Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Fainali ni uzeeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu fafanua kidogo. Ulitakaje? Yaani wabebe fagio au jiko la mkaa?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Yaani ukipita huko Instagram ndio utajua matatizo ya ajira pamoja na afya ya akili ni kubwa sana.
Wadada wa mjini a.k.a Maslay Queen wameibuka na kamtindo ka kwenda airport na mabegi makubwa kupiga picha na kupost Instagram ili kutafuta attention na aonekane yeye ni wa hadhi ya juu ili shughuli zake za ujasiriamali (kudanga) ziwe rahisi.
Mdada anatoka zake Kigogo sambusa au Buza kwa lulenge na begi lake kubwa kwenye daladala mpaka Kipawa airport anashuka anaenda pale nje Terminal 3 anapiga picha zake za kutosha anageuza zake nyumbani na kuedit picha zile kisha anazipost mtandaoni.
Afya ya akili ni tatizo kubwa sana linalokua kwa kasi hivi karibuni hasa kwa dada zetu hawa wa mjini.
Hakuna walajiKwa nini wasichome hata chips kitaa Jamani
Kama wanakuacha salama usihangaike nao, kula ugali wako relaxMdada anatoka zake Kigogo sambusa au Buza kwa lulenge na begi lake kubwa kwenye daladala mpaka Kipawa airport anashuka anaenda pale nje Terminal 3 anapiga picha zake za kutosha anageuza zake nyumbani na kuedit picha zile kisha anazipost mtandaoni.
Kuna clip nliona,kn dada anasema nyumba kwa mwezi analipia mln 7Afya ya akili ni tatizo kubwa sana linalokua kwa kasi hivi karibuni hasa kwa dada zetu hawa wa mjini.
Kivipi akatae kuondokaHao kwa kupiga picha majumba ya watu sasa. Ukifanya kosa ukamualiaka kwako kumuondoa uje na grader.