Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Mwanao wa umri gani..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani ndugu mwananchi ,Mimi ni mpambe wa raisi mtarajiwa hivyo ,natumia nafasi hii kukujuza kuwa umeniquote Mimi mpambe badala ya mheahimiwa raisi mtarajiwa .ingia chama tawala komaa kumtukana mbowe na lissu, na kuwaita magaidi
anzia hapo mdogomdogo
Kama hapo ulipo umefikisha miaka 15 na huna connection yoyote na mtu yeyote wa serikali kuu bc sio ww wala uzao wako utakaoweza kupata hiyo
😅😅😅😅Samahani ndugu mwananchi ,Mimi ni mpambe wa raisi mtarajiwa hivyo ,natumia nafasi hii kukujuza kuwa umeniquote Mimi mpambe badala ya mheahimiwa raisi mtarajiwa .
Vipi hapo mkuu realMamy unaonaje nitakuwa vizuri kwenye kuwasilisha hoja nikiwa waziri wa sifa na utukufu kwa mkuu wa nchi?
Yani hapo najua huo ni mgazeti wangu anauandaa kunijibu 😹😹😹
😹😹😹 humu ukiingia akili za kawaida ziache huko huko..!Yani humu ndo chanzo cha watu kujiua 😅😅😅
Hakuna namna ya kufanya zaidi ya wewe kuwa Rais! Ndoto haina mbadala wa njia ya kuifikia. Face your fears and go for it!Hiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais.
Nifanye nini ili nifanikishe ndoto yangu hii kubwa?
katika maombi yako kwa Mungu,Ungana na kaka Luca na mwenzie Tlaatlaah
Tafuta "hobby" nyingine mkuu. Hiyo njozi ya uraisi achana nayo.🤪Ohooo 😅😅😅😅