Siku moja kabla ya mechi, Viongozi wajuu wa Simba na Yanga wakutanishwa Ikulu na Rais Samia, Aprili 15, 2023

Siku moja kabla ya mechi, Viongozi wajuu wa Simba na Yanga wakutanishwa Ikulu na Rais Samia, Aprili 15, 2023

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
1005842d-41fd-4de5-9b0f-cdfbd163ff40.jpg

Wapinzania wa jadi Simba na Yanga wakutana kwenye Futari Ikulu Jijini Dar es Salaam, wa kwanza kulia ni Rais wa Yanga Eng. Hersi Said, Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Salim Abdallah (Try again) wa pili kutoka kulia pamoja na Mfadhili na Mdhamini wa Yanga, Ghalib Said Mohamed wa pili kutoka kushoto wakiwa Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tarehe 15 Aprili 2023. Wakwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo
 
kesho tutegemee mabango mengi sana ya kumsifu mtu,....
btw, hizi futari sio matumizi mabaya ya kodi kweli?
 
Simba na Yanga ni urithi na utamaduni na ndio sherehe ya watu wazima
Kwa Sasa ni game on hakuna kuingilia maamuzi na hapo ndio Simba anapofia Simba bila janja janja huwa hawezi kuifunga yanga Sasa vile wamekutanishwa na Rais basi tena kazi inabaki kwa Nabi na Robert
 
Back
Top Bottom