HahaWhat are you smoking?
Niliona inafanana na trekta nikajua ni jamii mojaWhat are you smoking?
Hivi toyota kama ile mama saamia yenye bulletproof inaruhusiwa mtu binafsi kuwa nayo mkuu?Bulletproof truck...
HakikaHii ndio chuma ya kufanyia tour ya Dsm to CapetownView attachment 3148027
Waziri wa kaskazini inaruhusiwa sema sisi vita yetu ni mbu umefika mbali kutaka kujikinga na risasi wakati adui yetu ni mosquito..Hivi toyota kama ile mama saamia yenye bulletproof inaruhusiwa mtu binafsi kuwa nayo mkuu?
Yeah siyo kosa mkuuLabda najipiga fix tu, ila sio kosa kutumaini"
Mkuu nimekumbuka issue ya LissuWaziri wa kaskazini inaruhusiwa sema sisi vita yetu ni mbu umefika mbali kutaka kujikinga na risasi wakati adui yetu ni mosquito..
Tanzania watu sio violent ndio maana mtu anaweza akawa na Siraha na bado wahuni wakakuzidi kete tofauti na maeneo yenye matukio kama hayo mara kwa mara ukiwa na siraha kila dakika unakua makini wakikuzidi kete ujue wamefanya timing kubwa sana..Mkuu nimekumbuka issue ya Lissu
Sio vibaya kuota mchana, japo ndoto zenyewe wala hazieleweki"Labda najipiga fix tu, ila sio kosa kutumaini"
View attachment 3147999