Siku hizi Wadada wanaenda kupiga picha na mabegi Airport

Siku hizi Wadada wanaenda kupiga picha na mabegi Airport

Yaani ukipita huko Instagram ndio utajua matatizo ya ajira pamoja na afya ya akili ni kubwa sana.

Wadada wa mjini a.k.a Maslay Queen wameibuka na kamtindo ka kwenda airport na mabegi makubwa kupiga picha na kupost Instagram ili kutafuta attention na aonekane yeye ni wa hadhi ya juu ili shughuli zake za ujasiriamali (kudanga) ziwe rahisi.

Mdada anatoka zake Kigogo sambusa au Buza kwa lulenge na begi lake kubwa kwenye daladala mpaka Kipawa airport anashuka anaenda pale nje Terminal 3 anapiga picha zake za kutosha anageuza zake nyumbani na kuedit picha zile kisha anazipost mtandaoni.

Afya ya akili ni tatizo kubwa sana linalokua kwa kasi hivi karibuni hasa kwa dada zetu hawa wa mjini.
Hebu fafanua kidogo. Ulitakaje? Yaani wabebe fagio au jiko la mkaa?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Mdada anatoka zake Kigogo sambusa au Buza kwa lulenge na begi lake kubwa kwenye daladala mpaka Kipawa airport anashuka anaenda pale nje Terminal 3 anapiga picha zake za kutosha anageuza zake nyumbani na kuedit picha zile kisha anazipost mtandaoni.
Kama wanakuacha salama usihangaike nao, kula ugali wako relax
 
Kuwa slay queen ni kazi mkuu. Mtu anaenda Mwanza tu hapo anapost status kapendeza balaa halafu kashika passport location terminal 3. Kwa mtu asiejua yule binti anaendaga Mwanza anaweza akahisi kachelewa maisha wenzie wanaenda nje kila leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na Mimi hua napanda ndege kwa style hii [emoji116][emoji116]
FF11WfUXwA0nYr9.jpg
 
Back
Top Bottom