Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

SEHEMU YA 05
******************************
Ilipoishia sehemu ya 04 ni pale nilipokuwa nimekutana na dada bar akanipeleka kwake kumbe yule dada ni fetty aligeuza alichukua surq ya mtu mwingine na ndio siku hiyo nilipojua fetty mchumbaangu kuwa ni jini na aliniambia kuwa yeye ni jini na amenipenda toka nipo mdogo na alikuwa ameolewa na babu yangu marehemu mzee msekwa.
#########
SASA INAENDELEA#
nilitetemeka sana mule ndani mkojo ulinitoka sio kitoto ikabidi nimuulize fatma ww ni jini kwann sasa muda wote ule haujaniweka wazi na ww na babu yangu mzee msekwa mmejuanaje?
Akacheka sanaa then akaniambia ni stori ndefu ipo siku nitakwambia kwa sasa sio muda sahihi kikubwa ni kuwa ole wako utoe hii siri na mimi nipo kwako kwa amani sina nia mbaya na ww maana nakupenda toka nilimuua babu yako miaka 25 iliyopita kipindi upo mdogo niliamua kukupa ww ulinzi hadi unakuwa niakikishe nakuwa na ww maana toka upo mdogo nilikupenda,
Ikabidi nimuulize sasa nyie majini mnaishi miaka mingapi na mbona hauzeeki?
Ndugu msomaji yule jini aliibadilisha akili yangu kwa muda mfupi nikajikuta tu napiga nae stori nishaanza kumzoea pale na uoga ulikuwa ushapungua,
Akanijibu kuwa wao majini ni immortal ni viumbe ambao wanaweza kuishi miaka mingi akananianbia yeye hadi mda huu yupo duniani ana miaka 300 sasa jibu lake likanishangaza saana nikamuuliza sawa sasa ww una mpango gani na mimi?
Akanijibu kuwa yeye anataka nimpatie watoto azae na mimi na anataka aishi na mimi,
Nikamuuliza sasa jini na binadamu wanawezaje kuishi ?
Akacheka sana akasema inawezekana baada ya kunijibu hivyo akaniambia leo ndio umejua ukweli wangu iwe siri na ole wako hii siri uitoe kwa ndugu yako yoyote yule.
Baadae fetty akainuka na kuniletea juice akanipa ninywee ilikuwa juice ya embe nikaanza kunywa wakati nakunywa ile juice nilijiona nguvu zinaniishia ghafla nikapoteza fahamu nilipoteza fahamu kwa mda mrefu nilikuja kushtuka asubuhi simu yangu inaiita sana nilipoamka ndugu msomaji nilijikuta nipo kwangu kabisa wakati nakumbuka usiku wa jana nilikuwa kwa fetty sikushangaa sana niliihisi pale nilipopoteza fahamu labda fetty aliniyayusha kichawi,
Nikapokea simu alikuwa ni fetty hallow mume wangu umeamkaje?
Aliniuliza hivyo nikamwambia sijambo nipo sawa akaniambia leo mchana nakuja hapo kwako nikamwambia sawa ila akaniambia niende dukani nikanunue udi halafu nilipuulize marashi chumbani kisha akaongeza unajua sasa mimi na ww ni wapenzi rasmi na ushanijua mimi ni jini sisi majini hatupendi uchafu inaidi uwe unasafisha chumba chako kiwe safi kila siku na uwe msafi nikamwambia sawa basi akaniambia kuna hela nakutumia muda huu mchana mimi nakuja nikamwambia sawa basi akakata simu,
Baada ya mda sms ya mpesa ilionyesha nimepokea shs laki 2 kutoka kwa fattuma
Nikasema kimoyoni daah japo majini ni viumbe hatari ila sasa hela napata nitamvumilia tu ndugu msomaji ni kuwa akili yangu ilishabadilishwa na fatma nikawa naona ni mtu wa kawaida tu kwangu basi kufupisha stori kweli mchana fatma alikuja nilifanya kama alivyoniambia asubuhi chumba kilikuwa kisafi alipokuja sasa alinisifia kuwa chumba kipo safi na nilikuwa nimevaa mavazi masafi na nilipuulizia manukato kama alivyosema,
Fatma siku hiyo alikuwa na furaha alipokuja alinirukia na kunibusu sana baadae tukiwa ndani akaniambia leo nataka nikwambie kitu kizuri nikamwambia sawa akasema kuanzia wiki inayoanza nitaamia kwako tutakuwa tunaishi kama mke na mume maneno yake kiukweli yaliniogopesha yaani aje akae na mimi ili nilimkubalia tu basi akaniambia mume wangu halafu nataka leo usiku nikupeleke nyumbani kwetu ukawaone ndugu zangu wanataka wakuone ikabidi nimuulize kwani kwenu wapi?
Akacheka sana akaniambia mimi nyumbani kwetu ni baharini
Jibu lake lilinishangaza mno nikqmuuliza baharini wapi posta hau?
Ghafla fatma......

Wakuu itaendelea wakuu sasa ndio nataka nipelekwe na fatma kwao baharini sijui ni bahari gani ambapo ndio ndugu zake wanaishi
Niwaombe radhi kwa ucheleweshaji wa muendelezo toka juzi nilipata dharula wife amejifungua na muda mwingi nakuwa nae kwa hiyo nakosq muda wa kuingia humu ila leo nitajitahidi nilete muendelezo usiku
Naomba serikali ikuchukulie hatua kwa kuchelewesha miendelezo
 
Naomba serikali ikuchukulie hatua kwa kuchelewesha miendelezo
SEHEMU YA 06
******************************
SASA INAENDELEA#
ilipoishia ni pale fatma aliponirushia shs laki 2 na baadae akaja kwangu akiniambia wiki ijayo inabidi niwe nakaa nae yaani mimi binadamu niishi na jini nyumba moja kama mume na mke,

Pia alikuwa akiniambia ndugu zake wanatamani sana kuniona na anasema anataka anipeleke kwao yaani baharini kwao anadai ni baharini sasa sijui ni bahari gani hiyo tena?

#ENDELEA#
basi yote aliyokuwa ananiambia mimi nilikuwa tu nakubali yaani akili yangu yote alikuwa ameiteka basi siku hiyo niliweza kuenjoy mahaba moto moto na fatma tulikuwa sasa tushazoeana ndugu msomaji yaani fatma pamoja ya kuwa ni jini ila nilishangaa simuogopi namuona tu mtu wa kawaids tulikuwa tunataniana na hasa kule kitandani tulikuwa tunapeana mahaba mazito mara anirukie mara nimshike tako yaani full vurugu za kimahaba kama wapenzi,

Basi siku ile ikapita na masiku yakapita nikiwa nipo na fatma alikuwa anakuja kwangu na kuondoka atimae siku moja baada kama ya siku saba kupita nakumbuka ilikuwa ni usiku nipo home ghafla fatuma akaniambia simu na kuniambia kuwa anakuja mda huo nikamwambia sawq ilikuwa ni mida ya saa tatu usiku sasa nipo home hapo nimetulia tu naangalia tv ndugu msomaji kiukweli fatma alikuwa akinipa hela hadi nikafanikiwa kunununua vitu vya ndani vingi ikiwemo tv na furniture kibao sasa nikiwa naangalia tv ghafla nikashangaa namuona fatma huyu hapa mbele yangu katokea ghafla nusu nikimbie akasema usiogope,

Ndugu msomaji fatma uwa anakuja kwangu kwa njia ya kibinadamu yaani anagonga mlango kama kawaida ila siku hiyo alikuja kwa utofauti sana kiasi cha kunitisha akaniambia usiogpe mume leo nilitaka nikusurprise tu akaja akaa pale kwenye sofa akaniambia mume wangu leo nina habari nzuri kwako nikamuuliza habari gani akasema ninq mimba yako ndugu msomaji kauli yake ya kuniambia ana mimba tayari ilinitisha sana na kunipa majonzi kuwa sasa nimezaa na jini na mimi mwanangu atakuwa jini,

Basi akaniambia sasa leo ndio siku ya mimi ha ww kwenda nyumbani kwetu ukapaone nikamjibu sawa akasema itakapofika saa kumi kabla ya hadhana ile ya alfajiri haijalia inabidi tuwe tumeondoka sawa nikamjibu basi alipika pale tukala anakaenda kuoga na mimi pia tukawa tumeingia kulala siku leo fatma alikuwa ana furaha mno alikuwa akinikumbatia pale kitanda tukawa tumesex hadi usingizi ulipotupata nikaja kushtushwa na sauti inaniita mume wangu mume wangu mume wangu amkaa amkaa sauti ilikuwa ikiniamsha kwa msisitizo ikabidi nifungue macho ndugu msomaji sikuamini nilipojikuta sipo pale nilipolala muda ule na fetty nilikuwa nipo sehemu tofaut nisiyoijua na nilikuwa naona watu watano wamenisimamia pale wananiangalia walikuwa ni watu wanaotisha sana walikuwa wamevaa nguo nyeupe wote nilipiga kelele sana ghafla nikasikia sauti ikiniambia karibuuuu..

Wakuu itaendelea leo jioni

MUENDELEZO Soma Siku niliyokutana na jini kwenye daladala
 
SEHEMU YA 06
******************************
SASA INAENDELEA#
ilipoishia ni pale fatma aliponirushia shs laki 2 na baadae akaja kwangu akiniambia wiki ijayo inabidi niwe nakaa nae yaani mimi binadamu niishi na jini nyumba moja kama mume na mke,
Pia alikuwa akiniambia ndugu zake wanatamani sana kuniona na anasema anataka anipeleke kwao yaani baharini kwao anadai ni baharini sasa sijui ni bahari gani hiyo tena?
#ENDELEA#
basi yote aliyokuwa ananiambia mimi nilikuwa tu nakubali yaani akili yangu yote alikuwa ameiteka basi siku hiyo niliweza kuenjoy mahaba moto moto na fatma tulikuwa sasa tushazoeana ndugu msomaji yaani fatma pamoja ya kuwa ni jini ila nilishangaa simuogopi namuona tu mtu wa kawaids tulikuwa tunataniana na hasa kule kitandani tulikuwa tunapeana mahaba mazito mara anirukie mara nimshike tako yaani full vurugu za kimahaba kama wapenzi,
Basi siku ile ikapita na masiku yakapita nikiwa nipo na fatma alikuwa anakuja kwangu na kuondoka atimae siku moja baada kama ya siku saba kupita nakumbuka ilikuwa ni usiku nipo home ghafla fatuma akaniambia simu na kuniambia kuwa anakuja mda huo nikamwambia sawq ilikuwa ni mida ya saa tatu usiku sasa nipo home hapo nimetulia tu naangalia tv ndugu msomaji kiukweli fatma alikuwa akinipa hela hadi nikafanikiwa kunununua vitu vya ndani vingi ikiwemo tv na furniture kibao sasa nikiwa naangalia tv ghafla nikashangaa namuona fatma huyu hapa mbele yangu katokea ghafla nusu nikimbie akasema usiogope,
Ndugu msomaji fatma uwa anakuja kwangu kwa njia ya kibinadamu yaani anagonga mlango kama kawaida ila siku hiyo alikuja kwa utofauti sana kiasi cha kunitisha akaniambia usiogpe mume leo nilitaka nikusurprise tu akaja akaa pale kwenye sofa akaniambia mume wangu leo nina habari nzuri kwako nikamuuliza habari gani akasema ninq mimba yako ndugu msomaji kauli yake ya kuniambia ana mimba tayari ilinitisha sana na kunipa majonzi kuwa sasa nimezaa na jini na mimi mwanangu atakuwa jini,
Basi akaniambia sasa leo ndio siku ya mimi ha ww kwenda nyumbani kwetu ukapaone nikamjibu sawa akasema itakapofika saa kumi kabla ya hadhana ile ya alfajiri haijalia inabidi tuwe tumeondoka sawa nikamjibu basi alipika pale tukala anakaenda kuoga na mimi pia tukawa tumeingia kulala siku leo fatma alikuwa ana furaha mno alikuwa akinikumbatia pale kitanda tukawa tumesex hadi usingizi ulipotupata nikaja kushtushwa na sauti inaniita mume wangu mume wangu mume wangu amkaa amkaa sauti ilikuwa ikiniamsha kwa msisitizo ikabidi nifungue macho ndugu msomaji sikuamini nilipojikuta sipo pale nilipolala muda ule na fetty nilikuwa nipo sehemu tofaut nisiyoijua na nilikuwa naona watu watano wamenisimamia pale wananiangalia walikuwa ni watu wanaotisha sana walikuwa wamevaa nguo nyeupe wote nilipiga kelele sana ghafla nikasikia sauti ikiniambia karibuuuu..

Wakuu itaendelea leo jioni
Hakuna haja ya kuendelea, fanya mishe zako tu.
 
Mkuu nanukuu maneno yako kutoka episode ya 4, " Fatma akanisogelea na kuniambia kuwa rasmi mimi na yeye tumeshafunga ndoa Toka siku ya kwanza tulipokutana kimwili na ni ngumu mimi kumkimbia na akanambia tayari Nina mimba yako....." Episode ya 6. unatuambia kuwa shemeji Fatma alikuja usiku akakuambia ana mimba yako na wewe ukashituka baada kusikia iyo taarifa ya ujauzito,. Swali langu Kwanini unadai ulishtuka kusikia taarifa ya mimba wakati shemeji jini alishakwambia ishu ya mimba siku ulipokutwa bar
 
Mkuu nanukuu maneno yako kutoka episode ya 4, " Fatma akanisogelea na kuniambia kuwa rasmi mimi na yeye tumeshafunga ndoa Toka siku ya kwanza tulipokutana kimwili na ni ngumu mimi kumkimbia na akanambia tayari Nina mimba yako....." Episode ya 6. unatuambia kuwa shemeji Fatma alikuja usiku akakuambia ana mimba yako na wewe ukashituka baada kusikia iyo taarifa ya ujauzito,. Swali langu Kwanini unadai ulishtuka kusikia taarifa ya mimba wakati shemeji jini alishakwambia ishu ya mimba siku ulipokutwa bar
Swali zuri mkuu sehemu ya saba itakujibu ilo swali lako utaelewa mkuu leo usiku natuma sehemu ya saba
 
BABA FETY.. mzushi sana usitake tuamini kama wewe kweli mzushi.. angusha story hiyo tunakukubali kinoma na unajua tunapenda story.. ilete hiyo baba FETY
Kweli mkuu sema sio kama mimi mzushi ila muda nakosa mkuu wife kajifungua ndio shida yaani ninapopata mda kama hivi ndio naingia jf ila nitajitahidi angalau tuimalize stori
 
Back
Top Bottom