Mjukuu wa Magika
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 550
- 1,071
๐๐๐Wanapandisha thamani ya mbususu kwenye soko la dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐Wanapandisha thamani ya mbususu kwenye soko la dar
Nakwambia hatareeeeeNchi hii ngumu sana.
Kwa kweli we ndio wife material hakyamungu ! ,Shem kweli alipata jiko ,Kuna watu hua wana hekaheka jaman, mie tu kupiga picha kwa simu yangu ibaki tu kwenye simu naona hata siwezi. Kuna wakati hadi mtu akiniomba picha za wanangu inabidi nipige simu wanitumie. Nawaza huo muda wa kupanda daladala na begi kwenda kupiga picha ili tu nipost
Ni town kabisaa. Ni jina tu.ivi Kigogo sambusa ni sehemu ya kiloko sanaaeee?
kindi hicho picha ya airport ishakuteka. Unahisi haka kamtu kanajielewa. Kumbe bomu la kinyesi.Nawe unapelekaje demu kwako ambae hauna mpango nae,
Kumbe naweza kujipatia kipato nikipeleka mabegi airport kwa ajili ya kuyakodisha wapigie picha !!Yaani ukipita huko Instagram ndio utajua matatizo ya ajira pamoja na afya ya akili ni kubwa sana.
Wadada wa mjini a.k.a Maslay Queen wameibuka na kamtindo ka kwenda airport na mabegi makubwa kupiga picha na kupost Instagram ili kutafuta attention na aonekane yeye ni wa hadhi ya juu ili shughuli zake za ujasiriamali (kudanga) ziwe rahisi.
Mdada anatoka zake Kigogo sambusa au Buza kwa lulenge na begi lake kubwa kwenye daladala mpaka Kipawa airport anashuka anaenda pale nje Terminal 3 anapiga picha zake za kutosha anageuza zake nyumbani na kuedit picha zile kisha anazipost mtandaoni.
Afya ya akili ni tatizo kubwa sana linalokua kwa kasi hivi karibuni hasa kwa dada zetu hawa wa mjini.
Kuwa makini dear.kindi hicho picha ya airport ishakuteka. Unahisi haka kamtu kanajielewa. Kumbe bomu la kinyesi.
itabidi walipe kodiYaani ukipita huko Instagram ndio utajua matatizo ya ajira pamoja na afya ya akili ni kubwa sana.
Wadada wa mjini a.k.a Maslay Queen wameibuka na kamtindo ka kwenda airport na mabegi makubwa kupiga picha na kupost Instagram ili kutafuta attention na aonekane yeye ni wa hadhi ya juu ili shughuli zake za ujasiriamali (kudanga) ziwe rahisi.
Mdada anatoka zake Kigogo sambusa au Buza kwa lulenge na begi lake kubwa kwenye daladala mpaka Kipawa airport anashuka anaenda pale nje Terminal 3 anapiga picha zake za kutosha anageuza zake nyumbani na kuedit picha zile kisha anazipost mtandaoni.
Afya ya akili ni tatizo kubwa sana linalokua kwa kasi hivi karibuni hasa kwa dada zetu hawa wa mjini.
hii ni furahisha baraza tu mpendwa wangu, kuwa na amani. Wengine ni watu na familia zetu. Ila shukran kwa angalizo.Kuwa makini dear.
Ngoja niendelee kucheka,Jana sikumalizia.Saint Anne njoo ujichekee
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKuna clip nliona,kn dada anasema nyumba kwa mwezi analipia mln 7
Na blahblah kibao
Ukimuangalia tu anaonekana ubongo wake hauko sawa
Ova
Unaruhusiwa kuingia kumpokea ndugu yako anayekuja,ama kumsindikiza mtu anayesafiri.Aisee---hivi kale kautaratibu cha kuonyesha ticket pale getini hakipo tena.
Mimi nilijua ukija na mguu wanakurudisha
Nimecheka nimetaka kuzimia๐๐๐๐Na Mimi hua napanda ndege kwa style hii [emoji116][emoji116]View attachment 2268666
๐๐๐ Karibu tupande ndege mkuu,J'mos hii ntaenda Capetown mkuu.Nimecheka nimetaka kuzimia๐๐๐๐
Baba Mtumishi Pep mambo ni mengi huku mjini.
[emoji1545]hii ni furahisha baraza tu mpendwa wangu, kuwa na amani. Wengine ni watu na familia zetu. Ila shukran kwa angalizo.