Siku nikichapiwa mke sijui nitakua na hali gali, nimekuta anatongozwa presha imenipanda

Siku nikichapiwa mke sijui nitakua na hali gali, nimekuta anatongozwa presha imenipanda

Na mlivyo mwili mmoja akiliwa ni sawa mmeliwa wote😅
Aah kwahiyo walp hapiwa wote nao wamechapwa?
1721885697908.png
 
Kikubwa ni kuonesha ukomavu na kukaa mbali na simu ya mkeo vinginevyo utateseka sana mkuu.

Ukioa mwanamke mrembo sana jua umeolea kijiji ni swala la muda tu na nakuhakikishia kuwa hata ukimsanua kuwa umeona kuna boya anamendea mzigo basi tambua tu hawatoacha kuwasiliana ila ataongeza umakini ili usije ukaona chatting zao kwa either kuzifuta instantly au kutumia simu ya shoga yake.
 
Kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.

Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
Kwani wewe uko je! Sembuse wenye fedha,majumba,magari,misosi,nyadhifa,viongozi wa dini wamechapiwa na wanachapiwa wewe hayajakukuta yatapokukuta uje Tena hapa jukwani utuambie.
 
Kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.

Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
Half american Natafuta Ajira msaidieni huyu jamaa hata ushauri, maana taa nyekundu imeshawaka.
 
Pole .ndio haatua za kutoka kwenye utoto kuja utu uzima. Acha kumfuatilia mkeo. Ni mtu mzima mwenzio huyo cha msingi zingatia masuala ya msingi pekee kwake
 
Kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.

Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
Muhuni anataka kupasha kiporo ilikuwa chakula chake
 
Kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.

Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
Wewe utakufa siku si nyingi endelea na mapressure yako alafu wahuni wajipigie kiulani
 
Kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.

Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
NI huzuni kwakweli..!! Hivi hujui kwamba mwanamke kutongozwa ataachwa siku akifa?? Halafu hata akifa, inategemea na akili za mhudumu wa mochware. Anaweza akanyanduliwa huko huko mochware akiwa amekufa. Usicheze na akili za mtu aliyeamua kukamilisha jambo lake.
 
Pole sana kijana.
Inabidi ujue kua mkeo ni binadamu pia, ana matamanio , ana hisia na anaweza kukosea vilevile.

Siku mkeo akijua huo udhaifu atakutesa sana, ficha sana asijue kua we ni dhaifu juu yake.
 
Kwenye simu ya mkeo unatafuta nini boss?

Utakufa kwa presha mkuu kila unavyozidi kumfuatilia mwanamke ndo unapunguza umri wa kuishi ....
 
Community cocks anatumikia 😅😅😅
 
Kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.

Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
tulia bro,utajiumiza bute
 
Back
Top Bottom