Malipo ni hapa hapa; "kama walikichukulia mikononi, kitawatokea sehemu yoyote palipo na matundu" in Late JPM's voice.tusilipize kisasi
Waroma 12:19-20 BHN - Bible.com
Wapenzi wangu, msilipize kisasi, bali mwachieni Mungu jambo hilo; maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kulipiza kisasi ni shauri langu;
Amina nakuombea ufanikiwe.
Katika hilo, usione haya, Kupambana mpaka na Viongozi wasowaaminifu wanaolamba Asali walioko kwenye vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama.
Hatupaswi kuogopa kufa; kwa maana tukiogopa tutakufa na tusipoogopa tutakufa vilevile! Kuogopa kifo ni ujinga!Usijaribu,utakufa kabla hujatimiza nusu ya hayo
Ni ujinga kufa kifo cha kujitakiaHatupaswi kuogopa kufa; kwa maana tukiogopa tutakufa na tusipoogopa tutakufa vilevile! Kuogopa kifo ni ujinga!
That's why I pray to God if it pleases Him.You will never be.
Baba yako hakukwambia kwamba alikuwa anakusomesha kwa Hela za wiziHabari wana Jamvi wa Jamii Forum, salamu nyingi kwenu.
Napenda kuwahakikishia kwamba nawapenda sana.
Ama baada ya salamu hizo za upendo, naomba moja kwa moja nidondoke kwenye mada.
Kama vile tunavyofahamu kwamba Mungu anaweza kumfanya mtu yeyote, wa hali yoyote, wakati wowote, kuwa yeyote, vivyo hivyo na mimi nina amini kwamba siku moja, Mungu akinifanikisha kuwa Rais wa nchi yangu ya Tanzania, pamoja na kwamba kwa sasa si mwanasiasa na wala si mtu maarufu na wala sitoki kwenye familia maarufu au tajiri; nitafanya haya yafuatayo kwa ajili ya usitawi wa Taifa langu na kwa watu wake pia;
1. Nitabadilisha mnyama anayeliwakilisha Taifa letu toka kuwa Twiga hadi kuwa Tai. Lengo ni kubadilisha mentality ya Watanzania toka kuwa watu wenye maono ya muda mfupi na mwendo wa taratibu kuelekea kwenye maendeleo hadi kuwa watu wenye kasi kubwa na maono ya muda mrefu. Tai haliwi. Hivyo hiyo itasaidia pia kutuondolea dhana potofu kwamba ili ule lazima uliwe kwanza hadi kwenye dhana ya kwamba unaweza kula tu bila kuliwa hata kidogo.
2. Nitawajengea Watanzania kuwa na moyo wa kufanya mambo makubwa kwa vitendo.
3. Nitaifanya Tanzania kuwa moja kati ya Mataifa makubwa kabisa duniani kijeshi, kiuchumi, kisiasa, kidiplomasia n.k.
4. Nitawaheshimisha na kuwaenzi ipasavyo viongozi wote waliolitumikia Taifa letu kwa Uzalendo Mkubwa kuanzia kwa Hayati Julius Nyerere hadi kwa Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Hii itawajengea moyo wa uzalendo viongozi wengine kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi ngazi ya juu kabisa.
5. Viongozi wote ambao kwa namna moja ama nyingine walichangia kuliingizia Taifa letu hasara kwa namna yoyote, wawe hai au wamekufa, lazima watafidia hiyo hasara waliyolisababishia Taifa. Hii itajumuisha kutaifisha mali ambazo warithi wao walizirithi ziwe ndani au nje ya nchi. Pia adhabu ya kifungo kwa wale watakaokuwa hai itahusika. Hii itakuwa onyo kwa viongozi wengine wa kipindi hicho na wale watakaofuatia kuliongoza Taifa letu, ili waweze kuliongoza kwa uzalendo na kujitoa muhanga pia kwa ajili ya nchi yetu.
6. Idara ya usalama wa Taifa itaimarishwa kuanzia ngazi ya familia hadi ngazi za juu kabisa.
7. Serikali itawajibika kuwatunza katika nyanja zote (mavazi, malazi, chakula, elimu, afya n.k), watoto wote wa mtaani, watoto yatima, wazee wasio na uwezo wa kujitunza n.k. Kila raia lazima apewe mahitaji yote ya msingi na nchi yake.
8. Tenda zote za Serikali, zitapewa taasisi za serikali kama vile SUMA JKT, MAGEREZA, JWTZ n.k.
9. Nitajitahidi kupunguza tofauti kati ya matajiri na maskini kwa kuhakikisha keki ya Taifa inagawiwa sawa kwa wananchi wote.
10. Nitaboresha Taasisi zote za Serikali zionekane bora kuliko Taasisi binafsi.
NOTE: Serikali yoyote inawajibika kuhakikisha watu wake wote wanapata mahitaji yao yote ya msingi ikiwemo chakula, mavazi, sehemu nzuri za kuishi, usafiri, huduma za Afya, usalama wao na mali zao, mawasiliano, burudani n.k. Pia ni majukumu ya serikali kuhakikisha raia wanafurahia maisha na kujivunia nchi yao. Ni fedheha kwa serikali kwa raia wengi kuilalamikia kila siku kwa kushindwa kufanya kulingana na matarajio yao.
Ombi langu kwa Mungu ni kwamba hii Katiba tuliyo nayo sasa, iendelee kuwepo hadi huo muda ili niweze kufanya hayo yote niliyoyataja hapo juu.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Afrika Mashariki, Mungu ibariki Tanzania nchi yangu, Mungu ibariki Jamii Forum na members wake wote, Mungu nibariki mimi na familia yangu pia,
AMINA.
Ni fahari Kufa kwa ajili ya nchi yako na watu wake.Ni ujinga kufa kifo cha kujitakia
OK good luck mtumishi.That's why I pray to God if it pleases Him.
TO GOD NOTHING IS IMPOSSIBLE.
Amen.
Yaani mimi hata nikiwa Mtendaji tu wa Kata Majizi yote nitayang'oa MakoromeoHabari wana Jamvi wa Jamii Forum, salamu nyingi kwenu.
Napenda kuwahakikishia kwamba nawapenda sana.
Ama baada ya salamu hizo za upendo, naomba moja kwa moja nidondoke kwenye mada.
Kama vile tunavyofahamu kwamba Mungu anaweza kumfanya mtu yeyote, wa hali yoyote, wakati wowote, kuwa yeyote, vivyo hivyo na mimi nina amini kwamba siku moja, Mungu akinifanikisha kuwa Rais wa nchi yangu ya Tanzania, pamoja na kwamba kwa sasa si mwanasiasa na wala si mtu maarufu na wala sitoki kwenye familia maarufu au tajiri; nitafanya haya yafuatayo kwa ajili ya usitawi wa Taifa langu na kwa watu wake pia;
1. Nitabadilisha mnyama anayeliwakilisha Taifa letu toka kuwa Twiga hadi kuwa Tai. Lengo ni kubadilisha mentality ya Watanzania toka kuwa watu wenye maono ya muda mfupi na mwendo wa taratibu kuelekea kwenye maendeleo hadi kuwa watu wenye kasi kubwa na maono ya muda mrefu. Tai haliwi. Hivyo hiyo itasaidia pia kutuondolea dhana potofu kwamba ili ule lazima uliwe kwanza hadi kwenye dhana ya kwamba unaweza kula tu bila kuliwa hata kidogo.
2. Nitawajengea Watanzania kuwa na moyo wa kufanya mambo makubwa kwa vitendo.
3. Nitaifanya Tanzania kuwa moja kati ya Mataifa makubwa kabisa duniani kijeshi, kiuchumi, kisiasa, kidiplomasia n.k.
4. Nitawaheshimisha na kuwaenzi ipasavyo viongozi wote waliolitumikia Taifa letu kwa Uzalendo Mkubwa kuanzia kwa Hayati Julius Nyerere hadi kwa Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Hii itawajengea moyo wa uzalendo viongozi wengine kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi ngazi ya juu kabisa.
5. Viongozi wote ambao kwa namna moja ama nyingine walichangia kuliingizia Taifa letu hasara kwa namna yoyote, wawe hai au wamekufa, lazima watafidia hiyo hasara waliyolisababishia Taifa. Hii itajumuisha kutaifisha mali ambazo warithi wao walizirithi ziwe ndani au nje ya nchi. Pia adhabu ya kifungo kwa wale watakaokuwa hai itahusika. Hii itakuwa onyo kwa viongozi wengine wa kipindi hicho na wale watakaofuatia kuliongoza Taifa letu, ili waweze kuliongoza kwa uzalendo na kujitoa muhanga pia kwa ajili ya nchi yetu.
6. Idara ya usalama wa Taifa itaimarishwa kuanzia ngazi ya familia hadi ngazi za juu kabisa.
7. Serikali itawajibika kuwatunza katika nyanja zote (mavazi, malazi, chakula, elimu, afya n.k), watoto wote wa mtaani, watoto yatima, wazee wasio na uwezo wa kujitunza n.k. Kila raia lazima apewe mahitaji yote ya msingi na nchi yake.
8. Tenda zote za Serikali, zitapewa taasisi za serikali kama vile SUMA JKT, MAGEREZA, JWTZ n.k.
9. Nitajitahidi kupunguza tofauti kati ya matajiri na maskini kwa kuhakikisha keki ya Taifa inagawiwa sawa kwa wananchi wote.
10. Nitaboresha Taasisi zote za Serikali zionekane bora kuliko Taasisi binafsi.
NOTE: Serikali yoyote inawajibika kuhakikisha watu wake wote wanapata mahitaji yao yote ya msingi ikiwemo chakula, mavazi, sehemu nzuri za kuishi, usafiri, huduma za Afya, usalama wao na mali zao, mawasiliano, burudani n.k. Pia ni majukumu ya serikali kuhakikisha raia wanafurahia maisha na kujivunia nchi yao. Ni fedheha kwa serikali kwa raia wengi kuilalamikia kila siku kwa kushindwa kufanya kulingana na matarajio yao.
Ombi langu kwa Mungu ni kwamba hii Katiba tuliyo nayo sasa, iendelee kuwepo hadi huo muda ili niweze kufanya hayo yote niliyoyataja hapo juu.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Afrika Mashariki, Mungu ibariki Tanzania nchi yangu, Mungu ibariki Jamii Forum na members wake wote, Mungu nibariki mimi na familia yangu pia,
AMINA.
Uelewi unachosema,Rais ni taasisi unadhani unaamka tu na kuamua mwenyewe,hayo mambo yalikuwa zamaniNi fahari Kufa kwa ajili ya nchi yako na watu wake.
Anyone can be touched. Wewe ndio mjinga. Mmeshaaminishana huko kua nyie hamgusiki? Kama jiwe alishindwa ndio kila mtu atashindwa? Subiri ujioneeWewe ni mpumbavu sana na Uko shortsighted. You have no idea what it takes to run a country. Kwa hizi ideas zako nchi itakushinda mapema sana. Hutaweza kuwa rais kwa upuuzi kama huu. But let’s pretend umeweza, you think coz ni president you can touch everyone? Kamuulize jiwe atakusimulia. Mjinga mkubwa wewe
Mbona utawamaliza viongozi wote matajiri wa CCM, hawatakubali uipate nafasi hiyo hata kama vita naiwe.Habari wana Jamvi wa Jamii Forum, salamu nyingi kwenu.
Napenda kuwahakikishia kwamba nawapenda sana.
Ama baada ya salamu hizo za upendo, naomba moja kwa moja nidondoke kwenye mada.
Kama vile tunavyofahamu kwamba Mungu anaweza kumfanya mtu yeyote, wa hali yoyote, wakati wowote, kuwa yeyote, vivyo hivyo na mimi nina amini kwamba siku moja, Mungu akinifanikisha kuwa Rais wa nchi yangu ya Tanzania, pamoja na kwamba kwa sasa si mwanasiasa na wala si mtu maarufu na wala sitoki kwenye familia maarufu au tajiri; nitafanya haya yafuatayo kwa ajili ya usitawi wa Taifa langu na kwa watu wake pia;
1. Nitabadilisha mnyama anayeliwakilisha Taifa letu toka kuwa Twiga hadi kuwa Tai. Lengo ni kubadilisha mentality ya Watanzania toka kuwa watu wenye maono ya muda mfupi na mwendo wa taratibu kuelekea kwenye maendeleo hadi kuwa watu wenye kasi kubwa na maono ya muda mrefu. Tai haliwi. Hivyo hiyo itasaidia pia kutuondolea dhana potofu kwamba ili ule lazima uliwe kwanza hadi kwenye dhana ya kwamba unaweza kula tu bila kuliwa hata kidogo.
2. Nitawajengea Watanzania kuwa na moyo wa kufanya mambo makubwa kwa vitendo.
3. Nitaifanya Tanzania kuwa moja kati ya Mataifa makubwa kabisa duniani kijeshi, kiuchumi, kisiasa, kidiplomasia n.k.
4. Nitawaheshimisha na kuwaenzi ipasavyo viongozi wote waliolitumikia Taifa letu kwa Uzalendo Mkubwa kuanzia kwa Hayati Julius Nyerere hadi kwa Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Hii itawajengea moyo wa uzalendo viongozi wengine kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi ngazi ya juu kabisa.
5. Viongozi wote ambao kwa namna moja ama nyingine walichangia kuliingizia Taifa letu hasara kwa namna yoyote, wawe hai au wamekufa, lazima watafidia hiyo hasara waliyolisababishia Taifa. Hii itajumuisha kutaifisha mali ambazo warithi wao walizirithi ziwe ndani au nje ya nchi. Pia adhabu ya kifungo kwa wale watakaokuwa hai itahusika. Hii itakuwa onyo kwa viongozi wengine wa kipindi hicho na wale watakaofuatia kuliongoza Taifa letu, ili waweze kuliongoza kwa uzalendo na kujitoa muhanga pia kwa ajili ya nchi yetu.
6. Idara ya usalama wa Taifa itaimarishwa kuanzia ngazi ya familia hadi ngazi za juu kabisa.
7. Serikali itawajibika kuwatunza katika nyanja zote (mavazi, malazi, chakula, elimu, afya n.k), watoto wote wa mtaani, watoto yatima, wazee wasio na uwezo wa kujitunza n.k. Kila raia lazima apewe mahitaji yote ya msingi na nchi yake.
8. Tenda zote za Serikali, zitapewa taasisi za serikali kama vile SUMA JKT, MAGEREZA, JWTZ n.k.
9. Nitajitahidi kupunguza tofauti kati ya matajiri na maskini kwa kuhakikisha keki ya Taifa inagawiwa sawa kwa wananchi wote.
10. Nitaboresha Taasisi zote za Serikali zionekane bora kuliko Taasisi binafsi.
NOTE: Serikali yoyote inawajibika kuhakikisha watu wake wote wanapata mahitaji yao yote ya msingi ikiwemo chakula, mavazi, sehemu nzuri za kuishi, usafiri, huduma za Afya, usalama wao na mali zao, mawasiliano, burudani n.k. Pia ni majukumu ya serikali kuhakikisha raia wanafurahia maisha na kujivunia nchi yao. Ni fedheha kwa serikali kwa raia wengi kuilalamikia kila siku kwa kushindwa kufanya kulingana na matarajio yao.
Ombi langu kwa Mungu ni kwamba hii Katiba tuliyo nayo sasa, iendelee kuwepo hadi huo muda ili niweze kufanya hayo yote niliyoyataja hapo juu.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Afrika Mashariki, Mungu ibariki Tanzania nchi yangu, Mungu ibariki Jamii Forum na members wake wote, Mungu nibariki mimi na familia yangu pia,
AMINA.
Ninaamini kila kitu kinawezekana. Kwani wao waliwezaje? Tofauti ambayo itakuwepo ni kwamba sitatumia madaraka kujinufaisha mimi na familia yangu, badala yake nitayatumia kwa maslahi mapana ya nchi na watu wake..Mbona utawamaliza viongozi wote matajiri wa CCM, hawatakubali uipate nafasi hiyo hata kama vita naiwe.
Duh!Habari wana Jamvi wa Jamii Forum, salamu nyingi kwenu.
Napenda kuwahakikishia kwamba nawapenda sana.
Ama baada ya salamu hizo za upendo, naomba moja kwa moja nidondoke kwenye mada.
Kama vile tunavyofahamu kwamba Mungu anaweza kumfanya mtu yeyote, wa hali yoyote, wakati wowote, kuwa yeyote, vivyo hivyo na mimi nina amini kwamba siku moja, Mungu akinifanikisha kuwa Rais wa nchi yangu ya Tanzania, pamoja na kwamba kwa sasa si mwanasiasa na wala si mtu maarufu na wala sitoki kwenye familia maarufu au tajiri; nitafanya haya yafuatayo kwa ajili ya usitawi wa Taifa langu na kwa watu wake pia;
1. Nitabadilisha mnyama anayeliwakilisha Taifa letu toka kuwa Twiga hadi kuwa Tai. Lengo ni kubadilisha mentality ya Watanzania toka kuwa watu wenye maono ya muda mfupi na mwendo wa taratibu kuelekea kwenye maendeleo hadi kuwa watu wenye kasi kubwa na maono ya muda mrefu. Tai haliwi. Hivyo hiyo itasaidia pia kutuondolea dhana potofu kwamba ili ule lazima uliwe kwanza hadi kwenye dhana ya kwamba unaweza kula tu bila kuliwa hata kidogo.
2. Nitawajengea Watanzania kuwa na moyo wa kufanya mambo makubwa kwa vitendo.
3. Nitaifanya Tanzania kuwa moja kati ya Mataifa makubwa kabisa duniani kijeshi, kiuchumi, kisiasa, kidiplomasia n.k.
4. Nitawaheshimisha na kuwaenzi ipasavyo viongozi wote waliolitumikia Taifa letu kwa Uzalendo Mkubwa kuanzia kwa Hayati Julius Nyerere hadi kwa Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Hii itawajengea moyo wa uzalendo viongozi wengine kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi ngazi ya juu kabisa.
5. Viongozi wote ambao kwa namna moja ama nyingine walichangia kuliingizia Taifa letu hasara kwa namna yoyote, wawe hai au wamekufa, lazima watafidia hiyo hasara waliyolisababishia Taifa. Hii itajumuisha kutaifisha mali ambazo warithi wao walizirithi ziwe ndani au nje ya nchi. Pia adhabu ya kifungo kwa wale watakaokuwa hai itahusika. Hii itakuwa onyo kwa viongozi wengine wa kipindi hicho na wale watakaofuatia kuliongoza Taifa letu, ili waweze kuliongoza kwa uzalendo na kujitoa muhanga pia kwa ajili ya nchi yetu.
6. Idara ya usalama wa Taifa itaimarishwa kuanzia ngazi ya familia hadi ngazi za juu kabisa.
7. Serikali itawajibika kuwatunza katika nyanja zote (mavazi, malazi, chakula, elimu, afya n.k), watoto wote wa mtaani, watoto yatima, wazee wasio na uwezo wa kujitunza n.k. Kila raia lazima apewe mahitaji yote ya msingi na nchi yake.
8. Tenda zote za Serikali, zitapewa taasisi za serikali kama vile SUMA JKT, MAGEREZA, JWTZ n.k.
9. Nitajitahidi kupunguza tofauti kati ya matajiri na maskini kwa kuhakikisha keki ya Taifa inagawiwa sawa kwa wananchi wote.
10. Nitaboresha Taasisi zote za Serikali zionekane bora kuliko Taasisi binafsi.
NOTE: Serikali yoyote inawajibika kuhakikisha watu wake wote wanapata mahitaji yao yote ya msingi ikiwemo chakula, mavazi, sehemu nzuri za kuishi, usafiri, huduma za Afya, usalama wao na mali zao, mawasiliano, burudani n.k. Pia ni majukumu ya serikali kuhakikisha raia wanafurahia maisha na kujivunia nchi yao. Ni fedheha kwa serikali kwa raia wengi kuilalamikia kila siku kwa kushindwa kufanya kulingana na matarajio yao.
Ombi langu kwa Mungu ni kwamba hii Katiba tuliyo nayo sasa, iendelee kuwepo hadi huo muda ili niweze kufanya hayo yote niliyoyataja hapo juu.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Afrika Mashariki, Mungu ibariki Tanzania nchi yangu, Mungu ibariki Jamii Forum na members wake wote, Mungu nibariki mimi na familia yangu pia,
AMINA.
Myth.Deep state (not Votes) reserve the rights of winning presidence
Deep state haipigiwi Kura
Deep state can change president the way and when they wish
nazungumzia deep state ya Belarus sio ya Uzbekistan