handsome boy wa jf
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 163
- 350
- Thread starter
- #101
Duuuh[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kumbeSiwezi kumpa mwanachama wa chaputa
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kumbeSiwezi kumpa mwanachama wa chaputa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ya nne jioni naishusha ni story ya ukweli mkuu
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu jioni yote hii, huu muda unajib comment ungekua unaandika sehemu ya 4 kwa urefu zaidi.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ya nne jioni naishusha ni story ya ukweli mkuu
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Bongo movie njoo huku , hii kitu itawafaa sanaSEHEMU YA 03
****************
SIKU ile ilikuwa siku nzuri sana kulionja penzi la Fatumah ni mwanamke mzuri sana kuwahi kumuona katika hii dunia ya watoto wa Adam na Hawa[emoji18]
Basi tuliongea mengi sana na Fatmah siku hiyo alinionyeshea mahaba mazito hadi nikawa najisimemea sasa mke si ndio huyu nimepata kumbe sikujua kuwa nilikuwa nimepatikana[emoji29]
[emoji2][emoji2]unapenda simuliziWeek ijayo tena handsome boy wa jf
Naam[emoji2][emoji2]unapenda simulizi
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mzinguaji huyu kumbe nilikua namtetea bure
Nambie Mkaka.
Safi sana mkuu kwa muendelezo maana tulipata wasiwasi kama ndo umetuchinjia baharini ama niajeSEHEMU YA 03
****************
SIKU ile ilikuwa siku nzuri sana kulionja penzi la Fatumah ni mwanamke mzuri sana kuwahi kumuona katika hii dunia ya watoto wa Adam na Hawa[emoji18]
Basi tuliongea mengi sana na Fatmah siku hiyo alinionyeshea mahaba mazito hadi nikawa najisimemea sasa mke si ndio huyu nimepata kumbe sikujua
Nilikuwa nakuita uje uone jini mwenzako {kwa uzuri} kidding, anavyomfanya kijana wetu..Nambie Mkaka.
Mkuu una chuki na mie? 🤣🤣🤭🤭🤭nilikuwa nakuita uje uone jini mwenzako {kwa uzuri} kidding, anavyomfanya kijana wetu..
Haahahah sina mkuu nina mahaba ya dhati ✌..mkuu una chuki na mie? 🤣🤣🤭🤭🤭