa anakusudia nini
Je ni ajabu sana kwa vijana wa kiislamu wasio jua mafundisho yao kula nguruwe,maana mtu hana elimu kabisa ya dini,kwake yeye chochote ni sawa tu
Sasa mtu kama huyu ndio utauchafua uislamu mzima kwa waislamu majina
Huyu hana tofauti na mkristo ambaye anasema Yesu kahalalisha nguruwe au kahalalisha mambo yote yaliyo haramishwa zamani,wakati Yesu alisema hakuja kutengua torati hata nukta moja bali kuikamilisha
Je mkristo huyu na muislamu jina wana tofauti gani?
Acheni ujinga
Waanzilishi wa hizi mada wanajua kuwa ili utrend basi wachokoze waislamu,na.kweli wanafanikiwa kwa lengo laoHawa wanakua kama watoto wa kambo wasiojiheshimu. Kuna muda baasi tu, wanalianzisha halafu thread inaongelea nyama unaona watu unaodhani wana busara wanashangilia. Mambo mengine yapelekwe jukwaa la vichekesho kwa kweli
Siyo mimi niliyesema ni gazeti mkuu, na alinusurika kula kipondo kikali na wananchi baada ya kukamatwa amekibwa nguruwe.Aaah c'mon Nyafwili ...Allah akupe kaul thabiit.
Hakuna Sheikh wakuiba Nguruwe.
Jamaa yangu anaitwa abdalah ila tukiwa nae chimbo anaitwa bismakanaitwa Musa ila akiwa chimbo la mdudu anajitambulisha kama mosses
Kama ngono....hafanyi anafanyaWANAJITESA BURE TU NA NDUGU ZAO WASABATO YESU KRISTO ALISHATAKASA VYAKULA VYOTE ILA WAO WANAVIITA NAJISI AFU WANAKULA KWA SIRI.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]anaitwa Musa ila akiwa chimbo la mdudu anajitambulisha kama mosses
Huwaga ni tusi, hutamkwa 'shwaini'🤣🤣🤣Hana baya uncle swine
Unawahukumu kuwa ni waislam Kwa sababu ya majiba au uliwauliza wakakwambia dini zao?Vinginevyo majina ya Suleiman,mussa nK ,watu wa mkoa wa mbeya ni kawaida kwao kuyatumiaSitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
Kaa huko gizaniUnajua kuna mambo mtu anaandika wala hujui huwa anakusudia nini
Je ni ajabu sana kwa vijana wa kiislamu wasio jua mafundisho yao kula nguruwe,maana mtu hana elimu kabisa ya dini,kwake yeye chochote ni sawa tu
Sasa mtu kama huyu ndio utauchafua uislamu mzima kwa waislamu majina
Huyu hana tofauti na mkristo ambaye anasema Yesu kahalalisha nguruwe au kahalalisha mambo yote yaliyo haramishwa zamani,wakati Yesu alisema hakuja kutengua torati hata nukta moja bali kuikamilisha
Je mkristo huyu na muislamu jina wana tofauti gani?
Acheni ujinga