Siku hizi Wadada wanaenda kupiga picha na mabegi Airport

Hii inaitwa fake until you make it
 

Mwezio anaboresha biashara yake wewe unamuona hana afya ya akili wakati ametumia akili kumkamata bwege mmoja kama siyo zaidi ya mmoja[emoji23][emoji23][emoji23]
Akili kubwa hiyo
 
Yani [emoji3526][emoji3526][emoji3526]mguu mosi,mguu pili mpk airport kaahh!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]nadhani ni modern uchizi huuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti,Kigogo sambusa au Buza kwa lulenge,kwahiyo wale wa Upanga hawawezi kufanya haya mambo...?
 
Na ndio chanzo cha ushoga
 
Kuna clip nliona,kn dada anasema nyumba kwa mwezi analipia mln 7
Na blahblah kibao
Ukimuangalia tu anaonekana ubongo wake hauko sawa

Ova
Mwingine alisema anatumia vocha ya milioni 3 kwa siku. Unajiuliza hivi huyu milion anaijua vizuri au akili hana?
 
Huna sura ya picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…