Siku Muhimu ya Kuliombea na Kulipongeza Jeshi la Polisi Tanzania kwa Kudumisha Amani na Utulivu Nchini

Siku Muhimu ya Kuliombea na Kulipongeza Jeshi la Polisi Tanzania kwa Kudumisha Amani na Utulivu Nchini

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Mpaka sasa umoja, amani na utulivu wa wananchi katika kila kona na pembe ya nchi, ni imara na kuna usalama wa kutosha na wa uhakika sana. Hii ni ishara kwamba vyombo vingine vya ulinzi na usalama nchini, viko tayari kujitolea kulinda wananchi na viko imara zaidi.

Hakuna kitisho cha vurugu, fujo, wala uvunjifu wa amani tena nchini. Jeshi imara la polisi nchini, mmejipanga vizuri sana kuzuia, kudhibiti na kusambaratisha magenge ya aina zote za kihalifu nchini, kuanzia sasa. Hilo limewatia moyo sana waTanzania. Well done our very able Police Forces. Tanzanias are proud and peace over you.

Katika kipindi hiki,
waTanzania wengi zaidi wana imani kubwa sana na jeshi imara la polisi nchini, na wana uhakika wa ulinzi na usalama wao na familia zao, mali na makazi yao wanakoishi, kuliko wakati mwingine wowote. Kujaribu kupotosha au kupinga ukweli huu ni usaliti kwa Taifa na haiwezekani..

Asante sana ndugu Rais na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan, kwa uwekezaji huu muhimu na mkubwa sana katika wa amani, umoja na utulivu wa wananchi Tanzania.

Kwa hakika dhamira na nia yako njema inajidhihirisha nchini kote, na maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa yanaonekana bayana na kuimarika siku hadi siku, kwasababu ya amani na utulivu wa kudumu uliopo.

Mungu akubariki sana Mh.Rais na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.
Mungu Bariki Jeshi la Polisi Nchini Tanzania 🐒

Nawatakia Nyote Jumapili ya Neema na Baraka za Mungu 🌹
 
Sawa msemaji wa Watanzania. Nenda kanisani kamuombe Mungu wako alete ushujaa na ujasiri mioyoni mwa Watanzania- ili wawe na uthubutu wa kukemea maovu na maonezi -sio kusifia na unafiki.
Mungu mwenyewe hapendi watu waoga na vilaza..anapenda watu mashujaa- wakina Daudi, Joshua, Musa, Samsoni hawakuwa watu wamchezomchezo - walikua ni mashujaa - waliowakabili adui bila woga..
Yesu mwenyewe ndo alikua msumbufu balaa - hakutana kuonewa, hakutaka unafiki, hakuwa mwoga hata chembe - alikuwa anawapa za uso wote wanaokatiza mbele yake na kuzingua, hakumuogopa herode, Pilato, Mafarisayo, Masadukayo, wazee wa wayahudi, askari wa kirumi n.k.
 
Mpaka sasa umoja, amani na utulivu wa wananchi katika kila kona na pembe ya nchi, ni imara na kuna usalama wa kutosha na wa uhakika sana. Hii ni ishara kwamba vyombo vingine vya ulinzi na usalama nchini, viko tayari kujitolea kulinda wananchi na viko imara zaidi.

Hakuna kitisho cha vurugu, fujo, wala uvunjifu wa amani tena nchini. Jeshi imara la polisi nchini, mmejipanga vizuri sana kuzuia, kudhibiti na kusambaratisha magenge ya aina zote za kihalifu nchini, kuanzia sasa. Hilo limewatia moyo sana waTanzania. Well done our very able Police Forces. Tanzanias are proud and peace over you.

Katika kipindi hiki,
waTanzania wengi zaidi wana imani kubwa sana na jeshi imara la polisi nchini, na wana uhakika wa ulinzi na usalama wao na familia zao, mali na makazi yao wanakoishi, kuliko wakati mwingine wowote. Kujaribu kupotosha au kupinga ukweli huu ni usaliti kwa Taifa na haiwezekani..

Asante sana ndugu Rais na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan, kwa uwekezaji huu muhimu na mkubwa sana katika wa amani, umoja na utulivu wa wananchi Tanzania.

Kwa hakika dhamira na nia yako njema inajidhihirisha nchini kote, na maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa yanaonekana bayana na kuimarika siku hadi siku, kwasababu ya amani na utulivu wa kudumu uliopo.

Mungu akubariki sana Mh.Rais na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.
Mungu Bariki Jeshi la Polisi Nchini Tanzania 🐒

Nawatakia Nyote Jumapili ya Neema na Baraka za Mungu 🌹
Sometimes a joke stretches too far.
 
Mpaka sasa umoja, amani na utulivu wa wananchi katika kila kona na pembe ya nchi, ni imara na kuna usalama wa kutosha na wa uhakika sana. Hii ni ishara kwamba vyombo vingine vya ulinzi na usalama nchini, viko tayari kujitolea kulinda wananchi na viko imara zaidi.

Hakuna kitisho cha vurugu, fujo, wala uvunjifu wa amani tena nchini. Jeshi imara la polisi nchini, mmejipanga vizuri sana kuzuia, kudhibiti na kusambaratisha magenge ya aina zote za kihalifu nchini, kuanzia sasa. Hilo limewatia moyo sana waTanzania. Well done our very able Police Forces. Tanzanias are proud and peace over you.

Katika kipindi hiki,
waTanzania wengi zaidi wana imani kubwa sana na jeshi imara la polisi nchini, na wana uhakika wa ulinzi na usalama wao na familia zao, mali na makazi yao wanakoishi, kuliko wakati mwingine wowote. Kujaribu kupotosha au kupinga ukweli huu ni usaliti kwa Taifa na haiwezekani..

Asante sana ndugu Rais na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan, kwa uwekezaji huu muhimu na mkubwa sana katika wa amani, umoja na utulivu wa wananchi Tanzania.

Kwa hakika dhamira na nia yako njema inajidhihirisha nchini kote, na maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa yanaonekana bayana na kuimarika siku hadi siku, kwasababu ya amani na utulivu wa kudumu uliopo.

Mungu akubariki sana Mh.Rais na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.
Mungu Bariki Jeshi la Polisi Nchini Tanzania 🐒

Nawatakia Nyote Jumapili ya Neema na Baraka za Mungu 🌹
Hujakatazwa
Fanya ibada, wapongeze na kadhalika.

Maandamano ya kudai haki kwa amani yapo palepale
 
mjuni,
kumlilia Mungu, kuomba Baraka na Neema za Mungu kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni kuhangaika, mjuni, kweli?

wewe ni mpagani sio mjuni? hutaki kuskia habari za ibada kabisa right?🐒
Wakazi wa jangwani wamefurahi maana walikuwa wanakabwa kuporwa kila wakiomba polisi waweke doria pale kimyaa
Naona sahv maandamano ya hawa cdm yamewaleta mpaka pale bila kupenda,khmbe ulinzi wanaweza ehh hii patrol tunaomba ipigwe mwaka mzima bila kusimama mama 😄

Ova
 
Back
Top Bottom