Darcyy
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,432
- 9,758
[emoji23][emoji23] hao ndo maslay queen bhanaa,,,. Halafu watoe hao wa sambusa na buza. Hawana hayo mambo kabisa, wao waambie vijora na vigodoro bs, huo muda wa kwenda airport wanautoa wapi???. Watu km wakina uwoya ndiyo wa kuwaweka hapo,, maana wanatafuta pesa kupitia miili yao, ni lazima wapendeze haswaaa Ili kuuzika sokoni.