uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Ukweli ni kwamba kama kmc wameweza kujenga uwanja mzuri vile imagine viwanja kama ccm kirumba,sokoine, jamhuri n.k vingepewa halmashauri wakarabati soka na michezo mingine ingeshamiri namna gani!?
Yani ikitokea nimepewa nchi Hilo ndio jambo la kwanza la kufanya
Yani ikitokea nimepewa nchi Hilo ndio jambo la kwanza la kufanya