Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao kwa kupiga picha majumba ya watu sasa. Ukifanya kosa ukamualiaka kwako kumuondoa uje na grader.
Fursa ya kukodisha mabeg waje walivyo watayakuta pale
unakaalika kamtu usiku mmoja tu, asubuhi ikifika kamejikunyata kwenye blanket hata mpango wa kuondoka hakana. Ukikaacha, mchana ukiangalia status zake unakuta keshapost 'chilling at home' kipindi hicho kapo kwenye sofa yako kamejiachia kama kanajua bei yake.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]aiseeee inaonekana yashakutokea mkuu
Pole sana
Hauwezi utaingiaje ndani wakati unakula kwanza scanner za kutosha na boarding pass juuHivi wanaruhusu kupiga picha ndan ya ndege ata kama usafir????
Kwa nini wasichome hata chips kitaa Jamani
HayaBila picha mzee huo n uwongo mtupu kuwasingizia dada zangu
[emoji1][emoji1] ndivyo mambo yalivyo. Ajira hakunaaa na watu wamegoma kutumia nguvu Kazi.Kuna siku nilikuta wadada flani hivi wa mjini nikajua wanasafiri kumbe wanapiga picha za kuuzia sura
Sio tu hao wanaosomaWadogo zetu wakiona hizo picha plus picha za kwenye mahoteli wanachanganyikiwa na shule wanaona zinawachelewesha wakati watu wanakula maisha.
Mitandao inaweza kukufanya uhisi wewe ndiye umefail maisha peke yako unasubiri kamshahara ambako mtu ananunulia vocha
Umeuliza kwa hisia sana 😂😂ivi Kigogo sambusa ni sehemu ya kiloko sanaaeee?
uusasa hivi kuna watu wanakuja na mabegi makubwa wapo hapohapo wewe unakodisha kupiga nayo picha utakuta wasichana 5 wamepiga picha begi zinafanana
MmmmhAhaahaa cyo nyumba tu anadai kwamba yeye Huwa anaogeshwa anamlipa anaemwogesha 20mil.!jinsia yoyote alafu hataki kwenda kwao singida anajipanga kwanza siku akienda awagawie walau 5 mil @wanakijiji wote....
muongo weweKuna watu hua wana hekaheka jaman, mie tu kupiga picha kwa simu yangu ibaki tu kwenye simu naona hata siwezi. Kuna wakati hadi mtu akiniomba picha za wanangu inabidi nipige simu wanitumie. Nawaza huo muda wa kupanda daladala na begi kwenda kupiga picha ili tu nipost
Nawe unapelekaje demu kwako ambae hauna mpango nae,unakaalika kamtu usiku mmoja tu, asubuhi ikifika kamejikunyata kwenye blanket hata mpango wa kuondoka hakana. Ukikaacha, mchana ukiangalia status zake unakuta keshapost 'chilling at home' kipindi hicho kapo kwenye sofa yako kamejiachia kama kanajua bei yake.
Vimtu vya hivi unaweza jikuta unakitoa na fimbo. huwa vibishi kuondoka balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaniKuna huyo alikuwa anakuja ofisini kwetu kupiga picha. Hahahaa!!