Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nimeweka kambi hapa, maana michezo ya majini ni mibaya sana anaweza kukupeleka sehemu mfano dukani tena na mtaa ukaufahamu ila baadae ukirudi mwenyewe huwezi kuliona hilo dukaAmeuliza swali zuri ila ni kwamba hajui sehemu ya 5 nn kitatokea na niongeze yale mazingira yote pale yalikuwa kiini macho ni stori ndefu ataelewa tu
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] itakua ilikua akili za pombeKwako hapakua mbali na bar, dem mnatoka mtaa mmoja ila mwendo wa gari iliwachukua dakika 30..sawa ndugu msimuliaji tunaomba sehemu ya 5
[emoji1787][emoji1787] lazma mwaka uishe huu afu anakwambia "kufupisha stori"kwa hii spidi yako nahisi hiyo sehemu ya 28 itakuwa december
Wiki hii hadi ijumaa tunafika sehemu ya 10[emoji1787][emoji1787] lazma mwaka uishe huu afu anakwambia "kufupisha stori"
Yaani acha tu mkuu yaliyonipata ni makubwa kuanzia leo nitakuwa natoa vipindi viwili kila siku leo nashusha kipindi kingine saa tatu halafu saa tano nashusha kingine mkuuNilichomlaumu FATMA yaani kukufanya ukakosa raha kwa laki-4 yake tu.. ila wanawake ndio walivyo.. unaweza ukampa hata mil-4 ila yeye akikupa hata buku tatu atasimulia vitongoji vyote hatokumbuka ile mil-4 .. any way baba FETY.. andaa hizo 5-28 sisi tupo hapa tuangushie na utuambie rasm hapa epsod itakuwa inatoka baada ya siku ngapi? Au masaa mangapi? Maana ni nyingi sana usiwe unazichelewesha zitaisha mwakani
Kibonge hajambo mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Title ya Kitabu iwe nilizaa na jini fatuma baba fetty🥲
[emoji1][emoji1]pombe mkuu pia ni mazingira yamebadilishwa na fattuma ww ngoja utaelewa alikuwa ashanibadili akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] itakua ilikua akili za pombe
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kibonge hajambo mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana mkuu wiki ijayo inaishakwa hii spidi yako nahisi hiyo sehemu ya 28 itakuwa december
Daaah[emoji1][emoji1][emoji1][emoji122][emoji122]Hata kama ni chai shusha vitu mbona tunaangalia movie na tunaenjoy kwani ukweli ule..
Sawa baba kibongeeee[emoji1]Title ya Kitabu iwe nilizaa na jini fatuma baba fetty🥲
Hapana ili zari limenitesa sanaHilo ni Zari brother
Oy mkuu tu suprise hata episode moja
Umesema ipo mpaka sehemu ya 28 kama sikosei ... kwa luga nyepesi bado ninasafari ndefu maana ndo kwanza nipo sehemu ya 4[emoji1][emoji1]pombe mkuu pia ni mazingira yamebadilishwa na fattuma ww ngoja utaelewa alikuwa ashanibadili akili
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app