Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,383
- 9,337
Hahaaa, kila mkoa Una eneo Fulani la kilokooloko, mfano Kilimanjaro (kishumundu), Arusha (kimandoluu) Morogoro (matombo).. mbeya (mbeya peak), mwanza (ukerewe)....etcUmeuliza kwa hisia sana 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa, kila mkoa Una eneo Fulani la kilokooloko, mfano Kilimanjaro (kishumundu), Arusha (kimandoluu) Morogoro (matombo).. mbeya (mbeya peak), mwanza (ukerewe)....etcUmeuliza kwa hisia sana 😂😂
Unaona eeh🤣🤣🤣🙋Kweli chizi sio lazima aokote makopo...
Mwambie hebu ageuke nyuma
Mwambie hebu ageuke nyuma
👏🏽👏🏽Unajua kuna watu mtafikiria utani. Hii ni kweli. Kuna mtu alisema kesho naomba nisindikize Airport nikajua anapaa au anampokea mtu. Alasema hapana kupiga picha. Nikakataa. Kesho yake nakuta status WhatsApp.
Watoto wa kike sie tuna shida sana wallah,,
Kwa hyo kila akitaka kumgegeda akodi gesti??Nawe unapelekaje demu kwako ambae hauna mpango nae,
Sasa kama unaishi Masaki au Mikocheni wafanyaje mkuu badala ya kuenjoy maisha😆😆😆😆unakaalika kamtu usiku mmoja tu, asubuhi ikifika kamejikunyata kwenye blanket hata mpango wa kuondoka hakana. Ukikaacha, mchana ukiangalia status zake unakuta keshapost 'chilling at home' kipindi hicho kapo kwenye sofa yako kamejiachia kama kanajua bei yake.
Vimtu vya hivi unaweza jikuta unakitoa na fimbo. huwa vibishi kuondoka balaa.
Si wanajaribu kujiepusha na harufu ya kiazi? Na ujue mitaji hawana. Utanunuliwa beer na wakutoe tu nauli, mtaji wa chipsi kitaa utatoka wapi?Kwa nini wasichome hata chips kitaa Jamani
YeahKwa hyo kila akitaka kumgegeda akodi gesti??
Wanapandisha thamani ya mbususu kwenye soko la darKwa nini wasichome hata chips kitaa Jamani