- Thread starter
- #61
Uzalendo ni kuitanguliza nchi na wananchi wake kwanza.Na wee ukingia lazima ukwibeee tu
Ujinufaishe wewe na uko wako
Ova
Nikiwa Rais nitakuwa kama Thomas Sankara wa Burkina Fasso, au Muammar Gaddafi wa Libya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzalendo ni kuitanguliza nchi na wananchi wake kwanza.Na wee ukingia lazima ukwibeee tu
Ujinufaishe wewe na uko wako
Ova
How?!Myth.
Nitajaribu tu, nikifa na nife tuUsijaribu,utakufa kabla hujatimiza nusu ya hayo
Siogopi kufaWatakuua RIP JPM
I will beYou will never be.
Sijawahi kuvuta MkuuUmepita karibu na kijiwe cha bange nini ?
Mungu Yupi Unaemuomba Ambaye Anaruhusu Kuwaumiza Wengine.That's why I pray to God if it pleases Him.
TO GOD NOTHING IS IMPOSSIBLE.
Amen.
Wewe wanakubandua kweliVyeti feki utawafahamu tu
Niguse nikubandueYeyote anaguswa tu. Kwani bei gani? Hata wewe ukiamuliwa unaguswa tu chap.!
Unaguswa na hakuna wa kukusaidia, na kitu utafanya! We' mshamba tuNiguse nikubandue
Endelea tu, utakapopasuka mnduku hakutakuwa na wa kukusaidiaUnaguswa na hakuna wa kukusaidia, na kitu utafanya! We' mshamba tu
Anaguswa Bill Gate we' kajamba nani mzalendo kutoka Tanganyika ni nani mpaka usiguswe? Hakikisha huingii kwenye 18 za watu. Nikiwa Rais watu wa aina yako nitawapapasa sana. Na hakuna kitu utafanyaEndelea tu, utakapopasuka mnduku hakutakuwa na wa kukusaidia
Si ulitaje tu fisadi la msoga, au unaliogopa?Mie naapa kuna mafisadi papa ningewanyongea pale mnazi mmoja mchana saa 6 hadharani ili kuwa fundisha Tz,
Tena hapa ningeanza na 'seniors officers" wa serikalini kwa mikataba mobovu inayolighamu Taifa!
Mbona wajinga huwa mnapenda kujichlesha kishamba hivi? Umeandika nini hapo mkuuEndelea tu, utakapopasuka mnduku hakutakuwa na wa kukusaidia
Kipi hujaelewa?Mbona wajinga huwa mnapenda kujichlesha kishamba hivi? Umeandika nini hapo mkuu
Ujue una fail mno! Hivi fisadi akiwa touched anaonewa ilhali imethibitika kuwa ni fisadi? Kwa nini unawatetea?!Kipi hujaelewa?
Na wenzako huwa wanasema hivyo hivyo lakini pale wanapoupata wanasahau kila kitu.Kama vile tunavyofahamu kwamba Mungu anaweza kumfanya mtu yeyote, wa hali yoyote, wakati wowote, kuwa yeyote, vivyo hivyo na mimi nina amini kwamba siku moja, Mungu akinifanikisha kuwa Rais wa nchi yangu ya
Tanzania, pamoja na kwamba kwa sasa si mwanasiasa na wala si mtu maarufu na wala sitoki kwenye familia maarufu au tajiri; nitafanya haya yafuatayo kwa ajili ya usitawi wa Taifa langu na kwa watu wake pia;