Siku nikifanikiwa kuwa Rais wa Tanzania; Mafisadi na familia zao zinazoneemeka kwa ufisadi, wataula wa chuya

Siku nikifanikiwa kuwa Rais wa Tanzania; Mafisadi na familia zao zinazoneemeka kwa ufisadi, wataula wa chuya

Na wee ukingia lazima ukwibeee tu

Ujinufaishe wewe na uko wako

Ova
Uzalendo ni kuitanguliza nchi na wananchi wake kwanza.
Nikiwa Rais nitakuwa kama Thomas Sankara wa Burkina Fasso, au Muammar Gaddafi wa Libya.
 
Wewe ni mnafiki.
Unamsahau vipi Samia kwenye orodha ya viongozi waliolitumikia Taifa hili?.
 
Endelea tu, utakapopasuka mnduku hakutakuwa na wa kukusaidia
Anaguswa Bill Gate we' kajamba nani mzalendo kutoka Tanganyika ni nani mpaka usiguswe? Hakikisha huingii kwenye 18 za watu. Nikiwa Rais watu wa aina yako nitawapapasa sana. Na hakuna kitu utafanya
 
Mie naapa kuna mafisadi papa ningewanyongea pale mnazi mmoja mchana saa 6 hadharani ili kuwa fundisha Tz,
Tena hapa ningeanza na 'seniors officers" wa serikalini kwa mikataba mobovu inayolighamu Taifa!
 
Mie naapa kuna mafisadi papa ningewanyongea pale mnazi mmoja mchana saa 6 hadharani ili kuwa fundisha Tz,
Tena hapa ningeanza na 'seniors officers" wa serikalini kwa mikataba mobovu inayolighamu Taifa!
Si ulitaje tu fisadi la msoga, au unaliogopa?
 
Kama vile tunavyofahamu kwamba Mungu anaweza kumfanya mtu yeyote, wa hali yoyote, wakati wowote, kuwa yeyote, vivyo hivyo na mimi nina amini kwamba siku moja, Mungu akinifanikisha kuwa Rais wa nchi yangu ya
Tanzania, pamoja na kwamba kwa sasa si mwanasiasa na wala si mtu maarufu na wala sitoki kwenye familia maarufu au tajiri; nitafanya haya yafuatayo kwa ajili ya usitawi wa Taifa langu na kwa watu wake pia;
Na wenzako huwa wanasema hivyo hivyo lakini pale wanapoupata wanasahau kila kitu.
Ndugu zako na rafiki zako huwa ndiyo washauri wako na wapambe wako wa kufaidika. Wengine Mungu akitupa uhai tutaendelea kulima kwa meno.

Tumeyaona hayo kwenye mifumo mingi tu ya kiafrika (nitajie mmoja ambao hauna tabia hiyo kuanzia afrika magharibi, mashariki na kusini).

Kwa hivyo omba pole pole tu usipige kelele ya ukombozi, siku ukifanikiwa utayasahau yote uliyoahidi.
 
Back
Top Bottom